DOKEZO Tuhuma za mauaji kwa mmiliki wa kampuni ya KOPAGAS, Andron Mendez

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
DPP anaweza akaja na Ile nondo yake isiyohojiwa a.k.a NOLE PROSEQUI. umaeshamsahau yule binti wa Moshi aliyemuua mama yake na Sasa hivi Yuko uraiani anagawa puchi.
 
Umemaliza kila kitu(point)

Ova
 
DPP anaweza akaja na Ile nondo yake isiyohojiwa a.k.a NOLE PROSEQUI. umaeshamsahau yule binti wa Moshi aliyemuua mama yake na Sasa hivi Yuko uraiani anagawa puchi.
What happened? Aliachiliwa yule binti aliyeua na kuzika mama yake mzazi?

Hebu weka Uzi tu discuss
 
Wakati flani KUKIWA NA HILA ZA WALIOPEWA DHAMANA KUZUIA HAKI basi kama jamii ni rahisi kujichukulia sheria MKONONI ili mwisho wa siku haki IJULIKANE...

SIYO MBAYA IKITOKEA SIKU MOJA WATU WAKACHUKUA SHERIA KWA HAND KWA KUNYOSHA MAMBO KAMA RULA....

Haiwezekani kila mara WALA KODI ZETU WANAGEUKA WANYANYASAJI WETU

CC: Camillius Wambura.
 
NACHUKIA SANA INJUSTICES no matter to whom is DONE......

Inafikia wakati NAONA bora hata watu wajichukulie sheria mkononi ikitokea HIVI....

Siyo MBAYA KUSIKIA THE WHOLE DEPOT SET ABLAZE ili tuanze kujadiliana vizuri....
 

Acha kupotosha umma. Ni kosa la jinai kuiongelea kesi iliyopo mbele ya mahakama na ikiwa haitojolewa maamuzi bado. Kifungu cha sheria namba 114 cha sheria ya Makosa ya Jinai, Tanzanai [Section 114 of the Penal Code, Cap 16 R.E 2019] kinatoa adhabu kwa kujadili case iliyopo Mahakamani.
 
Mkuu, kifungu cha 114 cha Penal Code, Cap 16 R.E 2022 kina sub-section 4 na paragraph kibao, kwa usahihi wa kuzuia 'upotoshaji' niambie specific kifungu husika kwa ukamilifu.
 
Yeye kama alihisi kuna wizi, alitakiwa weka mtego...

Kampuni ya ulinzi itakuwa ilikuwa yahusika na wizi.

Hapo angeishtaki kampuni ya Ulinzi kwa wizi

Angeweka utaratibu wa hakuna chochote kutoka au kuingia ikifika muda fulani
 
What happened? Aliachiliwa yule binti aliyeua na kuzika mama yake mzazi?

Hebu weka Uzi tu discuss

Kweli aliachiwa, lakini sababu ni ndugu kuweka pressure kwa DPP yule dada aachiwe. Sasa DPP akaona isiwe shida
kama ndugu wa Marehemu wameona hakuna haja ya kumshtaki mjuu wao akamtema kwenye kesi.
 

Ila Kuna exceptions nyingi.
 
Yeye kama alihisi kuna wizi, alitakiwa weka mtego...

Kampuni ya ulinzi itakuwa ilikuwa yahusika na wizi.

Hapo angeishtaki kampuni ya Ulinzi kwa wizi

Angeweka utaratibu wa hakuna chochote kutoka au kuingia ikifika muda fulani

Kwa mweli hasira Ni hasara.
 
Ila Kuna exceptions nyingi.
Mkuu jamaa anachanganya kujadili mwenendo wa kesi iliyopo mahakamani na kujadili tukio ambalo tayari lina kesi mahakamani, hivyo ni vitu viwili tofauti. Hakuna kosa la jinai kwa mtu kujadili tukio ambalo tayari lina kesi mahakamani. Kwa mtazamo wa jamaa basi hata mawakili na wateja wao wanapojipanga kwa ajili ya kutoa ushahidi wanakuwa wanatenda kosa la jinai, maana wanajadili kesi iliyopo mahakamani.

Kifungu alichotaja kinaeleza kuhusu uchapaji wa mwenendo pasipo ruhusa ya mahakama, kuonyesha dharau kwa mahakama, kuzuia utendaji kazi wa mahakama, kumsema shahidi kwa nia ya kumharibia hadhi kwenye kesi nk..hakuna kinapozuia kujadili matukio yaliyopelekea kesi kama hivi tunavyojadili
 
Naomba jina la Twitter lenye hyo story mkuu .... na km Andron sie aliyefyatua risasi why afiche .... na Adinani alipata wapi hyo silaha ya kumuua mlinzi....Naona ndugu Adnani anataka kuangushiwa jumba bovu apo....pesa inataka kufunika mambo
Hivi unamjua Adinani kwenye story hii.?
Adivasi ni mfanyakazi mpiga dili tu na target ya boss ilikuwa kumuua Adinani bali alikosea akamchapa mlinzi wa kilungu....soma vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…