Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hela kijanakupitia hii awamu, wenye fedha ndio wenye mammlaka
Okaay.Hii story haiwez kua genuine
Maana hata uyo uliyempa credit
Amekua ni mwizi sugu wa story za watu humu jf na kuzipeleka uko kwenye page zake insta,telegram na Facebook.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaaa...!!! Pesa ikiwepo huumizi kichwa kuwa ni awamu ya ngapi.Tafuta hela kijana
sawa mkuu,Tafuta hela kijana
Huyo Jamaa fortunate buyobe anatuhuma za kuiba story za watu humu jf na kwenda kuziuza uko kwny page zake.Kwa nini unasema anakosea? Hivi information zilizopo kama kwenye hii story niliyoipost, unadhani ametumia muda wa masaa mangapi kuikusanya, kuiandaa na kuiandika?
Hana haki ya kuthaminisha muda wake?
Hapo ukute baadhi ya waliompa info lazima aliwapa hela ya soda kidogo.
Hela yenyewe anayochaji ni shilingi 2500 tu kwa mwezi.
Inasemekana ni britaniccaHuyo Jamaa fortunate buyobe anatuhuma za kuiba story za watu humu jf na kwenda kuziuza uko kwny page zake.
Ukimfata kumuelekeza anakublock na Maneno ya shombo kukutupia
Kwnn huwa hatoi credit kwa wenye nyuzi zao, uongoz wa jf au Wana jf kiujumla na story anachukua humu bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Doh!na inakuwaje huyu jamaa ana full story?haon kwamba anaharibu ushahid@fbuyobe
Ila twitter iko nusu, ukitaka full hadi kwenye Telegram channel yake ya kulipia.
Nimeumia sana maisha yenyewe hayo yakuunga unga halafu unalinda mali za watu na unakufà kifo cha kikatiri hivyo daa, apumzike kwa amani.Very sad.
How anaharibu ushahidi?Doh!na inakuwaje huyu jamaa ana full story?haon kwamba anaharibu ushahid
Sad.Kimasihara cha bunduku na pombe