TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,199
- 3,307
- Thread starter
- #81
Soma true story hiyo mkuuTrue story au hadithi hadithi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma true story hiyo mkuuTrue story au hadithi hadithi
Hahahahahahaha...!! Kumbe na sekta hiyo wamo pia.Wabondei...hao sio kesi tu..mpaka urogi. Wakikuamulia saa kumi na mbili hautoboi.
Na kwa ujinga zaidi akaanza kuzimimina juu nje kabisa ya geti. Sijui ndo pombe ama nini sijui.Wengi huwa nawashauri kuwa shika bunduki tu kama ni sehemu ya kazi yako. Lakini vijana wana miliki bunduki kama alama ya mafanikio, nguvu na umaarufu.
Maishani mwangu sijamuona aliyemiliki bunduki ikamsaidia wakati "Wazee Wa Kazi" wamefika kuchukua chao.
Wengi wanaishia ku- misuse kama vile lililompata Ramadhan Ditopile Mzuzuri pale Njia Panda ya Kawe.
Kama Andron angekwenda bila bunduki pengine angemzaba kibao huyo mlinzi, kisha kugundua kuwa aliyempiga kibao siyo mlengwà, angemuomba samahani na kumpa hata Tsh Elfu 50 kufuta machozi.
Hata kesi ikiwa ipo mahakamani, hakuna ushahidi unaoharibika kwa watu kuizungumza mtaani na wala hakuna sheria inayokataza kuzungumza habari za tukio ambalo tayari limefunguliwa kesi mahakamani.How anaharibu ushahidi?
Hadi sasa hakuna kesi ambayo iko mahakamani kuhusiana na hili tukio, labda kesi ingekua mahakamani hapo ungeweza sema anaharibu kwa kuongelea ishu ambayo iko mahakamani.
Na hapo ujiulize why wanachelewa hivyo kulipeleka hili suala mahakamani?
Nguvu ya pesa.
Okaay asante mkuu kwa hii elimu. Basi muda wote nimekua nikifikiria kuwa kuongelea issue ambayo ipo mahakamani ni kosa kwa sababu ya hayo maelezo ya wanasiasa mara nyingi wakihojiwa kuhusu issue iliyo mahakamani. ShukraniHata kesi ikiwa ipo mahakamani, hakuna ushahidi unaoharibika kwa watu kuizungumza mtaani na wala hakuna sheria inayokataza kuzungumza habari za tukio ambalo tayari limefunguliwa kesi mahakamani.
Majaji au mahakimu hawatoi hukumu kwa kusoma mitandaoni au magazetini habari za tukio lihusulo kesi ili mbele yao, au kwa kusikiliza story mitaani BALI wanafikia hukumu kwa kuchambua na kupimanisha ushahidi uliotolewa mahakamani.
Hii ya kusema siruhusiwi kuzungumzia kesi iliyopo mahakamani, ni WANASIASA waliiweka ili kukwepa kuhojiwa kwa kesi zinazohusu serikali na wao wenyewe, sasa imechukuliwa kama ni sheria au kosa kuzungumzia jambo ambalo lina kesi mahakamani, KITU AMBACHO SIO KWELI, SIO KOSA.
LockapuYuko wapi sasa
Wanasiasa wameitumia sana hii kauli ili kufunga mijadala isiendelee nchini, hata waziri akiulizwa bungeni swali labda linalohusu ukiukaji wa haki za binadamu (vifo nk) hujibu 'sitopenda kuzungumza kuhusu hili kwa kuwa lipo mahakamani, tuiache mahakama ifanye kazi yake' , Kana kwamba akijibu basi mahakama itashindwa kufanya kazi yake. Ni njia ya kukwepa uwajibikaji.Okaay asante mkuu kwa hii elimu. Basi muda wote nimekua nikifikiria kuwa kuongelea issue ambayo ipo mahakamani ni kosa kwa sababu ya hayo maelezo ya wanasiasa mara nyingi wakihojiwa kuhusu issue iliyo mahakamani. Shukrani
Jamaa ni mwizi wa Nyuzi zetu anaenda kutambia hukoInasemekana ni britanicca
Mnaongea kama vile mnajua, aliyekwambia Andron alikuwa amelewa nani?….pombe ni mlango wa maovu yote,bora mzinzi kuliko mlevi
Mshikaji wenu alikua "masanga" bwana.Kazingua sana ila.Mnaongea kama vile mnajua, aliyekwambia Andron alikuwa amelewa nani?
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Andron Nichodemus ( cox) jamaa tumelala wote dom 2 pale umbwe nilikua nalala deck ya juu jamaa alikua muhuni flani hivi ( mambo ya kinyamwezi sana) ila kichwa sana ( hasa mathematics) tulikuja kukutana UDSM akichukua B.com nimekuja kusikia jamaa ni billionaire ila tena juzi naambiwa kaua mtu .maisha haya duuh.
Hapo waliokua wanapiga dili la kumuibia gesi jamaa ni wananchi wa kawaida, wafanyakazi wa bwana Mendez.Upigaji, madili Kila Kona, ....mwananchi wa kawaida ndie anayeumiaa
O.level mi nilimaliza 2002 alikua mbele yangu darasa moja class yao alikuwa na kina Allen Charles nae amefariki masikini . Si class yetu tulikua na kina Fred mtui , Andrew na wakina bernad chezue kiredio Hahaha. Loooong time