Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 845
- 2,235
Wiki chache zilizopita Makamu wa Rais Dr. Philip Mpango alizungumzia tuhuma za ubadhilifu wa mali za kanisa na matumizi mabaya ya madaraka ndani ya Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania.
Leo mchungaji Mwasomola amepigilia msumari tuhuma hizo kama ifuatavyo;
View: https://youtu.be/PFSgBSxhv28?si=N8p3jX9Od4sUbo2A
Leo mchungaji Mwasomola amepigilia msumari tuhuma hizo kama ifuatavyo;
View: https://youtu.be/PFSgBSxhv28?si=N8p3jX9Od4sUbo2A