Tuhuma zinazobuniwa na upinzani zimeanza kuwatokea puani wenyewe, wananchi wakosa imani nao

Tuhuma zinazobuniwa na upinzani zimeanza kuwatokea puani wenyewe, wananchi wakosa imani nao

Wananchi hawana imani tena na upinzani, wamechoshwa na stori na porojo na kusingizia rushwa mara kwa mara sababu ambazo hazina mashiko kwenye mahitaji na changamoti zao za kila siku.

Hali iyo imebainisha na imedhihirisha kwamba upinzani hawana mipango, hoja, sera, nia wala mikakati mbadala ya kuwaletea wanainchi maendeleo, ispokua kubuni tuhuma za uongo, uzushi na za kusadikika, ambazo zimewafanya wanainchi kutowaamini tena wapinzani wala kuwatilia maanani kwamba eti wana uwezo au nia ya kusaidia kutatua changamoto mbalimbali za kijamii, kisiasa na kiuchumi, kumbe wana chuki binafsi tu, dhidi ya baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali, kitu ambacho hakina faida yoyote kwa waTanzania.

Mfano mzuri ni kutoka kwa watu wa maana sana wa Itigi, kumpuuza kiongozi wa upinzani aliejaribu kuanza kuwahadithia stori ya tuhuma za kusadikika ambazo sio shida za watu wa Itigi....

waTanzania wanataka maji, afya , elimu, umeme, barabara nzuri, masoko ya bidhaa na huduma, lakini pia wanataka pembejeo za kisasa za kilimo, uvuvi na ufugaji.

WaTanzania wanataka ulinzi na usalama wao na mali zao. wanahitaji amani na utulivu wanapofanya kazi na majukumu yao ya kila siku kujipatia riziki.

WaTanzania hawahitaji wala hawana haja na mlolongo wa tuhuma za kusadikika, za kubuni na za kupika uongo zinazochochewa na chuki binafsi, hasira na ghadabu za kukataliwa na wanainchi kila mkutano wa hadhara au uchaguzi.

Ni Faraja ya kipekee sana, kuona waTanzania wameanza kuacha kupoteza muda wao kwenda kuskiza stori na porojo ambazo hazina, na haijawahi kuleta matokeo wala uelekeo wa kumsaidia mwananchi, bali kinachooneka ni chuki binafsi, wivu na kukosa hoja, dira na uelekeo wa pamoja....

Ukata wa pesa za kufanyia mikutano ya hadhara, na pesa kwaajili ya kampeni za uchaguzi, zinawavuruga zaidi, na kunazidisha kudharauliwa na kupuuzwa zaidi na wananchi wanapofanya mikutano yao iliyozorota sana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania..
Yaani mimi hapa nisiweze kuutambua uzushi? hahaha someni kuhusu, social inference
 
Wananchi hawana imani tena na upinzani, wamechoshwa na stori na porojo na kusingizia rushwa mara kwa mara sababu ambazo hazina mashiko kwenye mahitaji na changamoti zao za kila siku.

Hali iyo imebainisha na imedhihirisha kwamba upinzani hawana mipango, hoja, sera, nia wala mikakati mbadala ya kuwaletea wanainchi maendeleo, ispokua kubuni tuhuma za uongo, uzushi na za kusadikika, ambazo zimewafanya wanainchi kutowaamini tena wapinzani wala kuwatilia maanani kwamba eti wana uwezo au nia ya kusaidia kutatua changamoto mbalimbali za kijamii, kisiasa na kiuchumi, kumbe wana chuki binafsi tu, dhidi ya baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali, kitu ambacho hakina faida yoyote kwa waTanzania.

Mfano mzuri ni kutoka kwa watu wa maana sana wa Itigi, kumpuuza kiongozi wa upinzani aliejaribu kuanza kuwahadithia stori ya tuhuma za kusadikika ambazo sio shida za watu wa Itigi....

waTanzania wanataka maji, afya , elimu, umeme, barabara nzuri, masoko ya bidhaa na huduma, lakini pia wanataka pembejeo za kisasa za kilimo, uvuvi na ufugaji.

WaTanzania wanataka ulinzi na usalama wao na mali zao. wanahitaji amani na utulivu wanapofanya kazi na majukumu yao ya kila siku kujipatia riziki.

WaTanzania hawahitaji wala hawana haja na mlolongo wa tuhuma za kusadikika, za kubuni na za kupika uongo zinazochochewa na chuki binafsi, hasira na ghadabu za kukataliwa na wanainchi kila mkutano wa hadhara au uchaguzi.

Ni Faraja ya kipekee sana, kuona waTanzania wameanza kuacha kupoteza muda wao kwenda kuskiza stori na porojo ambazo hazina, na haijawahi kuleta matokeo wala uelekeo wa kumsaidia mwananchi, bali kinachooneka ni chuki binafsi, wivu na kukosa hoja, dira na uelekeo wa pamoja....

Ukata wa pesa za kufanyia mikutano ya hadhara, na pesa kwaajili ya kampeni za uchaguzi, zinawavuruga zaidi, na kunazidisha kudharauliwa na kupuuzwa zaidi na wananchi wanapofanya mikutano yao iliyozorota sana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania..
tangu 77 bado mnaongelea maji
akati hata nguzo za umeme tunaambiwa hakuna
mbwa nyie
 
Unachekesha dogo!

,hao Wananchi watakuwaje salama kama viongozi ni Wala rushwa

Maendeleo watayapata vipi kama viongozi ni Wala rushwa

Nchi imejaa tozo Kila mahali na bei ya sukari ni tsh 6000 badala ya tsh 2500 sanmba u ya rushwa

Alafu Kuna chawa anakuja huumu kuandika upuuzi
wewe tatizo lako dogo tu licha ya mihemko isiyo na tija....

hivi kweli hata ukimuangalia tu kwa sura, achilia mbali anachosema aliekua akuhutubia Itigi jana anaweza kufanya chochote nchi hii, zaidi ya kutuhumu watu kwa porojo za uongo namna ile, nani atamsikiliza na kumuamini mtu kama yule?🐒

hajawahi hata siku moja kueleza mipango, sera na mikakati yake ya atafanya nini kwenye afya, elimu, maji, barabara, kilimo biashra, ufugaji vitu ambavyo vinawagusa wanainchi mojakwamoja?🐒

amekomaa na kubabaika na upotoshaji, leo anamtuhumu huyu akiona hakuna makofi, anamtuhumu mwingine, akiona hashangiliwi anahamia kwa mwingine, useless kabisa kwendra huko 🤣🤣
 
Yaani mimi hapa nisiweze kuutambua uzushi? hahaha someni kuhusu, social inference
sasa apo kwenye social inference itachanganya wanainchi kidogo...

kama unaweza kukisia na kutambua uzushi hiyo ni talent gentleman 🐒
 
wewe tatizo lako dogo tu licha ya mihemko isiyo na tija....

hivi kweli hata ukimuangalia tu kwa sura, achilia mbali anachosema aliekua akuhutubia Itigi jana anaweza kufanya chochote nchi hii, zaidi ya kutuhumu watu kwa porojo za uongo namna ile, nani atamsikiliza na kumuamini mtu kama yule?🐒

hajawahi hata siku moja kueleza mipango, sera na mikakati yake ya atafanya nini kwenye afya, elimu, maji, barabara, kilimo biashra, ufugaji vitu ambavyo vinawagusa wanainchi mojakwamoja?🐒

amekomaa na kubabaika na upotoshaji, leo anamtuhumu huyu akiona hakuna makofi, anamtuhumu mwingine, akiona hashangiliwi anahamia kwa mwingine, useless kabisa kwendra huko 🤣🤣
Haya tukubalie hoja yako dhaifu

Je ripoti za CAG za miaka yote nazo ni uzushi?


Haya ni uongo kuwa huku kibondo tunanunua sukari sh 6000 kwa kilo??
Nini sababu ya kupanda ghafla kwa bei?
 
tangu 77 bado mnaongelea maji
akati hata nguzo za umeme tunaambiwa hakuna
mbwa nyie
mihemko ni ishara kamili ya kukosa hoja na kukata tamaa kabisaa 🐒

mihemko haina maana yoyote,

hata hivyo chama na serikali sikivu ya CCM itaendelea kufanya kazi kwa bidii na kuboresha huduma za kijamii na kuzisogeza karibu zaidi na wananchi bila mbambamba yoyote 🐒
 
Haya tukubalie hoja yako dhaifu

Je ripoti za CAG za miaka yote nazo ni uzushi?


Haya ni uongo kuwa huku kibondo tunanunua sukari sh 6000 kwa kilo??
Nini sababu ya kupanda ghafla kwa bei?
umewahi kumsikia aliekua akuhutubia kule Itigi akizungumzia hiyo ripoti mahali popote? aliishia wap 🤣

hapendi facts anapenda uzushi na porojo na tuhuma za kubuni buni tu ndio maana hivi sasa anapuuzwa na wanainchi, omba omba yule 🐒

hana consistency kabisa,
yupo zigzag kabisaa leo hiki kesho kile at the end of the day huwezi elewa hata anapambania nini 🤣

gentleman politics is science 🐒
 
sasa apo kwenye social inference itachanganya wanainchi kidogo...

kama unaweza kukisia na kutambua uzushi hiyo ni talent gentleman 🐒
Tunawatambua hata wanao ahirisha kufikiri Kwa nafsi, wenye tabia ya unyumbu, (human herding)
 
Mtoa mada ni Lucas aliyepoa
Eh😲

Huyu Mbunge wetu mtarajiwa wa CCM ?

Anaenda kuongeza moto wa Mpina Bungeni. Tundu Mbowe na mabilionea wote(kasoro Lema na Heche) wa CHADEMA wakae kwa mkao wa kudhibitiwa.

CHADEMA has lost its course. Wapo wapo tu wanajiropokea.
===============

Karibu ewe mwana CHADEMA>Ongeza matusi kwenye kapu lenu la "Watukanaji"
 
Majizi ya SUKARI yanapiga nduruu...
Na majizi ya "Join the Chain" yanafanya nini....yameunda

Miropoko Orchestra Susa Susa Band.

Suseni 2025 muone🤭😌 walakini muendelee na Uropokaji, manake ndio midundo mnayoweza.
 
Wananchi hawana imani tena na upinzani, wamechoshwa na stori na porojo na kusingizia rushwa mara kwa mara sababu ambazo hazina mashiko kwenye mahitaji na changamoti zao za kila siku.

Hali iyo imebainisha na imedhihirisha kwamba upinzani hawana mipango, hoja, sera, nia wala mikakati mbadala ya kuwaletea wanainchi maendeleo, ispokua kubuni tuhuma za uongo, uzushi na za kusadikika, ambazo zimewafanya wanainchi kutowaamini tena wapinzani wala kuwatilia maanani kwamba eti wana uwezo au nia ya kusaidia kutatua changamoto mbalimbali za kijamii, kisiasa na kiuchumi, kumbe wana chuki binafsi tu, dhidi ya baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali, kitu ambacho hakina faida yoyote kwa waTanzania.

Mfano mzuri ni kutoka kwa watu wa maana sana wa Itigi, kumpuuza kiongozi wa upinzani aliejaribu kuanza kuwahadithia stori ya tuhuma za kusadikika ambazo sio shida za watu wa Itigi....

waTanzania wanataka maji, afya , elimu, umeme, barabara nzuri, masoko ya bidhaa na huduma, lakini pia wanataka pembejeo za kisasa za kilimo, uvuvi na ufugaji.

WaTanzania wanataka ulinzi na usalama wao na mali zao. wanahitaji amani na utulivu wanapofanya kazi na majukumu yao ya kila siku kujipatia riziki.

WaTanzania hawahitaji wala hawana haja na mlolongo wa tuhuma za kusadikika, za kubuni na za kupika uongo zinazochochewa na chuki binafsi, hasira na ghadabu za kukataliwa na wanainchi kila mkutano wa hadhara au uchaguzi.

Ni Faraja ya kipekee sana, kuona waTanzania wameanza kuacha kupoteza muda wao kwenda kuskiza stori na porojo ambazo hazina, na haijawahi kuleta matokeo wala uelekeo wa kumsaidia mwananchi, bali kinachooneka ni chuki binafsi, wivu na kukosa hoja, dira na uelekeo wa pamoja....

Ukata wa pesa za kufanyia mikutano ya hadhara, na pesa kwaajili ya kampeni za uchaguzi, zinawavuruga zaidi, na kunazidisha kudharauliwa na kupuuzwa zaidi na wananchi wanapofanya mikutano yao iliyozorota sana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania..
Kuliko kutoa 'blanket/wholesale judgement' ungeorodhesha hizo tuhuma moja baada ya nyingine za kubuni ambazo wananchi wameanza kupoteza imani kwao. Otherwise, wewe mwenyewe ndiye uliyezibuni kwa niaba yao. Nasubiri.
 
Kuliko kutoa 'blanket/wholesale judgement' ungeorodhesha hizo tuhuma moja baada ya nyingine za kubuni ambazo wananchi wameanza kupoteza imani kwao. Otherwise, wewe mwenyewe ndiye uliyezibuni kwa niaba yao. Nasubiri.
fuatilia mikitano ya viongozi wako wabuni tuhuma, na usiende mbali sana, cheki hapao itigi tu jana,
uone wananchi wanavyowapuuza viongozi wako walipotaka kuanza story na porojo za tuhuma :pedroP:

yani wanafanya mikutano yao sasaivi utadhani wale jamaa wanaowekaga maspika mahali popote tu penye makutano ya watu halafu wanaanza kuchapa injili huku watu wakiendelea na shughuli zao tua :pedroP:
 
fuatilia mikitano ya viongozi wako wabuni tuhuma, na usiende mbali sana, cheki hapao itigi tu jana,
uone wananchi wanavyowapuuza viongozi wako walipotaka kuanza story na porojo za tuhuma :pedroP:

yani wanafanya mikutano yao sasaivi utadhani wale jamaa wanaowekaga maspika mahali popote tu penye makutano ya watu halafu wanaanza kuchapa injili huku watu wakiendelea na shughuli zao tua :pedroP:

Nakazia.
 
fuatilia mikitano ya viongozi wako wabuni tuhuma, na usiende mbali sana, cheki hapao itigi tu jana,
uone wananchi wanavyowapuuza viongozi wako walipotaka kuanza story na porojo za tuhuma :pedroP:

yani wanafanya mikutano yao sasaivi utadhani wale jamaa wanaowekaga maspika mahali popote tu penye makutano ya watu halafu wanaanza kuchapa injili huku watu wakiendelea na shughuli zao tua :pedroP:
Sasa hapo ndiyo umeonyesha nini? Si ungetaja jambo la kubuni lililosemwa (concrete) na wananchi wakalipuuza? Vinginevyo wewe ndiye unayebuni. Pili mimi sina chama, ila huwa nataka 'fairness' na tukisema jambo tuwe na justification ya kusema hilo tunalolisema. Kwa maneno mengine, tujiepushe na umbra, porojo, uwongo na kujikombakomba. Tuwe serious na smart/intelligent/critical thinkers tunaochambua hoja au kutoa maoni bila kuegemea upande. Tuwe straight!
 
nikuhakikishie ndugu mwanainchi,

usipotoshwe na porojo za tuhuma za kubuni na kupikwa kutoka kwa waliokosa uelekeo....

hakuna ufisadi wala chembe ya ubadhirifu ikimuhusisha very able, hard worker, vibrant and very focused waziri makini kama kijana ulie mtaja 🐒

so,
ushauri wangu kwako ni kwamba, epuka kupotoshwa na wenye chuki na ghadhabu binafsi dhidi ya wanasiasa waliokosa uelekeo na wanayopitia hali ngumu ya kisiasa kuelekea 2025🐒

Mkuu tuweke tu akiba ya maneno!!!

⚖️4Asimwe#
 
Mkuu tuweke tu akiba ya maneno!!!

⚖️4Asimwe#
hapa hakuna suala la akiba,

suala ni kwamba ukweli usemwe na kuelezwa bila kuchelewa wala kumuonea yeyote haya wala aibu 🐒
 
Back
Top Bottom