Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

Mkuu mimi nataka nikupe hii concept kidogo.

Unaposema mwanaume mwenye soko unamaanisha High value man

Pia unaposema mwanamke mwenye soko unawazungumzia high value women.

Kwanin soko/ value inapungua

1. women are entitled to be in that class

Mwanamke yoyote anapozaliwa kwenye planet earth kwenye galxy hii ya milky way anakuwa automaticaly kweny high value class.
Do i need to justfy this??
Unataka nianze kuhubir why ninesema hivi?

WOw! it's simple
Women wana vingi vya ku offer kuliko wanaume kwenye huu ulimwengu
Kwenye kila famili,jamii hata dola mbali mbali
Sitaki niendelee kuwapaisha naishia hapa.


2. Men fight to become high value
Hapa ndipo panapokuja matabaka na categories za wanaume.

Niwachache walio kwenye hii class

"Am not talkn about dumb rich peep"
Am talkn about real men who understand they value.

Utasikia
1.Alpha
2.Beta
3.Sigma

Niseme sokoni kwa upande wa wanaume ni vita kati ya weak and strong men
Sio bad boys na ma simp , No

Umeona ni jinsi gani mwanaume anaweza akaboost value yake

Ni simple anaweza akaamua from now on ninakwenda kuwa high value man na kweli ikawa hivyo na soko lake likawa la uhakika la milele .
Unataka ni justfy namna gani hizo vakue zinakuwaje?


Lakin je vitu gani vinamfanya mwnamke awe na soko?

Ilibidi nianze na point Hii ya kwanz kabisa.
1. Mwanamke anamhitaji mwanaume zaidi kuliko mwanaume anavyomuhitaji mwanamke
Huoni kama hii inanipa value sokoni.
 
Sasa akiingia kwenye 50 anakuwa mkavu sana mpaka pia maumbile yake hayapendezi hasa kwa bibi
Na joto hana ni wa barid
 
Aisee
 
Nani alikudanganya hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…