Tujadili kidogo hili maana ni kama kuna ukakasi fulani

It's okay it's okay mom, Naamini hawatofanya tena๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Wanawake sisi hatuna usemi zaid ya kuwaonea huruma wananaume
 
Shida sio kukosa mwanaume kwa upande wa mwanamke bali majukumu ndio yanayomweka mbali na mambo ya usichana. Mwanamke akishakuwa mama , mambo ya usichana kwake anayaona hayana maana hivo muda huo anautumia kufocus na majukumu ya kulea watoto. Ikifika stage ni vigumu kwa mwanamke kuanzisha mahusiano serious na wanaume wengine mbali na mume otherwise huyo mwanamke labda awe hajitambui na hatambui majukumu na nafasi yake kijamii

Ukija upande wa mwanaume yeye hana shida anaweza kuwaanzisha mahusiano na wanawake wengi hatakama yupo ndani ya ndoa kikubwa awe na uwezo wa kuwatunza hao wanawake
 
Kama Gigy money hali yake sasahivi, naona kambisa anaelekea kuchizika, maana kila mtu anaetaka kuwa nae hawamtaki, juzi katangaza kuwa anamtaka platform_Tz ametolewa nje, Gigy money ni single mother anaetaman sana kuolewa lakn hapati bahati [emoji23]
Linatia kinyaa hili lidada....Unga sio kitu kizuri kwa mwanamke
 
Ni sahihi kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ