Marathon Km 42wale mabingwa wanakimbia kwa masaa 2 na dakika kidogo. Huyu jamaa inasemekana ni mzoefu, akitumia masaa 4 kwa Km 40 (10 Km/hr) akapumzika then masaa 3 kwa Km 30 (10 Km/hr) akafunga siku, itakuwa Km 70 kwa siku. Km 1400 kwa siku 20 na hapo atakuwa akikimbia masaa saba tu kwa sikuUmbali mrefu huwezi kimbia hivyo!
Mimi mwenyewe napepea kichizi 20km/h lakini mita mia mbili ulimi ote inje!
Huwezi maintain speed kubwa umbali mrefu NEVER