Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,557
- 1,787
Shikamoni ma producer , nyie tengenezene tuu miziki mtupe rahaa ! lakin na swali.... kwa nini ladha ya muziki wa zamani kama rhumba ni nzuri na haichuji kama ya leo ? mfano ukisikiliza wimbo wa Tabu ley alio imba mwaka 1988 wa Maze una utamu saaana kuliko wimbo wa Mbagala wa diamond aliomba nadhani 2011-12...inakuwa ni viombo vya kichina ua nini?
VS
VS
Last edited by a moderator: