Tujikumbushe: Bibi Titi alivyomwaga fedha kumuua Nyerere

Status
Not open for further replies.
Maulana Al Tayeb!

Asalaam Alaykum, Al Akhiy.

Wallahi,ndo nachungulia hapa kiduchu naona zile "Zah'ma Wa Min'karadas" ndo zimeshaanza!ahaaa!!

Naona unavyoshusha mipini yako kwa utaratibu!ahahaa!!

Ahsanta.

Walaykum Salam Al Ustaadh gombesugu,

Naam kaka, nashukuru kwa kujaaliwa muda huu kuwa hapa, ili niwape kile wanachokikosa katika yale machache wanayo yafahamu!

Kwa mipini hiyo hapo juu lazima wakae tehe tehe tehe!
 
Last edited by a moderator:

Mimi nadhani mnapotosha watu sana nyie,harakati za uhuru zilikuwa karibu kila mahari Tanganyika,isipokuwa Dar palikuwa ni kitovu cha harakati hizo,na sababu zipo nyingi sana,na kwa upande wa Dar zilianza kama harakati za Kidini,waislamu ambao ni wengi kwa kipindi na ndio wenye mji wao hawakupendezwa na utawala wa wageni,hivyo basi kila baada ya swala za jion walikusanyika na kupiga story kuhusu tawala hizo na nyingi ya history hizo ni namna gani wataondoa maudhi ya mtawala wa kigeni.
Harakati hizo ziligeuka na kutoka kwenye dini na kuingia kwenye siasa na hili lilikuwa vuguvugu la kila mahari kipindi hicho.
Bahati mbaya sana,kisiasa Mzizima bado haikuwa na watu wenye weredi,hivyo suala la kutafuta watu weredi lilifanyika.
Na uhuru ukapatikana.
Bahati mbaya sana kwa nyie wadini hamtaki kukubali ukweli kwamba vuguvugu za kiislamu ndizo hasa zilileta mambo mabaya sana baada ya uhuru kwa wale waliokuwa na tamaa zao baada ya uhuru,baadhi ya watu hawakukubali kamwe kutokupata vyeo,ingawa ni ukweli ulio wazi Mwl halijumuisha baraza lake la kwanza la mawaziri na watu ambao hawakuwahi kuuona mlango wa shule hii yote kupunguza vurugu,na hali imekuwa hi to mpaka Leo.
Conclusion,ni ukweli mchungu lakin kama Mwl angekuwa na roho za watawala kama wengine Kipindi like Bibi Titi asingeishi na kufika tamati ya maisha yake peacefully.Na ni wazi hulka za binadamu tunatofautiana hivyo basi kutokutamani hata uone maiti ya mtu aliyetaka kukuua kwa ushaid ulio wazi ni jambo linaloweza mtokea mtu yeyote.
Kifupi haya mambo yapo wazi,vitabu vya Mohamed Said ni upande mmoja,na ukumbuke Kuna conflict of interest kwenye vitabu vyake,sababu Ana unasaba na wakina Sykes and likes,na upande wa pili unasema hili.
Hivyo basi nadhani tufike mahari tumeze ukweli mchungu kwamba kwa waislamu ambao ni wengi nchi hii na harakati zao za kidini zilisababisha harakati za kisiasa na uhuru kupatikana,then after ukosefu wao wa elimu hawakuweza kushika nafasi mbambali baada ya uhuru,na Kisha kuanzisha vuguvugu za chini chini zilizoungwa mkono na wachache wagalatia wenye tamaa za madaraka kipindi kile,na kudhibitiwa na mwalimu,limekuwa ni donda sugu kwa kila kizazi cha kiislsmu kilichofuata kila wanaposimuliana na kureview mapito yale,wanahisi walidhulumiwa kitu,na lawama zao zote ni kwa Nyerere na sasa limezuka hilo la mfumo Kristo,kuwakumbusha tu waislamu ,Nyerere hakuwa na kosa lolote,ni nyinyi kosa lenu wenyewe,by 1961,nchi inapata uhuru wenye degree ni watu 12 tu kwenye taifa la watu milion tisa na wote ni wagalatia,mlitaka afanyeje?Go on forget the past my dears.
 
Mwanasiasa umkanye huyu panya buku atakuharibia kanyageni.



Maalim Chamviga,

Asalaam Alaykum,mimi hufurahika kila mara nionapo hizo nondo zako...Mwinyi Al Sahib wangu!

Maneno yako hayana shaka wala dhaka yakhe!...

Umenichekesha pasi kiasi kumwita huyo mjaaluta Nyakageni aka Mkanyageni yakuwa ni Panya-buku! Kwi! Kwi! Kwi!

Na yule mwingine mnywa mbege/mataputapu Mchaga Jambazi... anayejiita jina la Slave Master wake Nicholas! Kwi! Kwi! Kwi!

Hawa takriban woote watu wa Chadema hawana hoja wala hawakusoma kama vile wanavyojifanza na kujinasib humu mitandaoni...wamejawa tu na chuki dhidi ya Uislam/Waislam basi!...

Yaani sasa hivi humu Jf,imekua ni kama trendy vile; Chadema/Mkristo yoyote akishindwa hoja au akijihisi hana mantik,basi atakimbilia kutukana Uislam/Waislam ili apate cheap support ya wapuuzi wenzie!

Hawa kwenye hiyo Chadema/Ukristo wao ni kama mahawara wa kisiasa tu,hawana tafauti yoyote na yule Mama yao wa Kihaya...Josephine Mushumbusi! Kwi! Kwi! Kwi!


Ahsanta.
 
Kila mtu ana dark side hata wewe pia mkuu, kuna mambo ambayo hutamani tuyajue lakinipo siku tutayajua..ni jambo la muda tu na nafasi, vile vil eunaweza kutumia jina la kambona kwa watoto wako, ni nafasi nzuri kumuenzi sio lazima kila mtu apewe mtaa ndio mchango wake ukubalike
 
Mkuu Ritz pamoja na gombesugu mnamwona mzee wakuharisha Nicholas! Halafu nachoshangaa huyu mgalatia anaingia jf usiku tu,yaani kama changu na mitaa ya ohio

Basi nawewe ni CHANGU tena ulokubuhu maana umeingia saa nane ucku baada ya Nicholas! Hhahahahaa...kweli nyani haoni kundule!

Tatizo lenu ninyi waislam, mkishindwa hoja mnakua na vioja! Maneno meeeengi, facts zero, utendaji zero! Cheki mukulu JK, Mwinyi....tunawapuuza tu shwaain..
 
Last edited by a moderator:
Wewe inaonekana ni mgeni humu ndani.
Hicho kitabu kilishajadiliwa sana humu zaidi ya miaka miwili na watu wengi tulifaidika kwa kupata taarifa kutoka sehemu mbalimbali......wapo waliokikosoa kwa hoja za maana na wapo waliokiunga mkono kwa hoja vilevile. Nadhani wewe ndio umekosa mengi kuhusu hicho kitabu kwa kuwa umeelemea upande mmoja wa stori.
 

Ritz, nshawahi kujibizana na ww humu. Nilifanya hivyo kutokana na thread zako zisizo na maslahi kwa taifa letu! Ni wazi, members wengi wanakujua kwa upuuzi huu na upo mashuhuri sana hapa jamvini bt ur good for nothing, completely nothing!!

Nayasema haya kwasababu kwa mtanzania mzalendo na mpenda nchi yake kwa dhati kabisa kabisa, huwezi hata kidogo kujaribu kufuta-legancy ya Mwl. Nyerere katika kudai uhuru wa taifa hili! Hao unaowatetea akina bibi titi na wengine, wale walikua hawadai uhuru walikua wanatetea na kudai mambo ya kiislamu wakati mwalimu yeye akipambana kwaajili ya uhuru wa watu wote bila kujali mkristu au muislamu!

Wewe kiumbe umekua ukiutetea san uongozi wa Kikwete na genge lao madarakani, na hii inatupa picha kwamba kwakua umekua ukitetea maslahi na misimamo ya serikali ya Kikwete, nalo hili unalopinga juu ya nyerere ni wazi ni msimamo wa JK na serikali yake maana kama wangekua wanautambua na kuudhamini kazi ilotukuka na ya kipekee ilofanywa na Nyerere, BASI ww kibaraka usingeenda kinyume nao!

Kwa muktadha huu, ni wazi kwamba ww na genge lenu la kidini wakiwemo kina Kikwete mtalitumbikiza taifa hili katika matatizo makubwa ya udini! Maana yooooote haya yanayozungumzwa sio kitu kingine zaidi ya UDINI tu!
 
Tatizo lenu ninyi waislam, mkishindwa hoja mnakua na vioja! Maneno meeeengi, facts zero, utendaji zero! Cheki mukulu JK, Mwinyi....tunawapuuza tu shwaain..




Ndugu yangu huyo Alhaj Mwinyi, kama umeamua kumuona kama ni Muislam tu na sio Rais wako Mstaafu wa Awamu ya Pili...basi una kazi kubwa mno ndani ya ubongo wako!?

Huyo Rais Mwinyi,si ndo alokuja kukutoeni tongotongo za macho na kukufundisheni kuvaa viatu vya maana badala ya kuvaa mipira michakavu ya motokari aka "makatambuga"...au mara hii mmeshasahau!? Kwi! Kwi! Kwi!

Huyo Mkristo mwenzio/mwenzenu unayemsifia Nyerere aka "Mwalimu";si alikuacheni mnatembea makende nje na wengine mkila nyasi kama kondoo na nchi nzima ilikua hoi bin taabani!?

Huo upuuzi woote wa hao Viongozi wachafu,mafisadi na wazandiki ambao ninyi Chadema/Wakristo mnalalamika humu mitandaoni-Jf kila kukicha kama vifaranga vya kuku...hujui yakuwa hiyo ndo mojawapo ya legacy ya yule Mkristo mwenzenu Nyerere!?


Unawezaje kuwalinganisha Marais wa nchi/pahala tena kwa kutumia vigezo vya kidini...khalaf ndo unajiita ati umesoma wewe!?

Kuna mengi ningekwambia/ningekufunza lakini nina shughuli za maana zimenibana hapa kiduchu....

Hizo myth zenu za kipuuzi/za kizamani mlizokua mnadanganywa na kubebwa na yule Nyerere zitakufikisheni pabaya...huna uwezo,nia,mbinu wala dhamira ya kuwadharau Waislam/Uislam...hizo nyakati ni zilipendwa!

Acha ujuvi na makhanatha ya kwenye keyboard!!

Kasome ujifunze...na pia punguza mihemuko na dharau/chuki za kidini!

Ahsanta.
 

Mkuu we kweli mdini namna mnavyomchamba huyo bwana Nalli kuhusu maraisi Mwinyi na Jk,then unageuka na kumchamba Mwl Nyerere,hakika unanipa funzo moja ni ngumu sana kuiondoa imani ya mtu hata kwa mambo yalio wazi kabisa.Haya bana lakini usisahau kupeleka watoto shule,hasa za wagalatia watapata kitu pengine cha kuwasaidia.Msalimie Mohamed Said.Mapambano bado tunayaendeleza.
 




I read your waste!

You talk like you blundered into someone else nightmare.

Wake up and get some sense in your bloody head!

Your attitude is always counter-productive. I wouldn't say arrogant,but comfortable ignorant.

You cannot provide a solution to the mess you live on! This is much deeper than being judgemental of finger pointing.

Muslims need an aggresive and intelligent response to the reality and issues we're facing in our Country... and We are here to stay,just get over it!

Ahsanta.
 

Nilijua nitaambulia japo kujifunza jambo, wapi! UDINI, CHUKI na USWAHILI umekujaa moyoni!

Haya tumekusoma, kimbia wahi msikitini au kijiweni mkapige DOMO maana ndo zenu!
 
kambona hakuwa muislamu na barabara za dar Es Salaam nyingi ziligawiwa kwa kufuatia dini ya mtu. kama wangefuata ukweli mtu kama Lupia angepewa barabara ya msimbazi!!

Lupia,rafiki wa mwalimu,
 


Mkuu!

Ni kwakuwa tu humu Jf hatufahamiani...napenda kukufahamisha yakuwa Family yangu yoote tangia karne hatuna asili ya kukosa Ilm. Nina maanisha Ilm ya kisawaswa sio pale "Mlimani". By the way Mzee wangu aliwahi pia kukufundisheni pale Mlimani kwa miaka "michache" enzi za yule Nyerere.

Haya nikwambiayo hata huyo Nyerere wenu hilo alikua analifahamu saana tu!...kuna mengi nitakujuza Insha Allah penye majaaliwa "siku nyingine" ndugu yangu.

Nakuheshimu ndugu yangu,nastaajabu kama wewe ungekuwa mstaarabu/"msomi" japo kiduchu;ilitakiwa umkanye huyo "Mkristo mtiifu" mwenzio kwa zile kashfa zilizokua hazina mantik yoyote tena huku aki-blanket na kutukana Waislam woote!?

Au yale wewe binafsi hayakukutia dhiki!?

Ahsanta sana.
 
Nakumbuka those days tunakimbia mchakamchaka kwa kuimba Kambona ameolewa olewa olewa olewaaa, ameolewa kwa kuogopa, azimio azimioo la Arushaa, alafu inaendelea Kambona aah aah Kambona aolewa wapi aah aah huko ulaya....to be continued

Those days Kambona nilikuwa namwona mtu wa ajabu kweli kumbe ilikuwa ni kutofautiana kwa ideas tu kama inavyotokea sasa hivi lakini watu wanaishia kwenye magazeti tu.
 
Nilijua nitaambulia japo kujifunza jambo, wapi! UDINI, CHUKI na USWAHILI umekujaa moyoni!

Haya tumekusoma, kimbia wahi msikitini au kijiweni mkapige DOMO maana ndo zenu!




I try to answer the likes of you with silence and indifference...it works better,I assure you,than anger and silly argument/s!

Ahsanta.
 
Lupia,rafiki wa mwalimu,



Kama unamaanisha John Rupia...yule Mzee alikua ni rafiki mkubwa/wa karibu na wa miaka mingi wa Shariff Abdallah Al Attas,ambae ndipo baadae akamfahamisha na kumkutanisha na huyo Nyerere aka "Baba wa Taifa".

Kama utahitaji kuthibitisha hili...huna haja ya kusoma vitabu/maandiko ya Mohammed Said;kama upo hapo D'salaam/Mzizima jaribu kumtafuta Mpuya Rupia atakufahamisha vizuri na labda mengineyo mengi!

Ahsanta.
 


Shariff Ritz,

Salaam.

Huyo Mag3,nafikiri uzee wake unamjia vibaya.

Lakini asikupe taabu,huyo shughuli yake niachie mimi!

Tuombe Mola hao Mods wasijekuufunga na huu mnakasha pia!? Kwi! Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…