kambona hakuwa muislamu na barabara za dar Es Salaam nyingi ziligawiwa kwa kufuatia dini ya mtu. kama wangefuata ukweli mtu kama Lupia angepewa barabara ya msimbazi!!
Ndugu yangu, mbona tena unaleta
khadith za kitoto na kutaka kuiharibu hii
thread...jaribu kujitofautisha na hao
mbumbumbu wengine!
Mbona hata
Waislam unaowataja/unaowashutumu nao pia wanalalama pita kiasi yakuwa hizo mitaa/Barabara takriban zoote wamepewa
maluuni wengine tu wasiokua hata na history,asili au hata kujitolea muhanga na hilo jiji au nchi/Taifa letu!?
Unafahamu yakuwa mitaa michache mno hapo
D'Salaam hiyo mnayodai ati ina majina ya
Waislam; ilipewa majina hayo baada ya
msukosuko na
lawama nyingi toka kwa
Waislam na
wapenda haki wengineo hapo nchini!? Hii ilikua khasa kipindi cha
Alhaj Hassan Mwinyi na
Kitwana Kondo.
Ikumbukwe zaidi,yakuwa hao unaowaona ati ni
Waislam... asilan hawakupewa majina ya hiyo mitaa sababu ya
Uislam wao...hasha abadan!
Hao walikua ndo
Vinara,Wanaharakati,Wafadhili na
Wahenga wakuu wa kupigania ukombozi/harakati za kutupatia huo
"Uhuru" wetu.
Zaidi ya hilo,takriban woote kati yao hiyo
D'salaam/Mzizima ni kwao au ni kwenye asili yao...kwa hiyo hawakuwa ati ni wageni hapo kama wengineo wengi tu!...
Hata hivyo wengi mno kati yao wamesahaulika kwa makusudi kwenye hiyo "
Official History" ya nchi hiyo kama alivyoitaka yule
Nyerere!
Nafikri pia unashuhudia hata leo wakijaribu kutajwa kiduchu tu humu mitandaoni-
Jf na kwingineko,basi hutokea
Wajaaluta kadhaa kuwakashifu hao Mashujaa wetu,Wanaharakati na Wakombozi wa huo
"Uhuru" wetu!?
Nakhis ni uzuri ifike wakti baadhi ya jamaa zetu wengi mpunguze jazba na
mihemuko ya kidini japo kiduchu na kuzipisha hizo
Ilm na
busara zenu kufanza shugulize japo thuluthi...na hii ni kwa faida yetu soote na
Taifa letu changa!
D'salaam,ni mmojawapo wa mikoa michache saana kama sio pekee hapo
Tanganyika usokua na ubaguzi kwa watu woote...embu kachungulie huko mikoani kuna mitaa mingapi yenye majina ya watu wenye asili au kutoka
D'salaam/Mzizima!?
Nyerere alichukua ile ilokua
Independence Avenue nafikiri ndo akaipa jina la yule
Mmakonde Terrorist wake...ambae bila ya shaka kama angalikuwapo mpaka leo basi wale washenzi/Politicians wa
Western World labda nae pia wangemwita pale Dan Hague/
The Hague akajibu charges -
Crimes against humanity!? Kwi! Kwi! Kwi!
Kuna wakti nilitoa maoni na sababu/history kiduchu humu
Jf,kupinga yule mpuuzi
Mwai Kibaki kupewa jina la mmoja wa mitaa/barabara zetu maarufu hapo
Mzizima/D'Salaam...matokeo yake nilishambuliwa vibaya mno tena bila hata ya mantik yoyote ile!?
Ahsanta sana.