Dah mwl mpande alikuwa noma Sana...asubuhi mchakamchaka ole wako akukute umelala bweniniNingeshangaa sana kama usingemtaja Mwalimu Mpande wa Moshi Technical, daah umenikumbusha mbali sana japokuwa umri umeenda sasa ila sitakaa nimsahau huyu mtu. Alikuwa noma sana na usemi wake eenhe bwaana..ππ, mara ya mwisho nilikutana naye pale Moshi mjini Fresh coach 2018 nikamtupia wekundu kadhaa, alinishape sana kitabia namshukuru kwa kweli may be leo nisingekuwa hivi nilivyo. Live longer Mr. Mpande
Mbona marehemu Kimune ujamtaja.[emoji1787][emoji1787]Mama Ruhumbika, H/mistress Pamba sec.... mwanza
Shkamoo mama, hadi unaogopa kukutanisha nae macho.
Kimune alikua anazingua sana.Unamkumbuka mwl KIMUNE ww??
Daah R.i.p
Pamba secNi wa wap
Kimune hakua mkali sema unoko unoko mwingi akushtaki shtaki ilimradi tu hataki amani yani πMbona marehemu Kimune ujamtaja.[emoji1787][emoji1787]
Soma kichwa cha habari tena.
Hakuwa Kitomari kweli?Ifunda kulikuwa na mwalimu mmoja ana jina la kichaga.. hakuwa mnoko sana ila ukisema umpe pocket money akuwekee ndo IMEISHA HIYO.
Miss Tanzania ndio mama Mazengo au ?Ilikuwa ukimzingua mwl.Masatu anakupa makofi ya chapchap hadi uone nyotanyota!Shaban Robert East enzi hizo.Na mwl.Mgimwa katika malezi akiwa na "Miss Tanzania"![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kumbe nawe ulisoma Mkwawa? Mkwawa ilikuwa balaa, hiyo kombolela isikie tu, mimi niliwahi jikuta nimekubwa na kombolela walimu wanne waliingia bwenini na viboko vya kutosha saa 1 asubuhi sisi tukiwa bado tunaoga tulikuwa washkaji kama 5 hivi , basi jamaa walitembeza bakora ivo ivo bila kujali mpo uchi, ilibidi tukimbie na kupanda juu ya dari la bweni hapo tukiwa na mataulo tu. jamaa walitusihi tushuke tuyamalize lakini tuligoma , tuliwapa sharti moja zito waondoke au tujirushe chini nje ya bweni tupasuke au tufe kabisa maana palikuwa parefu. Basi dogo mmoja alijirusha kweli ile kumchungulia dogo alitapakaa tamu kama kapigwa ngumi Sugunyo ya bmandoga, taya na meno vilikuwa vinadam, including pua, ilibidi walimu waache hiyo tabia ya kufanya kombolela baads ya hapo. tulikuwa tukiishi maisha mazuri tu, hata ukichelewa pared hakuna kombolela.Hahahaha asbh tulikuwa tunaita kombolela kutukimbiza wachelewaji. Mgimwa hakuwa mnoko kivile.
"Mama Mchaga"!πππMiss Tanzania ndio mama Mazengo au ?
Mno, mwanafunzi wa shule yoyote akimkuta mjini ni balaaKaishozi alikuwa mbabe sana Dom miaka ya 90
Mbao alikuwa na pigo kama za kiongozi flani mkubwa wa kiserikali.Masatu alinifundisha English one,Mgimwa Geography 2.Mgimwa alikua best sana.Kipindi hicho ni kijana wa miaka 17 hata sijaanza kuchakata mbususu.Umenikumbusha mbali enzi hizo Mkuu ni Mr Mbao
Yeeeeesssss huyohuyo πππHakuwa Kitomari kweli?
Da! umetaja mwl Mpande umenikumbusha mbali saaana kwa kwa dada Asha!!!Nimeandika huu uzi baada ya kuwakumbuka waalimu wangu hasa wale wakuu wa miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni waliokuwa wakali sana wasiotaka masikhara kiasi cha kuweza kujulikana hadi mkoa mzima na kanda. Wafuatao walivuma sana kanda ya kaskazini;
1. Mwalimu Kibatala - Shule ya sekondari Karatu, Arusha.
2. Mwalimu Shayo - Shule ya Sekondari Arusha.
3. Mwalimu wa malezi Ilboru sec, jina limenitoka ila ana jina la kimasai. Waliosoma 1998 - 2001 wanaweza kumkumbuka.
4. Mwalimu Teti - Tanga technical Secondary school. Huyu mkuu wa shule ilikuwa sio poa...
5. Mwalimu Mpande - Moshi Technical Secondary School. Huyu mwalimu kwenye umisetta alikuwa tishio. Ukileta zako ni kibano unakula.
6. Munga - Kaloleni sec, Arusha.
7. Kipingu -
8. Mwalimu Masatu na Mgimwa - Mkwawa High School (complex)
Ongezeeni majina mengine tujikumbushe enzi za u-teenage.
Mwamba huyu hapaβ¦Huyu alikuwaga ana historia ya kuto wahi msamehe mtu.halafu hajawahi cheka pia
Basi Mpande alikuwa maarufu sana. Nimeona comments nyingi hapa zikimtaja.Da! umetaja mwl Mpande umenikumbusha mbali saaana kwa kwa dada Asha!!!
Alishaaga duniaMchwa mpaka.....Azania