James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Jonh Walker na Ras Lion ukisikiliza ngoma zao ni burudani sana1.JOHN MJEMA - Wachumba 30
2.FATHER G - Binti Mlokole
3.SOGY DOG - Kibanda cha Simu
4.BESTA feat DULLY - Kama ulivyo
5.BABLEE - Kizizi
6.PLANET 2000 - Bab Kubwa
7.UNIVERSITY CORNER (U.V.C) - T-shirt na Jeans
8.JOHN WALKER & RAS LION - Bitozi
9.MAD ICE - Baby Girl
10.MAC DIZZO - Sugar Mamy
Vipi,niendelee au inatosha?
Endreeeea1.JOHN MJEMA - Wachumba 30
2.FATHER G - Binti Mlokole
3.SOGY DOG - Kibanda cha Simu
4.BESTA feat DULLY - Kama ulivyo
5.BABLEE - Kizizi
6.PLANET 2000 - Bab Kubwa
7.UNIVERSITY CORNER (U.V.C) - T-shirt na Jeans
8.JOHN WALKER & RAS LION - Bitozi
9.MAD ICE - Baby Girl
10.MAC DIZZO - Sugar Mamy
Vipi,niendelee au inatosha?
Hapa Sos B umemuweka na watu wasio wake..... Muweke na Kina Sugu Mikononi mwa Polisi, Muweke na Kina Diplomatz1: Sos B - Kukuru kakara.
sijui kwa nini Sos B akuendelea na rap. Mwamba alikoa mmoja ya wasanii wa mwanzoni kabisa kutoa nyimbo za rap Tanzania.
2: Picko - Kikongwe (RIP)
3: JI -Kidato kimoja
4: Top C -Lofa
5: C-sir madini - Kifungo huru
Tukumbushane nyingine
Kiitikio walimshirikisha Mangustino. Moja ya Tungo kali sana.Waswahili - Pengo...
Kila leo nafikiriaaaa, sana, Pengo gani liliacha historia... Sanaaa
Solid Ground Family!Mechi Kali kati ya uhai na kifo sijui aliimba nani
Umeelewa uzi kweli?Uzi upo page 3 lakini sijaziona bado
•Kamanda
•Barua by Daz Nundaz
Chelea man - Msela, K-sal - mwana mkiwa,1: Sos B - Kukuru kakara.
sijui kwa nini Sos B akuendelea na rap. Mwamba alikoa mmoja ya wasanii wa mwanzoni kabisa kutoa nyimbo za rap Tanzania.
2: Picko - Kikongwe (RIP)
3: JI -Kidato kimoja
4: Top C -Lofa
5: C-sir madini - Kifungo huru
Tukumbushane nyingine
Ilikuwa bonge la ngoma aise.!Buibui - Mawazo
Mzee mwenzangu ngoma za kubembeleza kweli ulizizingatia..!Enika - Baridi
Huyu msanii alinitoa udenda sana kipindi hiko. Yupo wapi?Tulia - Jackie Marie