kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,273
- 1,703
Kwaio wewe ndo ambae haujafika chuo kikuu au?Alafu utakuta umemaliza chuo kikuu na una digrii!
Kwa akili yako unafikiri vita ya kiuchumia inapiganwa na mabunduki na vifaru?
Do you know the meaning of zero hours?If you've got Zero hours how can you decipher?
Jibu swali tunapigana na nchi au Taifa gani hii vita?Ivi we jamaaa una akili ??? Ningekua na mamlaka ningechukua vyet vyako na kukudisqualify au kuchana!!?...
Hufikiriii hata kidogo...
Vita ya uchumi c lazima iwe Kama ilivo ya USA NA CHINA....hyo iko popular kwasabab wote n wababe.....
Unafikir CHINA inapgana kiuchumi na USA PEKEE....pole
.....ebu nikufungue CHINA inavita ya kiuchumi na nchi za Asia, India,Japan, Australia na zingine ndogo ndogo...mind you Kila nchi inataka kua the top in economic waraffars
Tz mfano nchi maskin Vita zetu tunazopgana n na nchi za Africa ambazo zilituzid au tulkua nazo sawa Sasa zinaona tunaataka kuzpta...esp Kenya...
Nchi za mabeberu.....zilizokua zinainyonyonya zinapoona nchi inaimarika zinaanza kuipga Vita Kwan watakosa sehem yakunyonya malighaf....mf Canada,USA, na EU....ujue Kama nchi iliyo na resources inapojalibu kuinuka n Vita kubwa Kwan inaathiri waliokua wanapata bwerere
Nyumbu tunapumbazwa sana na hii vita, wakati it's just a propaganda.Vita vya kiuchumi,wimbo wa mabeberu, ukoloni mamboleo,sijui IMF,nk hizi ni nadharia za watu walioshindwa kuleta matokeo positive kwenye Jamii.Ina maana Asia, Vietnam,Brazil,Dubai huko Hakuna mabeberu, ukoloni mamboleo,IMF,nk.
Kwann wanashindwa kuleta matokeo positive ni sababu Jamii hatushirikishwi kwenye vipaumbele vyetu,maana vipaumbele vya watawala si vipaumbele vya wananchi.Watawala vipaumbele vyao ni vya kutafuta sifa baada ya kuvimbiwa Kodi zetu,sisi hata Kama tunakufa umasikini sio hoja kwetu.
Zimbabwe vs Nchi za magharibi ulisikia kufyatuliwa kwa risasi? China vs America umesikia Vita vya kijeshi?Alafu utakuta umemaliza chuo kikuu na una digrii!
Kwa akili yako unafikiri vita ya kiuchumia inapiganwa na mabunduki na vifaru?
Wanatafuta kichaka cha kujificha Jangwani/Mbuni anaficha kichwa mchangani.Hiyo ni propaganda ya kuwahadaa Wananchi ili tusiwaulize kwa nini hali inazidi kuwa tete kimaisha kwa waliowengi.Asilimia 80% ya hotuba za Rais John Pombe Magufuli huzungumzia jinsi tulivyo katika vita ya kiuchumi. Lakini mpaka anamaliza awamu yake ya kwanza, hajawai kutueleza hii vita tunapigana na Taifa gani.
Katika maongezi yake, ni kama vile kuna nchi kubwa haitaki Tanzania tuendelee kiuchumi. Hii nchi au Taifa au Mataifa yanafanya mbinu ovu ili tukwame kiuchumi.
Swali ambalo watanzania wengi wanajiuliza na hatupati jibu ni.. Tanzania tunapigana vita ya kiuchumi na nchi gani?
Logically Nchi zinazopigani vita kiuchumi ni lazima ziwe zinalingana/ shabiana kiuchumi. Mfano USA and CHINA. Hawa ukiwaangalia ni kweli wako vitani sababu mmoja anataka awe juu za mwenzie na wanawekeana vikwazo. Hata siku mmoja Tanzania haiwezi ingia vitani na mataifa matajiri. Zimbabwe analijua hili vizuri sana.
Kwa maana iyo, Tanzania haiwezi kuwa vitani na Mataifa makubwa kiuchumi hasa ya bara la Ulaya, America na Asia. Ni upotoshaji kusema au kuassume tupo vitani na nchi inayosuppprt asilimia ya budget yetu. Ni upumbavu kuamini tupo vitani na nchi ambayo haitutegemei wakati sisi tunawategemea. Pia ni ujinga kuamini tupo vitani na nchi ambayo Mapato yake kwa wiki ndyo mapato yetu kwa mwaka.
Labda tuassume Tupo vitani na Majirani zetu ambao tupo nao pamoja kwenye East African community. Hatuwezi pigana na Rwanda wakati ndye rafiki wa nchi yetu mkubwa, hatuwezi pigana na Uganda wakati tulishampiga na hawezi kutuchokoza kabisa. Hatuwezi pigana na Wakenya wakati nao ni marafiki zetu mpaka tugawagawia Tausi. Tena hawa wakenya Tulikamata vifaranga kutoka kwao tukavichoma, wao wakakamata ngombe toka kwetu wakawarudisha.
Sasa swali bado linabaki. Tunapigana vita na Nani? Hii vita ya kiuchumi ni nani anatukwamisha tusiendelee kiuchumi wakati tumeweza tengeneza ajira 6million, tumejenga viwanda zaid ya 4000 ndani ya miaka 4. Hata Kenya haitufikii sasa kwa viwanda.
AhaaaaMwenyekiti wa Chadema alivaa gloves za mtumba kwenye mkutano wake na waandishi wa habari.
Tanzania ndiyo yenye uchumi unaotamaniwa na mabeberu duniani siyo?? Akili yako kama ya ngiriNashangaa sana kuona watu wazima mmeshupaza shingo kulaumu upuuzi.
Kwamba kama kuna shirika la viwango nchini Tbs, kwa nini mkuu wa nchi atoe tahadhari juu ya barakoa ambazo zinaweza kuwa na madhara ya kwa watumiaji?
Hivi hamjui kuwa pamoja na kuwa na shirita la viwango nchini bidhaa nyingi feki huwa zinaingia sokoni kupitia njia za panya. Na huwa zinaghundulika baada ya muda, tena mpaka msako ufanyike?
Je, mnadhani hakuna watu wanaoionea husuda Tanzania kiasi cha kuweza kuweka madhara kwenye barakoa zinazoweza kuingizwa nchini kwa njia za panya?
Mmesahau hata USA ilipewa msaada na China na kugundua kuwa barakoa zilikuwa hazina ubora? Mmesahau?
Kuwa na shirika la viwango ndio sababu ya kutopata vifaa visivyo na ubora? Hapana,sababu njia za panya ni nyingi . Hii sio sana
sababu ya kutochukua tahadhari.
Nadhani mmepewa tahadhari ili kuwa na uhakika wa kujilinda ni bora utengeneze cloth mask yako. Maana unaweza ukawa Karagwe, Njombe,Hai na mtu wa nchi jirani akakupa mask toka nje kumbe haina kiwango na ina upupu.
Maoni; Tuache kuwa wakosoaji wa kila kitu, kisa tu tuna chuki za kisiasa. Uchaguzi umepita tuwe na umoja.
Kwa hiyo tuwe kama matahira ya ndio mzee au tuwe makondoo.wewe mwenyewe umepata nafasi ya kuchangia hapa na kueleza mtazamo wako kutokana na kuwepo kwa mtu anaye itwa Mkosoaji.