Tujiulize, vita ya uchumi tunapigana na nani?

Kaanze chekechea,jifunze kusoma
Ccm mchambaji weweπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† nawe jifunze kuunganisha matukio vzr na visa vyako/maelezo ili yawe yanaeleweka. Unafungua uzi bila ata sababu ya msingi kisa tu umekula ukashiba.
 
Ccm mchambaji weweπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† nawe jifunze kuunganisha matukio vzr na visa vyako/maelezo ili yawe yanaeleweka. Unafungua uzi bila ata sababu ya msingi kisa tu umekula ukashiba.
Kosa ni kutokujua kusoma kwako,pole.
 
kuna baadhi ya watu wakiambiwa na jiwe watoe t.go ndo kinga ya "kolona" watatoa fasta bila kuhoji kwakuwa tu nikiongozi amesema!

mleta mada ni mmojawao!.
Madhara ya kuzaliwa una hormone za kike. Vipi mbelgiji huna contact zake?
 
Sio kila suala unaweza kulielewa. Sometimes unakaa kimya.
 
Kwa hiyo tuwe kama matahira ya ndio mzee au tuwe makondoo.wewe mwenyewe umepata nafasi ya kuchangia hapa na kueleza mtazamo wako kutokana na kuwepo kwa mtu anaye itwa Mkosoaji.
Kosoa kwa kutumia akili, sio kukosoa tu ili uonekane unapingana na kila kitu.
 
Kama vita imeanzishwa na nyie hiyo ni sawa kabisa.
 
Sasa hii ndio mjadala ya wale wanaoitwa great sinkers au sink tanks

Sawa sijui kwa wale major floating people itakuwaje
 
Acheni kuunga mkono kila pumba anazotoa Meko, sometimes watendeeni haki wazazi wenu kwa vile waliwapeleka shule.

Kama Meko anasema kifo kipo tu hakuna kujikinga mbona huku tunapokea chanjo za BCG, Measles, Pentavalent, Rotax, Tetanus toxoid vaccine. Kwanini tunagawa Condom na net za kujikinga na Malaria?. Basi tuache vyote. Justification za eti kifo kipo tu ni za kipumbavu hazipaswi kutolewa na kiongozi mkubwa kama yeye JPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…