Kavirondo
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 751
- 1,605
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna uhusiano wa CHADEMA na simba au Yanga na CCMMaskini Upo peke yako maana 99% ya JF ni chadema, hivyo ni wapinzani wa Yanga na CCM.
Hahah.sijui kama atajibUmezaliwa mwaka gani?
Huyo ni wewe? Au mo29
Sio kweli mnajistukia tu.bingwa wa ndumba ni Congo na Nigeria,lakini wote Plateu na As Vita walikufa kwa Mkapa mchana kweupeee.
Smart guyYanga
Umesahau kwenye mziki SINGELIKwenye mpira Simba
Kwenye siasa chadema
Kwenye dini katoliki
Kwenye kabila mpare
Huyo ndio Mimi.
Kule alikuwa anakera kwa sababu ya njaa...saiv mwacheni afanye kazi yake...yule ni MSEMAJI/MHAMASISHAJI na wala sio MKERAJI kama alivokuwa kwa TAJIRI WA INSTAMmemnunua kwa gharama lakini bado ajatukera kisasawa kama alivyokua anawakera wakati akiwa kwetu.bado hajafunguka sijui anaamuogopa mzee tozi mtu mbady!
Hivi twaha alivompiga dulla na kukabdhiwa gari hukuona analia.?Kulia kutaendelea kuwa ni huzuni na kucheka kutabaki ni furaha mpaka dunia itakwisha. Otherwise ni unafiki.
Tuko pamojaDar Young Africans... Am in deep love with YAnga
Dah sikuwa na hilo wazo mkuuSimba......
Ungeweka poll