Kulia kutaendelea kuwa ni huzuni na kucheka kutabaki ni furaha mpaka dunia itakwisha. Otherwise ni unafiki.Mfano yupi aliyelia.....
Alafu kuna kulia kwa furaha ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulia kutaendelea kuwa ni huzuni na kucheka kutabaki ni furaha mpaka dunia itakwisha. Otherwise ni unafiki.Mfano yupi aliyelia.....
Alafu kuna kulia kwa furaha ujue
Wangu mwenyewe...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi huyu dada naanzaje labda nikufweView attachment 1930399
Ewaaah [emoji8][emoji8][emoji8] chombo ya fundiWangu mwenyewe...
[emoji7][emoji7]
Mrembo kama wewe unaanzaje kushabikia utopolo.Dar Young African View attachment 1929986
Tumepishana kabila tu! Mimi ni MALAFYALE!Kwenye mpira Simba
Kwenye siasa chadema
Kwenye dini katoliki
Kwenye kabila mpare
Huyo ndio Mimi.
Wacha weeee 🤪Dar Young African View attachment 1929986