kuna timu nasikia kocha wao ana vyeti vya kufundisha majimaji fc peke akeMWANANCHI....
MBUMBUMBU hawana nafasi hapa.
Bora hata majimaji mkuu..kuna timu nasikia kocha wao ana vyeti vya kufundisha majimaji fc peke ake
Hujajibu swali...umeongeza makolokolo yasiyotakiwa ....Kama ni mtihani ni sifuriKwenye mpira Simba
Kwenye siasa chadema
Kwenye dini katoliki
Kwenye kabila mpare
Huyo ndio Mimi.
Sema kweli we mzee
YangaaaSema yangaaa....kolo liweke pembeni
Polen sana watani...Tuna mains mkubwaView attachment 1932585
Wewe tuUwiii. Asante sana. Niambie naipataje sasa
Hapo sawa
Hhahhaa mashabiki wa chumbani