Tukate mahusiano na Israel kama walivyofanya Afrika ya kusini

Tukate mahusiano na Israel kama walivyofanya Afrika ya kusini

Ukristo ni IMANI, Si Dini.

Wapo waarabu na waislamu wengi Walio Wakristo.

Wayahudi Wana amini TORATI ya Musa, na Wana dini yao.

Israel wapo wenye IMANI ktk YESU kristo, bt wengi hawamwamini YESU.

ANGALIZO: Ukiilaani Israel UNALAANIWA, na ukiibariki Israel UNABARIKIWA.

Tanzania ni Nchi ya AGANO, ni sahihi kuhusiana na ISRAEL.
 
maliza kabisa toa nyongo yako na ile kusema maustadh na mtume wao wameoa wake kumi na nne mbona hujasema, uwanja wako huu kwa kuwa uzi huu unahusisha dini pia,,, so toa dukuduku lako kabisa hapa na naona umeniwekea na link nyingine, sawa nitaingia ,, lengo la kukuita hapa ili utukane kwa kuwa uzi huu hasa ndo wenyewe,,, ila kule kwenye uzi wa vita ya Ukraine/urusi usituletee taaarabu zako hizi, za chuki za maustadh na mashekhe

Wala sina nyongo, nawakumbushia hilo la kuua waafrika wenzenu kisa mwarabu mnayemuabudu alipowadanganya kupata mabikira 72, ukizingatia yeye alivyo katili kwa katoto alikokanyandua.
 
Sasa Afrika hata ikijitenga yote na hao waisrael kwa uelewa wenu mtaleta impact gani. Mwarabu mwenyewe kuanzia Saudia mpaka Emarati kutwa kucha wanasaini mikataba kurejesha uhusiano na Israel. Nyie watumwa weusi ndiyo mnajifanya mnaguswa sn na yanayowapata wafilistine. Kama filistine anataka amani na Israel aache ushamba kuwatumia Hamas,Mahizbullah na wengine kuvurumisha maroketi kwenda Israel. Wauate meza ya mazungumzo Kama baba yao Arafati,,,vunginevyo watafyekwa wote na wavaa kobaz wa Afrika hawatoweza kuwasaidia!
Hao unaowaita waisrael warudi. Kwao Ujerumani na Spain waliletwa pale kama wakimbizi tu WA kutafutiwa hifadhi. Ndio. Maana walitaka kuletwa UGANDA PIA. Yaani ni kama Leo waletwe hapa tuwahifadhi pwani halafu waanze kusema wao ni nchi kamili. UPUUZI TU
 
Umetaja Zulu na Ngoni, Vipi Makonde! Au ndiyo Ephrahim?
Makonde sijajua bado ila.pwani yote ya East Africa ilikuwa Inaitwa AZANIA. hebrew name... Limebaki kidogo hapa Tanzania kwa shule ya AZANIA na benki. But watakuwa tu na originality na the old Israel. Wanyamwezi nadhani watakuwa mix ya Juda na Levi.
 
Ukristo ni IMANI, Si Dini.

Wapo waarabu na waislamu wengi Walio Wakristo.

Wayahudi Wana amini TORATI ya Musa, na Wana dini yao.

Israel wapo wenye IMANI ktk YESU kristo, bt wengi hawamwamini YESU.

ANGALIZO: Ukiilaani Israel UNALAANIWA, na ukiibariki Israel UNABARIKIWA.

Tanzania ni Nchi ya AGANO, ni sahihi kuhusiana na ISRAEL.
Africa ndio Bara linaongoza kuimbishwa na wachungaji kubariki Israel na mabendera wameyajaza kwenye nyumba zao. But ndio Bara lenye kila Aina ya shida. Mbona hatubarikiwi...... Because..... WE ARE BLESSING THE WRONG PEOPLE..... waisrael tuko nao kila siku but tunawapita na kuwa dharau sababu wanafanana na sisi. Tunampenda MZUNGU NA MWARABU kuliko ndugu yako anayefanana na wewe.
 
MK254 njoo sasa huku ndo mahali pake hasa pa kuwatukana maustadh na mashekhe sio kule kwenye uzi wa vita ya Ukraine/urusi, Kule unawaonea bure mashekhe na maustadh hawahusiki hata kidogo,, uwanjani wako sasa watukane


Aje atukane watu??, akija na kutukana nitamuona zuzu.

Acha akili za pombe.👇🏻

Screenshot_20230311-101501.png
 
Wala sina nyongo, nawakumbushia hilo la kuua waafrika wenzenu kisa mwarabu mnayemuabudu alipowadanganya kupata mabikira 72, ukizingatia yeye alivyo katili kwa katoto alikokanyandua.
Ushamaliza bado?? Kama hujamaliza maliza kabisa,, kutoa dukuduku lako,, sasa nikuone kule kwenye ile battle yetu pendwa ya smo ya Ukraine/urusi unatuletea uchoqo wako wa jealous zako za kidini mxenge mmoja wa kikenya wee!!
 
Africa ndio Bara linaongoza kuimbishwa na wachungaji kubariki Israel na mabendera wameyajaza kwenye nyumba zao. But ndio Bara lenye kila Aina ya shida. Mbona hatubarikiwi...... Because..... WE ARE BLESSING THE WRONG PEOPLE..... waisrael tuko nao kila siku but tunawapita na kuwa dharau sababu wanafanana na sisi. Tunampenda MZUNGU NA MWARABU kuliko ndugu yako anayefanana na wewe.
Kuwabariki ISRAELI haimaanishi kuwalaani mataifa mengine au waafrika wenzetu.

Tumeagizwa kuwapenda wote hata maadui wanaotuchukia.
 
Aje atukane watu??, akija na kutukana nitamuona zuzu.

Acha akili za pombe.👇🏻

View attachment 2545742
Mkuu pombe sinywi ila nakula mmea,, sababu ya kusema hivi,,, huyu jamaa MK254 ana chuki na uislam na waislam kwa ujumla sijui hata walimfanya nini,,, so kila uzi hata usiohusisha mambo ya dini basi yeye lazima atukane, akashifu uislam na uislam, hasa kwenye ule uzi wa vita ya Ukraine/urusi,, na ndio maana nikamwita hapa makusudi kwenye uzi huu kwa kuwa una viashiria vya kidini ili yale matusi yake,kashfa, na kejeli dhidi ya uislam na uislam avimalizie hapa,, na kama ulivyomuona kaja kweli kutukana. Yani kifupi huyu jamaa hamnazo. Na kumwita kwangu hapa ilikuwa kama joking lkn si umeona coment yake ilivyokuwa ya kipuuzi.. sijui hata maustadh walimfanya nini huyu jamaa.
 
Mimi wala sio muislaam. Hoja yako ina prove usahihi wa dhana kwamba wakristo wanaiunga mkono israel kwa upofu wao kuhusu wayahudi... Kwamba ni taifa teule la mungu na huku leo hii ni maharamia tu wabaguzi wa rangi na kikabila sawa na makaburu enzi za apartheid.
Unaanzisha thread wakati afya ya ubongo wako iko dhofulhali, for your information I'm an atheist though I was born and raised a Catholic.
Post yako ungeiandika kwa kutumia akili(kama unazo) at least ungeweza kuwa na hoja, suala la Israel/Palestine linakuwa na tija kama likiangaliwa kibinadamu na si kidini lakini tatizo ni watu wenye upeo mdogo kama wewe. Both communities deserve security and rights, lakini Israel inatumia it's military prowess and financial strength kuwafinya Palestinians lakini na Wapalestina nao wanatumia Uislamu wao(majority of the Palestinians are Muslims) kuungana na mataifa ya Kiarabu kutishia amani ya Israel kwa kuimba zile ridiculous slogans zao za 'to wipe Israel from the map' yaani kuliteketeza taifa la Israel lipotee katika uso wa dunia sasa hapo hata mimi ningekuwa Muisraeli ningehakikisha naifinya Palestine ili isitishie usalama wangu.
To cut diplomatic relations na Israel kwa sababu ya kuwafurahisha Wapalestina ni upuuzi, tufanye uamuzi kwa kuzingatia faida na hasara za kiuchumi na kijamii ndipo tuamue kipi kina faida kwetu.
 
Post yako imepoteza maana na kuwa ya kipumbavu kwa kuwa umeitumia mada kama kivuli ilhali ulicholenga ni kuishambulia na kuinanga dini ya Kikristo(Christian religion), relevance ya thread umeibomoa mwenyewe kwa sababu ya chuki zako za kidini.
Watu kama nyinyi ndiyo huwafanya watu wengine wai-support Israel hata kama hawafurahishwi na namna wanavyowasulubu Palestinians.
Watu kama wewe ndio nawaonea huruma.
Wala mimi sio muislaam kama ndivyo unadhani, wala sijaweka huu uzi eti kuwananga wakristo. Sema nimeeleza ukweli tu na ndio hali halisi. Ukiigusa israel kwa unyama wake kwa wapalestina wakristo kama wewe watakaa kimya au kuitetea. Na ukiigusa saudi arabia kwa kuivamia yemen au kuwabagua na kuwatesa wafanyakazi weusi nchini mwao utaona baadhi ya waislaam wakiitetea kwa misingi ya dini.
 
Watu kama wewe ndio nawaonea huruma.
Wala mimi sio muislaam kama ndivyo unadhani, wala sijaweka huu uzi eti kuwananga wakristo. Sema nimeeleza ukweli tu na ndio hali halisi. Ukiigusa israel kwa unyama wake kwa wapalestina wakristo kama wewe watakaa kimya au kuitetea. Na ukiigusa saudi arabia kwa kuivamia yemen au kuwabagua na kuwatesa wafanyakazi weusi nchini mwao utaona baadhi ya waislaam wakiitetea kwa misingi ya dini.
Ubongo wako inabidi upatiwe matibabu, assumptions za kichwani kwako unazichukulia kama uhalisia. I'm not religious na siitetei Israel kwa sababu za kidini maybe if I was Jewish it could have been a different story, kama tunafaidika na kuwa na uhusiano nao wa kidiplomasia so be it. Hatuwezi kuacha kuwa na uhusiano na nchi kwa sababu ya eti tuitetee tu Palestine, hao wapambane kivyao this damn world has never been fair to anyone. Ndiyo uhalisia wa dunia ulivyo, ingekuwa kuna faida zaidi kuwa na uhusiano nao wa kidiplomasia basi ningeona ni bora kuwa na uhusiano nao. Kama nchi malsahi ya taifa ndiyo tunapaswa kuyapa kipaumbele.
 
Ushamaliza bado?? Kama hujamaliza maliza kabisa,, kutoa dukuduku lako,, sasa nikuone kule kwenye ile battle yetu pendwa ya smo ya Ukraine/urusi unatuletea uchoqo wako wa jealous zako za kidini mxenge mmoja wa kikenya wee!!

haiji hata siku moja nimalize kuwakumbushia laana yenu ya kumuabudu mzee aliyegegeda katoto hehehehe
 
Back
Top Bottom