pasco, hiki ndo kiini cha tatizo. Mtu anapigwa risasi na wanao mwombea apone wanazuiwa!, unategemea nini kutoka upande wa pili??. Ndo reaction zao hizo. They can't retaliate violently kwani hawana nyenzo. Pasco bwana utadhani kaja leo Tz.Acha hao wanaoombea, hao ni cha mtoto, hao inaonyesha ni wanyonge na hawana cha kufanya hivyo wamebaki wakitegemea maombi tu. Kuna wanao kaa vikao kujadili nani apelekwe gerezani? lini? kwa kesi gani? kisha unapewa kesi. Mbaya zaidi hujadili nani afe? na afe lini? na namna gani? halafu wanakwenda kuua wenyewe.
Hata wale wa kuwabambikia kuwapiga risasi kuwapora ushindi wapinzani kwa njia haramu ni wabaya zaidi vipi Paskal mayala hajawaona ?au wale walitangaza corona ni kagonjwa kadogo hajawaona?Acha hao wanaoombea, hao ni cha mtoto, hao inaonyesha ni wanyonge na hawana cha kufanya hivyo wamebaki wakitegemea maombi tu. Kuna wanao kaa vikao kujadili nani apelekwe gerezani? lini? kwa kesi gani? kisha unapewa kesi. Mbaya zaidi hujadili nani afe? na afe lini? na namna gani? halafu wanakwenda kuua wenyewe.
Wanaombea watanzania wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuuKukimbilia chato na kuwateketeza Watanzania kipindi hiki cha Corona pia ni kuwaombea Watanzania wafe kwa Corona.Usifikiri hatujui!
Yani mnapingana ni vitu vilivyo obvious, siyo kwamba watu wanaombea watu wafe ila wanachotaka ni namba halisi iwekwe wazi watu waache kuaminishwa ujinga kuwa ni mafua ya kawaida. Ukijua ukweli utachukua hatua thabiti kuliko kutojua ukweli.Kila siku nacomment humu misukule ina furahia watu kufa Tena inaomba mungu kabisa watu wafe walivyo na roho za kichawi wanalalamika watu wanaokufa ni kidogo itajwe idadi ya kubwa mmeamini Sasa kuwa ni wachawi wakubwa Hawa na nasema Tena chadema ni janga zaidi ya Corona hiki ni kizazi Cha nyoka
Mlimtibu Tundu Lissu?
Mliufungia nje ya mipaka yetu ugonjwa wa korona usiingie nchini kwetu ili tusife?
You are killing us in return we just WISH YOU DEAD FROM YOUR OWN AMUNITIONS.
Paskal mayala kawasema CCM kijanja kawambia CCM kuficha taarifa kupunguza idadi ya wanaokufa ni sawa na kuombea watu wafe kwa Corona kitu ambacho ni kweli, CCM wakijua Paskal kawasema wao cha moto atakionaYani mnapingana ni vitu vilivyo obvious, siyo kwamba watu wanaombea watu wafe ila wanachotaka ni namba halisi iwekwe wazi watu waache kuaminishwa ujinga kuwa ni mafua ya kawaida. Ukijua ukweli utachukua hatua thabiti kuliko kutojua ukweli.
Ukijua mpenzi wako malaya hata ukitaka jamiananaye utavaa kinga ...
Uongo mbaya mimi kuna watu nawaombea korona hata kama korona imianza na mimi ila nitakuwa nachekelea nikisikia wakifukiwa
Tanzania lazima iwe huru kutoka katika makucha ya Watu wenye roho mbaya
Umemaliza kila kitu mkuu, nilitaka na mm kumjibu bt umemaliza,Acha hao wanaoombea, hao ni cha mtoto, hao inaonyesha ni wanyonge na hawana cha kufanya hivyo wamebaki wakitegemea maombi tu. Kuna wanao kaa vikao kujadili nani apelekwe gerezani? lini? kwa kesi gani? kisha unapewa kesi. Mbaya zaidi hujadili nani afe? na afe lini? na namna gani? halafu wanakwenda kuua wenyewe.