Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,785
Naona sasa tuna misuse hili neno KARMA yaani hata mwizi akipigwa ndugu zake waseme KARMA itawahukumu waliompiga? This is ridiculous.Hahahaha umeandika kwa kirefu sana but Kuna Watu wanakera sana!! Hasa CCM to be specific! Unakumbuka issue ya akina Halima Mdee na Esther Bulaya? Unakumbuka zile kebehi? It pains na kama kweli kama hao watu wapo basi CCM ndio waasisi wa hayo mambo na wanavuna walichokipanda KARMA
Sasa mtu kama wewe ukipata Corona ukafa,kwanini nisikitike?Tundu lissu ni nani Tanzania ? Watu wamefia vitani wakiitetea Tanzania Wewe unatuletea habari za lissu
Endeleeni kumdekeza huko ughaibuni kwa kumtumia kodi za Watanzania
Yani mtu na akili zake anaweza kufikiri wewe una akili nyingi kweli,Watetezi wa ccm mitandaoni kwa 89% wanaishi gheto kwa Le mutuz na cyprian Musiba huingia mitandaoni kuitetea CCM pindi wakitoka kujazwa ujinga na hao vilaza wawili ndiyo maana utetezi wa CCM hufanana sana, nia Aibu kwa chama kama CCM kuwategemea le mutuz na timu yake kuwatetea mitandaoni.
Ushetani wa wapinzani kubambikiwa kesi kupigwa risasi kuporwa ushindi kwenye chaguzi mbalimbali hajauona mayalaKweli mayalla lazima apate cov19 amezidi unafiki.
Wewe upo Huko gheto kwao unakariri ujinga wao kisha kuja kusumbua watu mitandaoni, ukweli unauma sasa umeshituka tumejua Akili zako ni kama za kubwa jinga Le mutuz.Yani mtu na akili zake anaweza kufikiri wewe una akili nyingi kweli,
Sas Musiba na Lemutuz wana mageto makubwa kiasi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipopote ben, mlikasirika?
Mlipompiga risasi lissu mlikasirika?
Kinyweeni kikombe hiki pamoja na vizazi vyenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la Paskal mayala anaeazia Uteuzi mpaka kusahau kuwa wapo watu wengine wanawaza kwa umakini kuliko yeyeMayalla! Ni vipi wewe unaona kimuombea mtu mabaya ni kubaya kuliko kummiminia mtu risasi thelathini? Naomba usijutie la kuombewa jutia la kuua kikatili.
Wewe Akili zako umezificha kwa Le mutuz hujui huwa ushetani wa kuwabambikia wapinzani kesi kuwapiga risasi ndiyo ushetani wa kutisha zaidi"Kupopote" ndo Kufanya Nini?
Bwana weee Maisha yako hayo ukiamua kuyaishi kwa kuweka Chuki za kijinga na kuchuma dhambi Bureee kisa Mbowe kasema Shauri yako. Ni ujinga wako.
What I was trying to say was Corona haina Chama.
Alafu we inaonekana ni mtu mzima kabisa Sema akili zako umeziacha ufipa.
Acha hao wanaoombea, hao ni cha mtoto, hao inaonyesha ni wanyonge na hawana cha kufanya hivyo wamebaki wakitegemea maombi tu. Kuna wanao kaa vikao kujadili nani apelekwe gerezani? lini? kwa kesi gani? kisha unapewa kesi. Mbaya zaidi hujadili nani afe? na afe lini? na namna gani? halafu wanakwenda kuua wenyewe.