Tukifanya Hivi, Kina Mwamposa na Manabii kuwa Walipa Kodi Wakubwa

Tukifanya Hivi, Kina Mwamposa na Manabii kuwa Walipa Kodi Wakubwa

Nashindwa kuelewa kwanini TRA wanashindwa kuiga kwa Ruto wa Kenya na kuongeza mapato kutoka katika wimbi hili la mitume na manabii walioanzisha biashara ya Maji, chumvi, vitambaa nk wakiviita vya upako na kupata fedha nyingi sana kama biashara isiyo kodi wala cost of production. Msome Rais Ruto alivyoamua.

"Nimeongea na watendaji wa serikali yangu kuhusu baadhi ya wahubiri kucheza na imani za wakenya. Kuanzia sasa yule anataka kuuza maji asajiliwe na mamlaka ya maji, yule anataka kuuza mafuta asajiliwe na food and drugs authority, na yule anataka kuuza mbegu asajiliwe wizara ya kilimo. Watambulike kama wafanyabiashara, na serikali ijue wanauza ngapi kwa siku na walipe kodi. Huku kwa kanisa wabaki wanaoeneza neno la Mungu, sio wafanyabiashara. Hatuwezi kuruhusu imani za wakenya kuchezewa na wakora wachache, wanaotaka kujitajirisha kupitia shida za waumini wetu" William Samoei Ruto, Rais wa Kenya.
Imekuwa rahisi kwa Ruto, kuja na msimamo huo kwa kuwa yeye mwenyewe ni mkristo mzuri tu, kwa upande wetu itakuwa na changamoto kwani, Rais wetu ni muislam, akijaribu issues za udini zitaamka tu.
Na akikumbuka marehemu JPM alivyohandle issue ya ajali kwenye kongamano la Mwamposa Moshi,hiyo yeye Samia kuwakabili ni lazima itasumbua.
 
Kodi inatozwa kwenye mapato ya:
1. Business
3. Employment
3. Investment

Sasa tukija kwenye tafsiri business income as per Income Tax Act (ITA) unakuta akina mwamposa and co, wako nje ya wigo wa hiyo tafsiri ( out of scope)

Kodi haitozwi kwa hisia...Kodi inatozwa kwa sheria ambazo ziko challenged mpaka kwenye court of appeals kama kuna mzozo.

Sasa wakati wa utunzi na utafsiri wa sheria ya Kodi words must strictly construed and clearly stated.nje ya hapo hiyo sheria haitafanya kazi.

SASA NIAMBIENI MODALITIES YA HIYO SHERIA ITAKAAJE KIASI KWAMBA ITAMKAMATA MWAMPOSA IACHE SADAKA ZA KAWAIDA KANISANI na Msikitini
I
Sheria inaruhusu kwenye investment sio sadaka. Sadaka ni tofauti ya kuuza maji na mafuta ya uponyaji. Hivyo hiyo ni income ipo subject kwa sheria ya Kodi ,Seema tu shida ni enforcement
 
Hoja iko hivi?
Kodi hutozwa kwenye mambo matatu tu yaan, business, investment, employment. Chochote nje ya hapo hakitozeki Kodi (out of scope)
Sasa unatakiwa uje na sheria itakayosema na iwe strictly construed ili inmase mwamposa.
No intendment in tax laws, words must clearly be stated.
SASA EBU NISAIDIE HIYO SHERIA ITAKAAKAJE KIASI KWAMBA SADAKA AU MICHANGO kanisan itofautishe na mambo ya mwamposa?
Utaishia kutunga sheria mfu kwan haitaweza kufanya kazi.

Inatakiwa hivi unapowashtaki mwamposas useme ni kivipi arrangement ya transactions zake za maji na mafuta namna ambavyo fall within tax laws na sio kihisia.

Sasa mwamposa si atasena toeni sadaka nitawagawia maji MUNGU alioniruhusu niwagawie...
Wale wa 5,000 watapewa maji , chin ya hapo hatawapo ...hajairuka sheria yeyote

Sadaka na Kikumi ni tofauti na kuuza maji na mafuta ya upako. Hizo ni biashara ambazo zinafanyika kanisani kwa mitume. Hivyo zipo liable for taxation. Mambo ya kusema toeni sadaka niawape mafuta hiyo sio sadaka ni uyapeli. Sadaka unaitoa kwa hiari na hupewi chochote in return.
 
Tatizo unahangaika na sadaka. Sadaka ukishatoa haupewi kitu in return. Mwamposa alishasema let's 5500 halafu nikupe maji anakuwa amaebadilisha Lugha tu Ila anakuwa anauza yale maji. Hivyo Kodi atatozwa tu.
 
MWAMPOSA ANAUZA MAJI MENGI SANA ZAIDI YA KIWANDA CHA MAJI LAKINI HALIPI KODI VIVYO HIVYO NA MAFUTA
Sizani kusema kweli , mwamposa hawezi kuuza maji zaidi ya kiwanda cha maji, wakati yeye mwenyewe ananunua kiwandani ,labda viwanda vidogo vidogo
 
Hiyo transaction haina business value, it is not a transaction of business nature. MAJI YA 1000 kwenye jua la Kawe unayanunua 10,000 is it a business arrangements? Kwa nin nisinunue kibanda jiran kwa buku.
Kikodi hiyo transaction haina mashiko, the same to mtu ananihubiria Kisha natoa sadaka ya 1000,5000 au laki .

Kwa kutumia Kodi huwezi kuwazuia mwampsa and co, labda upige marufuku kama rwanda

Sijui unachobisha Ni Nini?. Unalazimisha sadaka iwe kundi moja na huo utapeli. Mbona Kuna maduka yanauza soda shilingi 500 lakini ukienda Kemposki soda inauzwa 8000 au 10000 na inatozwa Kodi. So Mwamposa akiuza maji 10000 bado atatozwa Kodi, maana ameuza sio kugawa.
 
Hao jamaa ni wafanyabiashara waliojificha kwenye kivuli cha imani, tena ni wafanyabiashara wakubwa tu wanaotakiwa kulipa kodi.

Kwenye makanisa yao wanauza maji, mafuta, biskuti, TRA kazi kwenu, sasa Ruto ameshawaamsha usingizini.
Ruto msanii tu,mbona wakati anagombea uraisi alimwita Mwamposa akamuombee huko Kenya,na baada ya Kushinda alimualika akahudhurie uapisho wake,usikute hata maji alipewa anywe akapakwa mafuta ya upako.
 
Ni vyema na yeye akalipa kodi kama wafanyabiashara wengine wote.
Hali peke yake hiyo hela. Kuna wakubwa kibao nyuma ya utapeli huo.

Unajua sababu ya nabii Suguye kufungiwa? Nitafute inbox nikujuze.
 
Wacheni kupotosha ili kumlinda huyo jamaa yenu.

Makanisa hufanya harambee kwa kuuza vitu kwa lengo la kupata pesa zitakazotumika kwa shughuli fulani hapo kanisani, kama ujenzi, ukarabati wa jengo, hakuna harambee inayofanywa bila sababu.

Kwa mantiki hiyo, sasa hebu tuambie, Mwamposa akiuza maji na mafuta, hizo pesa huwa anazipeleka wapi?na kufanyia kitu gani?
Kajengea Hotel ya nyota nne huko Mbeya,jamaa ni multi billionaire
 
Kodi inatozwa kwenye mapato ya:
1. Business
3. Employment
3. Investment

Sasa tukija kwenye tafsiri business income as per Income Tax Act (ITA) unakuta akina mwamposa and co, wako nje ya wigo wa hiyo tafsiri ( out of scope)

Kodi haitozwi kwa hisia...Kodi inatozwa kwa sheria ambazo ziko challenged mpaka kwenye court of appeals kama kuna mzozo.

Sasa wakati wa utunzi na utafsiri wa sheria ya Kodi words must strictly construed and clearly stated.nje ya hapo hiyo sheria haitafanya kazi.

SASA NIAMBIENI MODALITIES YA HIYO SHERIA ITAKAAJE KIASI KWAMBA ITAMKAMATA MWAMPOSA IACHE SADAKA ZA KAWAIDA KANISANI na Msikitini

Kodi inatozwa kwenye mapato ya:
1. Business
3. Employment
3. Investment

Sasa tukija kwenye tafsiri business income as per Income Tax Act (ITA) unakuta akina mwamposa and co, wako nje ya wigo wa hiyo tafsiri ( out of scope)

Kodi haitozwi kwa hisia...Kodi inatozwa kwa sheria ambazo ziko challenged mpaka kwenye court of appeals kama kuna mzozo.

Sasa wakati wa utunzi na utafsiri wa sheria ya Kodi words must strictly construed and clearly stated.nje ya hapo hiyo sheria haitafanya kazi.

SASA NIAMBIENI MODALITIES YA HIYO SHERIA ITAKAAJE KIASI KWAMBA ITAMKAMATA MWAMPOSA IACHE SADAKA ZA KAWAIDA KANISANI na Msikitini
IMG-20230125-WA0011.jpg
 
Umeandika mengi kitaalamu,sawa.Kumbuka hapo tujikite kwenye kuuza bidhaa.Hayo mengine baki nayo tu.Auze for free?Bila tozo?Kwa nini uiweke akili yako kuwa stugnant kwamba sheria ya kumtoza kodi haitungiki?Umekwama kabla ya kujishughulisha kutafuta aina ya kodi?Na usijikite kwamba kuna kodi fulanifulani tu.Zinaweza kuongezwa muda wowote
Anasahau kuwa hakuna nchi ambayo haina sheria au hakuna kosa likakosa sheria wanasema utahukumiwa kwa sheria zilizopo.
 
Kodi inatozwa kwa sheria, ikiwa Sheria iliyotumika haikuwa sahihi unakata rufaa huko TRAB/TRA kwa Mwigulu mpaka Court of Appeal.
Kwa hali yako nipe full scenario kabla sijawahukumu maofisa wa TRA waliokutoza hiyo kodi
MImi huwa ninatabia ya kununua bidhaa online, sasa kuna siku nikasema ngoja niagize Dongle nikailipia 125k

Baadae nikatumiwa sms niende kuchukua mzigo wangu Posta kitengo cha parcel


Kufika kule nikasaini ila nikashangaa mzigo sipewi ndo nikaitwa TRA naanza kupigiwa mahesabu nikapewa karatasi zinazoonyesha mchanganuo wa malipo jumla ikawa elf 60, kila nikiuliza naambiwa tu utaratibu uliopo ni kulipia kodi (hili tukio lilitokea utawala wa awamu ya tano)

Nikalipia kishingo upande ili niwahi kuirudishia elf 60 iliyonitoka

Kuanzia hapo nikawa najiandaa kisaikolojia kabisa, maana ilifika kipindi mpaka USB ya elf 10 wakataka niilipie kodi
 
Kama maji ni ya kampuni nyingine na yanauza bei ile ile hapo ni case nyingine
Yes sio kampuni yake,Kuna kipindi alianza kutoa yake ,sijui nn kilitokea akaacha , akaendelea kununua ya wengine !
Na bei ni ileile Lita 1 na nusu buku km sikosei,Lita 1 sshv itakua 700...
Mi hapo sioni kama anaanya biashara
 
Wacheni kupotosha ili kumlinda huyo jamaa yenu.

Makanisa hufanya harambee kwa kuuza vitu kwa lengo la kupata pesa zitakazotumika kwa shughuli fulani hapo kanisani, kama ujenzi, ukarabati wa jengo, hakuna harambee inayofanywa bila sababu.

Kwa mantiki hiyo, sasa hebu tuambie, Mwamposa akiuza maji na mafuta, hizo pesa huwa anazipeleka wapi?na kufanyia kitu gani?
Mimi ni mkkkt, lkn mwamposa anauzahe maji? Mnifafanulie! Sababu anachukua yaani ananunua kwenye makampuni ya wenye maji akishayaombea, wanaoohitaji wananunua Kwa bei ya kwaida tu km anavyonunua maji mengine!na ndo maana sio lzm unaweza enda na maji yako.. Ss hapo ye biashara ipi kafanya? Maana Hana kiwanda kwamba anazalisha mwenyewe
 
Hao jamaa ni wafanyabiashara waliojificha kwenye kivuli cha imani, tena ni wafanyabiashara wakubwa tu wanaotakiwa kulipa kodi.

Kwenye makanisa yao wanauza maji, mafuta, biskuti, TRA kazi kwenu, sasa Ruto ameshawaamsha usingizini.
Na ushirikina ukiwemo vyote wanatumia hao washenzi, serikali inatakiwa kulinda watu wake
 
Back
Top Bottom