Tukifanya Hivi, Kina Mwamposa na Manabii kuwa Walipa Kodi Wakubwa

Tukifanya Hivi, Kina Mwamposa na Manabii kuwa Walipa Kodi Wakubwa

Inakatwa kodi hiyo mishahara ya mapadre kanisa katoliki? Na masista na Mabruda na maaskofu katoliki?

Kama haikatwi TRA waende huko kudai kodi ya PAYE

Huu ujinga kukomesha kila mtu alipe kodi wakiwemo mapadre, masista na Mabruda sababu wao ndio wako bitter sana na Mwamposya as if wao huwa hawalipwi chochote kupitia sadaka za waumini hadi wanaanzisha miradi binafsi na kununuliwa magari nk
Hakuna Padre,Bruda wala Mtawa wa kanisa Katoliki anayelipwa mshahara kwa kazi yake ya Utume.
 
Mishahara yao
TRA kodi inasoma ya PAYE ya hao wachungaji wa makanisa yote yawe katoliki,Lutheran, Pentecoste au lolote kipato chao wanachopewa wao direct kinakatwa kodi kitokanacho na sadaka za waumini ? Kiitwe fungu la kumi ,posho or whatever ? Ni income from employment kwao .Kodi wanalipa?

Dawa yao TRA iwashukie kama mwewe Kuwa how do you survive source ya income yako for survival unaitoa wapi? Kama sadaka za waumini au mafungu ya kumi huo mshahara walipe kodi na wapigiwe toka siku wamekuwa wachungaji ,mapadre au massista kanisa husika lilipe arrears za kodi

Ili wakome kunyooshea kidole wengine akina Mwamposya or whoever makanisani
Kukomesha huo ujinga

Wanatupa mawe kwingine wakati wanaishi nyumba za vioo.Patachimbika.
 
MWAMPOSA ANAUZA MAJI MENGI SANA ZAIDI YA KIWANDA CHA MAJI LAKINI HALIPI KODI VIVYO HIVYO NA MAFUTA
Na TRA wapo wakiwakaba akina mama ntilie, nchi ya ajabu sana hii, hawa matapeli wa dini ni wajasiria dini kwelikweli wanatengeneza na kuharamisha pesa zao huku TRA na vyombo vya dola vikiangalia kushoto.
 
Na TRA wapo wakiwakaba akina mama ntilie, nchi ya ajabu sana hii, hawa matapeli wa dini ni wajasiria dini kwelikweli wanatengeneza na kuharamisha pesa zao huku TRA na vyombo vya dola vikiangalia kushoto.
Waende kuchukua kodi kwa mapdre,masista na mabruda pia wa kanisa katoliki na wasiisahau siku za mavuno kwenda kanisa katoliki,Anglican, Lutheran nk

Na wasisahau makanisa ya kipentekoste waishio kwa fungu la kumi sadaka za waumini wadai chao kuanzia siku mtu kawa mchungaji wadai kodi kutoka chake amekuwa akipokea toka awe mchungaji

Kuna watu hawalipi kodi wakiwemo mapadre,masista na mabruda na wachungaji wakati hupata kipato kupitia sadaka za waumini
.Ili Mwamposya asionekane Tapeli TRA itie timu makanisa yote waanze na katoliki na ya Kipentecoste na Sabato na Lutheran kwenye issue ya PAYE

Watie timu kali za TRA auditing
 
Kafungue na wewe uuze na utoe kodi kama ni rahisi. Kuwa weka watu na kuwa na furaha ya moyon ni zaid ya kodi
Hee hata sisi wauza icecream tinawapa furaha watoto tufutiwe kodi .makanisa yatozwe kodi kuuza maji n'a hizo mingine
 
Waende kuchukua kodi kwa mapdre,masista na mabruda pia wa kanisa katoliki na wasiisahau siku za mavuno kwenda kanisa katoliki,Anglican, Lutheran nk

Na wasisahau makanisa ya kipentekoste waishio kwa fungu la kumi sadaka za waumini wadai chao kuanzia siku mtu kawa mchungaji wadai kodi kutoka chake amekuwa akipokea toka awe mchungaji

Kuna watu hawalipi kodi wakiwemo mapadre,masista na mabruda na wachungaji wakati hupata kipato kupitia sadaka za waumini
.Ili Mwamposya asionekane Tapeli TRA itie timu makanisa yote waanze na katoliki na ya Kipentecoste na Sabato na Lutheran kwenye issue ya PAYE

Watie timu kali za TRA auditing
Unachuki na kanisa katoliki .
 
Mbona makumbi ya disco wanalipa Kodi.
Yaaani MTU anakibanda anauza katoni moja ya Maji Kwa Siku alipe Kodi halafu MTU anayeuza katoni mia Tano Kwa Siku asilipe Kodi . Afrika Sijui tumelogwa na nani ?
Ni Bora basi Kama angekua anatoa huduma nyingine Kwa jamii kama kujenga mashule ya walemavu Bure , kichimba visima Bure , kujenga mabweni ya watoto Wa Kike n.k. lakini anapata Fedha nyingi za kuinua maisha yake Binafsi kama wafanyabiashara WENGINE wanaolipa Kodi halafu yeye halipi. Anatembelea Magari ya kifahari anajenga mahoteli yake Binafsi Kwa mgongo Wa taasisi ya kidini halafu halipi Kodi. Dini ni taasisi sio biashara ya MTU Binafsi Kwa sababu Ukristo au YESU SIO Mali yake .
Biblia ni kitabu cha Taasisi ya Kikristo huwezi kukitumia Kwa biashara zako Binafsi kitapeli ukaachwa tu.

Brand ya Kristo ilitangazwa Duniani Kwa Jasho na damu za watu ukianzia na ya Kristo Mwenyewe ivyo kuitumia Kwa manufaa Binafsi Badala ya jamii ni Makosa . Walipe Kodi Ili serikali ihudumie wananchi. Kanisa limelala sana ndio Maana Taifa linaangamia kidogo kidogo na serikali nayo isipoona kama Alivyoona Ruto SIO muda mrefu Taifa hili kitapata adhabu kubwa sana .
Ukiangalia watu wamejawa na roho mbaya ya tamaa ya Fedha ,kupitiliza, uaminifu umepungua sana Kwa Wakristo Kwa sababu Wachungaji na manabii wao na maaskofu wamejawa na tamaa kubwa na ubinafsi . YESU amebaki kama biashara ya watu Binafsi na SIO mwokozi Wa roho za watu WOTE kwenye jamii iliyojaa uzinzi,uongo, ulafi,ulevi, Wizi, mauaji, ulawiti , uonevu, na Kila aina ya ubaya lakini Jumapili watu Hao wamejaa makanisani Kununua majai ya upako Badala ya kutubu dhambi na kuziacha Kwa kumaanisha. Watu hawatoi sadaka Kwa ajili ya watumishi na huduma ya Injili Bali wananunua Maji na kuuza Maji.



Kanisa la Kirumi nalo Karne za giza zilizopita Lilifanya utapeli Kama Huo Kwa kuuza Vyeti vya msamaha Wa dhambi . Watu walikimbilia Kanisani kwanye kanisa Katoliki Kwa ajili ya kupata vyeti vya msamaha Wa dhambi.
Wasiokua na vyeti walihesabiwa kuwa ni watu Wenye dhambi na kutengwa.
Hali hiyo ya ukengeufu ilipingwa na Padri mmoja Wa kanisa Katoliki aliyeitwa Martín Luther. Aliupinga utaratibu huo Kwa nguvu zote Hata pale alipotangaziwa kuuawa lakini alisimamia msimamo wake. Baadae walijitokeza waumini WENGINE Kuunga mkono na kuitwa waasi.
Hapo likatokea kanisa la Lutheran na Kanisa Katoliki Kwa kiwango kikubwa likabadili baadhi ya taratibu za kitapeli na kurudi kwenye taasisi ya KIROHO.

Hata hivyo utapeli uliofanywa na Kanisa la Rumi ulifanywa kitaasisi na SIO matakwa ya MTU Kwa manufaa yake. Sasa Leo uuzwaji Wa Maji tiba unaofanywa na Watu Wanaojiita mitume unafanywa Kwa manufaa Binafsi . Ndio Maana kanisa linarithishwa MKE na Watoto wake. Kwa Maana kwamba ni Biashara ya familia kama biashara nyingine zilivyo.
Umemaliza kila kitu mkuu, binafsi nakerwa na ujenzi holera wa makanisa.Hivi serikali haiwezi situka kuwa huu ni msukumo binafsi wala sio imani, hivi kila familia ikiwa na kanisa lake hali itakuwaje hapo mtaani au wao wanasubiri wakose waumini ndipo wayafunge hayo makanisa.
 
Mbona makumbi ya disco wanalipa Kodi.
Yaaani MTU anakibanda anauza katoni moja ya Maji Kwa Siku alipe Kodi halafu MTU anayeuza katoni mia Tano Kwa Siku asilipe Kodi . Afrika Sijui tumelogwa na nani ?
Ni Bora basi Kama angekua anatoa huduma nyingine Kwa jamii kama kujenga mashule ya walemavu Bure , kichimba visima Bure , kujenga mabweni ya watoto Wa Kike n.k. lakini anapata Fedha nyingi za kuinua maisha yake Binafsi kama wafanyabiashara WENGINE wanaolipa Kodi halafu yeye halipi. Anatembelea Magari ya kifahari anajenga mahoteli yake Binafsi Kwa mgongo Wa taasisi ya kidini halafu halipi Kodi. Dini ni taasisi sio biashara ya MTU Binafsi Kwa sababu Ukristo au YESU SIO Mali yake .
Biblia ni kitabu cha Taasisi ya Kikristo huwezi kukitumia Kwa biashara zako Binafsi kitapeli ukaachwa tu.

Brand ya Kristo ilitangazwa Duniani Kwa Jasho na damu za watu ukianzia na ya Kristo Mwenyewe ivyo kuitumia Kwa manufaa Binafsi Badala ya jamii ni Makosa . Walipe Kodi Ili serikali ihudumie wananchi. Kanisa limelala sana ndio Maana Taifa linaangamia kidogo kidogo na serikali nayo isipoona kama Alivyoona Ruto SIO muda mrefu Taifa hili kitapata adhabu kubwa sana .
Ukiangalia watu wamejawa na roho mbaya ya tamaa ya Fedha ,kupitiliza, uaminifu umepungua sana Kwa Wakristo Kwa sababu Wachungaji na manabii wao na maaskofu wamejawa na tamaa kubwa na ubinafsi . YESU amebaki kama biashara ya watu Binafsi na SIO mwokozi Wa roho za watu WOTE kwenye jamii iliyojaa uzinzi,uongo, ulafi,ulevi, Wizi, mauaji, ulawiti , uonevu, na Kila aina ya ubaya lakini Jumapili watu Hao wamejaa makanisani Kununua majai ya upako Badala ya kutubu dhambi na kuziacha Kwa kumaanisha. Watu hawatoi sadaka Kwa ajili ya watumishi na huduma ya Injili Bali wananunua Maji na kuuza Maji.



Kanisa la Kirumi nalo Karne za giza zilizopita Lilifanya utapeli Kama Huo Kwa kuuza Vyeti vya msamaha Wa dhambi . Watu walikimbilia Kanisani kwanye kanisa Katoliki Kwa ajili ya kupata vyeti vya msamaha Wa dhambi.
Wasiokua na vyeti walihesabiwa kuwa ni watu Wenye dhambi na kutengwa.
Hali hiyo ya ukengeufu ilipingwa na Padri mmoja Wa kanisa Katoliki aliyeitwa Martín Luther. Aliupinga utaratibu huo Kwa nguvu zote Hata pale alipotangaziwa kuuawa lakini alisimamia msimamo wake. Baadae walijitokeza waumini WENGINE Kuunga mkono na kuitwa waasi.
Hapo likatokea kanisa la Lutheran na Kanisa Katoliki Kwa kiwango kikubwa likabadili baadhi ya taratibu za kitapeli na kurudi kwenye taasisi ya KIROHO.

Hata hivyo utapeli uliofanywa na Kanisa la Rumi ulifanywa kitaasisi na SIO matakwa ya MTU Kwa manufaa yake. Sasa Leo uuzwaji Wa Maji tiba unaofanywa na Watu Wanaojiita mitume unafanywa Kwa manufaa Binafsi . Ndio Maana kanisa linarithishwa MKE na Watoto wake. Kwa Maana kwamba ni Biashara ya familia kama biashara nyingine zilivyo.
Uzi ulitakiwa uishie hapa
 
Kuna bajeti wanapewa kila mwezi za matumizi yao binafsi.Lakini kama ungekuwa Mkatoliki basi ungejua kila Jumapili kuna matoleo kwa ajili ya mahitaji yao.
Hiyo ni income kwa mujibu wa TRA mshahara sio pesa upewayo kila mwezi cha msingi inaingia kwako kwa kazi ufanyayo inahesabika personal income uiite tegemeza padre,sista au askofu ni personal income hayo majina ni porojo tu za kukwepa kodi za PAYE ni mshahara huo kodi ya mapato unatakiwa kulipa kodi ya PAYE

Hayo maneno ya tegemeza Askofu au padre au Sista ni terminologies za kukwepa income tax tu

TRA tueni kanisa katoliki kuna personal income zimefichwa kwenye tegemeza padri,askofu au sista
 
Inakatwa kodi hiyo mishahara ya mapadre kanisa katoliki? Na masista na Mabruda na maaskofu katoliki?

Kama haikatwi TRA waende huko kudai kodi ya PAYE

Huu ujinga kukomesha kila mtu alipe kodi wakiwemo mapadre, masista na Mabruda sababu wao ndio wako bitter sana na Mwamposya as if wao huwa hawalipwi chochote kupitia sadaka za waumini hadi wanaanzisha miradi binafsi na kununuliwa magari nk
Ni suala muda tu, Mwamposa atashindwa tu, mtu unaweza kumdanganya lkn hautoweza kumdanganya miaka yote na ungejua huo ushirikina wanavyoupata wala usingetetea labda kama wewe ni mnufaika.
 
Unachuki na kanisa katoliki .
Kanisa katoliki ndilo limechokoza kuwa na chuki na Mwamposya hadi nyaraka wametoa as if they are saints when it comes kwa mambo ya TRA

Wamemrushia mawe Mwamposya na kutoa nyaraka sasa twende kazi

Mwamposya ni taasisi sio individual
 
Hiyo ni income kwa mujibu wa TRA mshahara sio pesa upewayo kila mwezi cha msingi inaingia kwako kwa kazi ufanyayo inahesabika personal income uiite tegemeza padre,sista au askofu ni personal income hayo majina ni porojo tu za kukwepa kodi za PAYE ni mshahara huo kodi ya mapato unatakiwa kulipa kodi ya PAYE

Hayo maneno ya tegemeza Askofu au padre au Sista ni terminologies za kukwepa income tax tu

TRA tueni kanisa katoliki kuna personal income zimefichwa kwenye tegemeza padri,askofu au sista
Ha ha ha naona umeamua kutoa povu kwa Kanisa Katoliki baada ya mchungaji wako Mwamposa kuguswa kwenye ukweli.Au wewe ndiyo unaleta hayo maji kwa Mwamposa
 
Kafungue na wewe uuze na utoe kodi kama ni rahisi. Kuwa weka watu na kuwa na furaha ya moyon ni zaid ya kodi
Kweli Mkuu watu wanapenda kuropoka,kama inalipa na wao si wauze maji yao ya upako!
 
Back
Top Bottom