kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Muislamu anashadadia riba hatwari na ni mtihani pia!Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Kwani ndege ya raisi ilikufaga au...mkopo tutakopa za kibiashara sio binafsi ya ikulu hyo tutalipaKatika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Angesafiri na ile ndege ya raisi iliyonunuliwa wakati wa Mkapa. Au ulikuwa bado mtoto mdogo wakati inanunuliwa?Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Na hayo makombora uliyovulumishiwa bado unaendelea ku-comment?Kama wako
Wewe zwazwa ndege ya rais ilishanunuliwa tokea kipindi cha mkapa.....njoo na hoja mfu nyingine kuhalalisha upigaji kwenye hiyo midori yenu...Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
sijaona kombora lolote la kunishindaNa hayo makombora uliyovulumishiwa bado unaendelea ku-comment?
Brain yako iko na tope kidogo ndugu!
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Ndiyo.. ya kawaida na tunamsifu kwa hilo.Unaijua ndege iliyotumika leo?
Hata la 4B anakuzidi kufikiri. Kilaza kweli kweliKatika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Ndege ya rais alinunu basil mrambaKatika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari