Tukio gani baya ulilowahi kukutana nalo usiku?

π•Šπ•’π•’ 4 π•™π•šπ•§π•š π•¦π•€π•šπ•œπ•¦ π•Ÿπ•’ π•œπ•šπ•“π•–π•˜ π•”π•™π•’π•Ÿπ•˜π•¦ π•œπ•šπ•Ÿπ•’ 𝕃𝕒𝕑π•₯𝕠𝕑 π•žπ•‘π•ͺ𝕒 𝕑𝕒𝕝𝕖 π•œπ•’π•£π•šπ•“π•¦ π•Ÿπ•’ π”Ήπ•šπ•˜ π”Ήπ• π•Ÿ, π•Ÿπ•’π•₯𝕒𝕗𝕦π•₯𝕒 π•˜π•’π•£π•š 𝕝𝕒 π•Œπ•“π•¦π•Ÿπ•˜π• , π•œπ•’π•₯π• π•œπ•–π•’ π•›π•’π•žπ•’π•’ π•žπ•žπ• π•›π•’ π•’π•œπ•’π•€π•–π•žπ•’ π•Ÿπ•šπ•žπ•–π•žπ•œπ•’π•Ÿπ•ͺπ•’π•˜π•’, π•Ÿπ•šπ•œπ•’π•žπ•¨π•’π•žπ•“π•šπ•’ π•€π•’π•žπ•’π•™π•’π•Ÿπ•š π•’π•œπ•’π•–π•Ÿπ••π•–π•π•–π•’ π•œπ•¦π•Ÿπ•šπ• π•Ÿπ•–π•€π•™π•’ π••π• π•Ÿπ••π•’ π•π•šπ•Ÿπ•’π•₯𝕠𝕒 π••π•’π•žπ•¦ π•žπ•˜π•¦π•¦π•Ÿπ•š. Nikahisi vby moyoni...Mara naona kundi linaongezeka wakinisihi niwajibike...Kichwani taa ikawaka nikajua hapa naibiwa maana wengine wapo nyuma yangu. Aisee nikakumbuka hapo zamani nilikimbiaga Dojo la Masta Rama, ila viskills bado vimo vimo, nikachagua mmoja wa sampuli (hapo akili inafanya kazi haraka balaa) Nilimfyatua teke moja kali la kichwa yule aliyedai nimemkanyaga, wakati anaweweseka nilitandiga buti lingine mguuni aka mtama, likampata pale pale penye kidonda. Jamaa akaanguka chini huku anapiga kelele. Wale wenzake nikashangaa wanachochola mbaya....Nami nikatembea fasta nikadandia Daladala bila hata kusoma linaelekea wapi....Baada ya kukaa kwenye siti ndo Moyo ukaanza kudunda balaa na woga mkali ukaniingia!!
 
umeshawahi kukutana na mguu mmoja unakimbia gizani?
 
Jamaangu mmja boda boda alikuwa kila siku anachelewa kurudi home gheto alikopanga zake ni saa nane usiku

So akawa anaruka ukuta anafungua geti anaingiza boda

wapangaji wenzake wakamchoka
wakatega mavi ukutani , mwamba ile kuruka tu tshirt nzima ilitapakaa mavi

Aliama kesho yake
 
Mim kutembea usiku siwez hata niwe na baunsa siwez.

Juzi tu hapa nmelala nasikia watu kama mia wanakatiza usawa wa dirisha la chumbani kwangu.

Nkaamka chap nikazima taa zote za ndani nkabakisha za nje alf nkajifanya naongea na simu eeh wamekuja sogeeni getini muwapakie wote kweny karandinga nilisikia watu wana kimbia hapo nje muda huo mtoto angu nishamuamishia uvunguni.

Asubui nakutana na wasenge wananitolea mimacho mchana nkawaita washkaji zangu wawili mapongo nkawaambiwa waje na wenzao wafike hata watano wakaja na defender na mitutu.

Kutoka getini tena wale waloanzisha kijiwe sion mtu hata mmja jion kutoka nje nasikia sister habari nkasema fresh ety mbona tumeona defender hapo getini kuna nn nkawaambiwa hao wafanyakazi wenzangu wamekuja kunipa pole nilipata msiba eeh watu wote kimya. Wangejua mim ni dada machinga sijui tu
 
Yap tulikua tumetoka kwenye bash(UNIVRSTY BASH) vibaka walivamia shoo halafu waandaaji DREAM FM Wakaingia mitini...aisee hebu vuta picha MAMA JOHN,CCM,ILOMBA,SAE,NANENANE,JESHINI,KILIMO ndio ufike UYOLE...Njia nzima ni kukimbizwa MWENDO MCHIBUYU halafu nilikua na demu wangu TINA....2014
 
Ulikuwa mandonga siku hiyo.
 
Napamanya pote hyo mitaa,ndo maana nimeshangaa mi ni zao la Loleza girls ya Enzi zilee. So mitaa hyo naijua. Halafu hapo ni mbali mnoo duuu poleni
 
amini✊
 
Mwaka juzi nilikua natoka masasi narud dar ilikua kama saa 9 usiku ivi niliona wanaume wawili wanakimbia mdogo mdogo na maeneo hayo kuna poli hakuna kijiji karibu adi Leo sielew ilikuaje
dah, binadamu tuna safari sana
 
jamaa mmoja kashuka akamsogelea kisha akachomoa pistol akamfyatua mbili za kichwa na kuchukua begi akadandia bike wakasepa. Binadamu tumekuwa wakatili kuliko hata Wanyama Mungu tusaidie.
acha tu mzee
 
appreciate masta, hiyo ndo ilikuwa bahati yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…