Tukio gani limewahi kukutokea mpaka ukajisemea kweli Mungu yupo?

Usengelema tunataka ushuhuda na matendo makuu ya Mungunwewe unaleta mapenzi ...
 
Kwa bahati mbaya sana sources ambazo zinatoa uthibitisho wa uwepo wa Mungu Zina rely kwenye imani, Sasa labda uniambie wewe ni imani gani mkuu?.ili nikupe reference za kuendana na imani yako

kama source zinatokana na imani, kwa nini hizo imani zina "contradict" kuhusu huyo mungu mmoja?
 
Mkuu kweli haukua na connection? Au Surname yako ni famous, hongera lkn
 
Kiburi Cha uzima huwapumbaza sana watu....

KUSUDI LA MUNGU KUCHAGUA LITASIMAMA.

MUNGU HUMCHAGUA AMTAKAE, UMUHURUMIA AMTAKAE,UMREHEMU AMPENDAE NA UMUADHIBU AMTAKAE........

Haijalishi wewe ni mwema au ni mwovu....

Kisa Cha Esau na Jacob Mungu alimbaliki yakobo hata kabla hajazaliwa kwani Esau alimkosea nini MUNGU?

NDIO maana MUNGU aliufanya moyo wa farao kua mgumu Kwa makusudi....

Siku Moja HICHO KIBURI CHA UZIMA KITAKUONDOKA....
 
Wazee wa plate number nyeusi
 
Huu ulimwengu wenye ajali, vifo, njaa na shida zingine umetokana na nini, yani kuna namna gani nyingine ulimwengu na vitu vyote humo ndani vimefanyika?
ebu ngoja nikuelewe vizuri, kwamba ulimwengu wenye ajali ni sababu tosha hamna Mungu.. ilikuaje kuaje sasa pakatokea haya, yani tulizuka zetu vaaap!!?
 
Matukio ni mengi sana mzee, ila kuna nguvu isiyoonekana inanishindia kwenye mazingira magumu
 
Anaangamiza shetani Mungu analinda, wachawi wanatoa makafara ya damu maajali na vifo vya ajabu ukichomoka hapo ndio unasema Mungu aliekua upande wako either mtu wa maombi au unaombewa sana na watu wako au Mungu bado ana plan na wewe , ila yeye hanaga upendeleo,
 
Noma sana🤣🤣🤣
 
Za kuambiwa
 
Nilishushwa kwenye gari (Prado) kisa nlikataa kukaa siti ya nyuma nikaenda kupanda basi kufika chalinze napata taarifa ile gari (Prado) imepatwa na ajali na wote waliokuwa ndani ya ile gari wamefariki..




Daah asee tangu hapo niliona uwepo wa Mungu kabisa na hakuna wakukuepusha/kukuletea majanga isipokuwa Mungu pekeake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…