Tukio kwenye mataa ya Mwenge: Tofauti ya Wazungu na Waafrika

We mleta mada ni mpumbavu katika wapumbavu na ni mtumwa wa akili. Wewe unadhani kwa siku wanaokuja kusafisha kioo wako wangapi? Mimi binafsi kioo changi wanasafisha hata mara 10 kwa siku, na unampa 200 token tu, sasa umpe 10,000/= ndio ili uwe kama mzungu? Mara 10 ni 100k, kwa kuosha kioo ambacho nikibonyeza button ya wiper inatoa povu na kufuta automatically? Halafu pia kzi ni maelewani, huwezi kumfanyia mtu kazi bila makubaliano kwanza, otherwise ni harassment. We mtumwa kama watumwa wengine tu,
 
Ngoja nimalizie kupinga nyungu kwanza.

Achana na mabeberu hao. Kwanza sisi ni nchi tajiri sana. Mitumba sasa hivi inatoka kwetu kwenda kwao.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hii nchi ilikuwa imechezewa sana!
Ni kosa kubwa sana katika zama za leo na katika dunia ya leo kuwaita wazungu mabeberu.
 
Tena nakasirika sana. Ki ukweli maisha wala hayatuchukulii kirahisirahisi hivyo, kwamba maji kwenye kioo kitu ten daahh mbona wote tungefanya hio kazi.

Maisha ni magumu ni mapambano haswa
Usiamimi kuwa unavyo pambana wewe basi kila mmoja nae apambane. Imeandikwa kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake.
 
Kulipa fedha kwenye huduma ambazo zinatolewa mahali pasipo rasmi sio jambo la kulipigia chapuo, kwanza ni hatari, pili unachochea vijana wengi kujingiza kwenye hiyo biashara isiyo rasmi
 
Soma tena nilichoandika. Usitukane, changia mada kwa hoja.
 
Kazi ni maelewano, hivi leo nikikufuata na mashine ya kunyolea inayotumia betri barabarani halafu nikaanza kukunyoa nywele huku unatembea, utanilipa? Au utafanyaje, maana si kazi?
 
Kutokujielewa kulikoletwa na yule bwana kutatugharimu kwa muda mrefu sana.
Nakuelewa saaaanaaaa. Na ndio hao wanaopiga kelele na kuona nolichoandika ni upuuzi. Wanawaita waxungu mabeberu still wanatumia madawa kutoka kwao, nguo za mitumba, chanjo za polio nk. Internet yenyewe ni yao. Kila kitu kinatoka kwa huyo BWANA BEBERU. [emoji3]
 
Ulishuhudia ukiwa seat ya abiria sio? Au ukiwa wapi?
 
Kulipa fedha kwenye huduma ambazo zinatolewa mahali pasipo rasmi sio jambo la kulipigia chapuo, kwanza ni hatari, pili unachochea vijana wengi kujingiza kwenye hiyo biashara isiyo rasmi
Watu wengi kufanya aina mona ya biashara wala sio kosa, midhali ni ya halali na inalipa acha wafanye. Na ukisema ni hatari sikatai, ila sio hatari katika ukubwa huo. Lina wanaouza bidhaa barabarano kwenye mafoleni, kuna askari wa barabarani pia nao wanafanya shughuli zao barabarani pia. Sasa hii haimaniishi kuwa kutokana na uhatari huo basi shughuli zisifanyike.
 
Na kuna uwezekano mzungu ndo ilikua mara yake ya kwanza kushuhudia tukio hilo....

Enewei nisiwe na roho mbaya kumsemea mzungua...ila amini kwamba sis binadamu woote weus.weupe tuna u evil ndan yetu na ndo human nature hyo.....imagine...kuna vilema wangap ambao hawajiwez wanaomba barabaran..kuna watu wanakufa na njaa dunian hapa..watu wanakufa kwa kutokua na pesa ya matibabu....etc etc....na hii ni dunia nzima

Wew kuona tukio hlo ilikua bahat tu hyo siku.....hata mim kuna siku nikiwa katika matembez yangu huwa nawapa wale wanaoomba hela yoyote ambayo inakua mfukon...na siku nyingne siwap...sasaa mtu anaeniona siku hyo nampa mtu buk5 anaweza niona mim kama malaika kumbe ni imetokea tu...so ni human nature mkuu..na si wazungu ...hao waazungu unaowasifia walitufanya sis watumwa kwa zaid ya miaka 400 so dont get it twisted bro...
 
Huku kwetu kuna m1 anaendesha bodaboda...tena wanaish geto.wako kama 8 hiv..sijui ni wanafunz hawa ama vip
 
Soma tena nilichoandika. Usitukane, changia mada kwa hoja.
Kwamba kulipa 10k ni kubwa na hailipiki si hoja? Kwamba kazi ni maelewano na unapolazimisha kufanya kazi ambayo hamjakubaliana ni harassment si hoja? Kwa wewe ni mtumwa na mpumbavu si hoja? Hebu kanusha basi then tuendelee tokea hapo
 
Wazungu waliotufanya watumwa ni wazungu wa miaka 1000 iliyopita huko. Zingatia kuwa dunia haikuwa kama ilivyo leo. Hata wao walipotuona na kutushangaa wakatuita manyani wakati huo na sisi tuliwaona manguruwe tu. Kwahiyo usikubali historia ikutawale. Yaliyopita si ndwele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…