Tukio kwenye mataa ya Mwenge: Tofauti ya Wazungu na Waafrika

Kuna wakati pesa inaweza kutafsiri thamanibya kile unachofanya. Waafrika tunapenda sana mseleleko, mtu akufanyie kazi kubwa then umlipe kidogo. Kwa dogo ni wazi aliona Mzungu amethamini kazi yake.
Anayependa mserereko ni huyo dogo anayetufanyia kazi bila makubaliano ili alipwe.
Kama ni hivyo,vijana wote wasio na ajira waende kwenye ofisi za watu wakapige kazi bila makubaliano halafu wadai mshahara waone Kama watapewa.
 

Hawajui wazungu huyo
 
Kama ni maamuzi kulipa hoja yako ni nini? Huyo dogo alichofurahia ni kupewa hela na mzungu na zaidi ya yote hiyo elfu kumi ambayo hajawahi pewa kwa mara moja.
Hoja yangu ni ugumu wa kazi anayofanya dogo. Mazingira ya kazi yenyewe. Hali yake ya kimaisha, lkn bado kuna watu walimpita bila kumpa hata 100 wakati mfukoni wana zaidi milioni moja. Hiyo ndio hoja yangu.

Ni sawa sawa na kutoa sadaka, ukiwa nacho unatoa. Na hata usipotoa hakuna wa kukulaumu. Lakinj je unamzungimziaje mtu ambaye ana laki tano mfukoni then kuna omba omba amemuomba shilingi 500 tu akale chakula na bado akamnyima, huyo unamzungimziaje?!
 
Anayependa mserereko ni huyo dogo anayetufanyia kazi bila makubaliano ili alipwe.
Kama ni hivyo,vijana wote wasio na ajira waende kwenye ofisi za watu wakapige kazi bila makubaliano halafu wadai mshahara waone Kama watapewa.
Daaah. DEMI unanichosha cos hajasome nichoandika. Tambua hao vijana wala hawakulazimishi kuwalipa.

Je umewahi pita sehem njia imeharobika then kuna vijana wanaijenga huku wakikusanya mia mia kwa walitaji?! Kwao wao ukiwapa ni sawa, na hata usipowapa bado ni sawa tu. Iko hivyo hata kwa hao madogo.
 
Sasa suala la kutoa ni jambo lingine, Wewe umezungumzia mzungu, salute na 10,000.
Wapo wengi tu wana moyo wa kutoa sio lazima wampe huyo dogo lkn Kuna mahali wanatoa. Na pia utambue kuwa dunia haipo fair hatuwezi kufanana.
 
Nilishuhudia bosi mmoja na kitambi chake akiwa anataka kutoka kwenye gari yake ili amzibue kijana muosha vioo vya gari, kijana aliacha kila kitu na kukimbia. Alimfukuza kama mbwa!
 
Mtoa mada amekufa ameoza kwa "Wazungu"! Nadhani huyu wazazi wake walikuwa wanafanya kazi (upishi) kwa wamisionari akawa anaaminishwa kuwa " wazungu" ni malaika flani.

Vijizawadi vya maziwa, pipi na mitumba vilikjula akili yake mpaka akasalimisha (surrender) mwili wake kwa "wazungu" wambariki!
 
Muongo inatokana na moyo wa mtu,Kuna mtu kaumbwa na roho ya ubinafsi tu,Wala usisingizie kipato
 
Sidhani kama u a uhakika na unachoongea.
wakati hawa jamaa mi nimeishi nao na nafanya nao kazi. ingia kazini na uzoefu wako mkubwa alafu aje freshe mzungu uone kama mtalipwa sawa. tatizo mnachukua vi senario vidogo na kuwapongeza hawa watu. hawa jamaa sio kabisa, wana ubaguzi kama wengine tu
 
Uwezo wako ni mdogo sana katika kufikiri. Ni sawa na uwezo wa ubongo wa kuku tu.
 
Wewe utaiona pepo mkuu.

Kusaidia random people at random incident inakuongezea Sana baraka kuliko kusaidia mnaofahamiana.

Nimeshawahi kuprove hii
 
Kuna siku nikikaa mahali akatokea mtu hata simjui jina kwa jinsi alivyoonekana ALikuwa na shjka Sana na Ni mlemavu .

Nikampa kiasi Cha kutosha kwa zaidi ya alichohitaji na sio kwamba Mimi sikuwa na shida nazo ...nilijisemea tu moyoni aaah nitapata Tena bwana halafu nikapotezea .

Nikakaa wiki mbili ndani ya huo huo mwezi Nikapata semina Fulani hivi huko mkoani walinijaza mapesa kwa siku chache tu na nilienda hio semina mwenyewe tu ofisi nzima [emoji1787].

Nikajisemea moyoni hizi ndio zile pesa bila shaka .

Vitabu vitakatifu vinasema "mjaribuni MUNGU kwa Mambo yaliyo mema muone Kama hatawalipa"

Yaani unabania hata buku mzee!! Aibu naona Mimi [emoji15]
 
Kutoa ni moyo hakuna cha mzungu wala muafrika. Kuna watu kiasili wamezaliwa na moyo wa kutoa hata kwa kidogo unachowafanyia.
 
Mkuu achana nao Kuna watu Wana za korosho kiasilia.


Huwezi washauri wakakuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…