Anayependa mserereko ni huyo dogo anayetufanyia kazi bila makubaliano ili alipwe.Kuna wakati pesa inaweza kutafsiri thamanibya kile unachofanya. Waafrika tunapenda sana mseleleko, mtu akufanyie kazi kubwa then umlipe kidogo. Kwa dogo ni wazi aliona Mzungu amethamini kazi yake.
Nilitaka kuamini storry yako Ila nilipoona CROWN Nimesita kukuamini kwa kuwa Mzungu Kama Mzungu uliyemuongelea ni vigumu kuwa na hiyo Gari. Kwanza ni Saloon/Sedan, Mzungu hutumia SUV/WAGON.
Unless ungefunguka kuwa kuwa Kuna kamzunguko kapesa kameanza kuonekana mtaani ningekuelewa.
Mengine yote umefagilia wazungu kwa mtizamo wako, na hayaendani na Story yako ya Mwenge.
Nahisi hujawahi kuishi na wazungu na kuyajua maisha yao halisi kuhusiana na fedha unawaona tu barabarani. Sasa Kama hujui hakuna mtu mchumi kama Mzungu.
Hoja yangu ni ugumu wa kazi anayofanya dogo. Mazingira ya kazi yenyewe. Hali yake ya kimaisha, lkn bado kuna watu walimpita bila kumpa hata 100 wakati mfukoni wana zaidi milioni moja. Hiyo ndio hoja yangu.Kama ni maamuzi kulipa hoja yako ni nini? Huyo dogo alichofurahia ni kupewa hela na mzungu na zaidi ya yote hiyo elfu kumi ambayo hajawahi pewa kwa mara moja.
One lovePowaz...sante sana
Appreciate [emoji1666]
Daaah. DEMI unanichosha cos hajasome nichoandika. Tambua hao vijana wala hawakulazimishi kuwalipa.Anayependa mserereko ni huyo dogo anayetufanyia kazi bila makubaliano ili alipwe.
Kama ni hivyo,vijana wote wasio na ajira waende kwenye ofisi za watu wakapige kazi bila makubaliano halafu wadai mshahara waone Kama watapewa.
Sasa suala la kutoa ni jambo lingine, Wewe umezungumzia mzungu, salute na 10,000.Hoja yangu ni ugumu wa kazi anayofanya dogo. Mazingira ya kazi yenyewe. Hali yake ya kimaisha, lkn bado kuna watu walimpita bila kumpa hata 100 wakati mfukoni wana zaidi milioni moja. Hiyo ndio hoja yangu.
Ni sawa sawa na kutoa sadaka, ukiwa nacho unatoa. Na hata usipotoa hakuna wa kukulaumu. Lakinj je unamzungimziaje mtu ambaye ana laki tano mfukoni then kuna omba omba amemuomba shilingi 500 tu akale chakula na bado akamnyima, huyo unamzungimziaje?!
Dah, hii gundi ninayoifahamu ya maofisini?Inalewesha unasiz kbs haina tofaut na petrol ukivuta
Haya ndiyo mambo ya kuhisi, si kila mwenye njaa hapa mjini ni mvuta bangi ama mbwia cocaine.Me sikupi ht Mia ukanunue bangi na gundi na cocaine..sana Sana km utaforce utaambulia tusi taa zikiruhusu
Muongo inatokana na moyo wa mtu,Kuna mtu kaumbwa na roho ya ubinafsi tu,Wala usisingizie kipatoKumlipa mtu pesa nyingi kwa kazi ndogo inategemea na kipato chako. Huyo mdosi unaweza kukuta hiyo 10k aliyotoa ni kama 100 kwake. Lakini mwingine hata hela ya mafuta inamsumbua aje akulipe shs 10 elfu kwa kufuta kioo vumbi!
Kwanza hao watu wanaofanya kazi za hivyo ni kupoteza muda. Waje huku mikoani kuna mashamba kibao waje walime. Waache uvivu, na kupenda kukaa mijini.
wakati hawa jamaa mi nimeishi nao na nafanya nao kazi. ingia kazini na uzoefu wako mkubwa alafu aje freshe mzungu uone kama mtalipwa sawa. tatizo mnachukua vi senario vidogo na kuwapongeza hawa watu. hawa jamaa sio kabisa, wana ubaguzi kama wengine tuSidhani kama u a uhakika na unachoongea.
Uwezo wako ni mdogo sana katika kufikiri. Ni sawa na uwezo wa ubongo wa kuku tu.Mtoa mada amekufa ameoza kwa "Wazungu"! Nadhani huyu wazazi wake walikuwa wanafanya kazi (upishi) kwa wamisionari akawa anaaminishwa kuwa " wazungu" ni malaika flani.
Vijizawadi vya maziwa, pipi na mitumba vilikjula akili yake mpaka akasalimisha (surrender) mwili wake kwa "wazungu" wambariki!
Mambo mengine chukulia Kama sadaka tu.Niwe mkweli tu akimwagia maji huwa nawasha wipers haraka na kufuta mwenyewe huku nikimsisitiza aache. I guess I'm a typical Tanzanian.
Wewe utaiona pepo mkuu.Mzee hutaki kutoa riziki hata kwa watoto wanao hustle kupata chochote kitu? Najua sio lazima ila atleast they are trying to make ends meet bruh!
Mie ikitokea hivyo huwa nawapa coins zozote zilizopo mfukoni. Its not that iβm that rich but atleast i provide a little support kiungwana!
Mkuu achana nao Kuna watu Wana za korosho kiasilia.Mkuu. Hata trafiki nao hufanya kazi barabarani tena all the time na luna wakati ajali huwakuta vile vile, lkn bado hilo haliwafanyi kuacha kufanya kazi yao. Vijana hawa wapo makini sana na wanatambua kuwa kuna ajali, ndio maana hufanya kazi zao wakati taa nyekundu zimewaka na gari zimesimama. Taa zinaporuhusu tu utaona wakikaa kando ya barabara.
π ππMe sikupi ht Mia ukanunue bangi na gundi na cocaine..sana Sana km utaforce utaambulia tusi taa zikiruhusu