Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana akili huyo achana naeYaani mtu mmoja afuate polisi wengi akapambane nao?Yaani wewe ni mmoja halafu ukatafute polisi wengi wa kupambana nao?Wewe unaona hii inamake sense?Hapo si unakuwa unatafuta kifo cha haraka sana kabla hata ya kusababisha madhara uliyokusudia?
Kwa habari zillizopo, jibu ni NDIOJe kuua polisi ndio concern yake?
jiulize ni kwanini hakuua wala kumjeruhi raia yeyote?Je kuua polisi ndio concern yake?
Hii post imeletwa kwenu kwa uzamini mkubwa wa chama la wavuta bange.Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.
Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?
Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kisogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?
Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
Kwa hiyo ubalozi wa ufaransa alikoenda kushamblia walinzi wa huo ubalozi ndio wafaransa waliomdhulumu? kwa nini ali tarhet pale pale opposite na uliposhambuliwa ubalozi wa marekani?Kwa habari zillizopo, jibu ni NDIO
KISASI dhidi ya dhuluma.
Kuna mlinzi gani wa ubalozi alishambuliwa na Hamza. Ficha ujinga wako! Idiot!Kwa hiyo ubalozi wa ufaransa alikoenda kushamblia walinzi wa huo ubalozi ndio wafaransa waliomdhulumu? kwa nini ali tarhet pale pale opposite na uliposhambuliwa ubalozi wa marekani?
ubalozi wa ufaransa walimkosea nini hadi aue walinzi wa ubalozi wao kwenye ofisi yao?
Eneo la ubalozi ni nchi nyingine alichofanya ni kushambulia nchi ya ufaransa
Vipi mlikuwa na mission moja au?Nimeangalia,nimefuatilia sana tukio.Nimesoma mawazo ya watu nikagundua watu wengi wanaumia na wanalaumu Hamza kuuawa.Hamza had a CONCERN alitakiwa akamatwe akiwa hai.DHULUMA,UONEVU ni mkubwa sana unaofanywa na wanausalama Tanzania.Wana warned na kuwadhulumu watu sana.
Nimeumia Hamza kupigwa risasi na kufa.Pole kwa familia za askari lakini vipi kuhusu familia ya Hamza?
Note
Hamza amedhulumiwa mali na nafsi yake.Mungu amsaidie.
Wewe unasumbuliwa na msongo wa chuki za kidini.Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.
Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?
Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kisogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?
Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
Mlinzi wa G4S au yeye siyo binadamu nyumbu mkubwa!Kuna mlinzi gani wa ubalozi alishambuliwa na Hamza. Ficha ujinga wako! Idiot!
Yule mlinzi sio wa ubalozi..Kuna gari la GSA hao mgambo walikuja eneo la tukio wakitaka kusaidia police ndo yakawapata yaliyowapata. Lakin jamaa hakuwa na haja ya kuingia ubalozi hata ukiangalia hizo video. Usijekuta hata hizo video hujaziona punda wewe!Mlinzi wa G4S au yeye siyo binadamu nyumbu mkubwa!
Yule sio gaidi. Kuna ishu kati yake na askariKondakta wa haisi ile anasema maneno alikua anasema "watu wanamchezea allah" ...
Watu wanasema streess/depression, akili za kawaida mtu ana depression na kulenga askari tu ?!
Historia za magaidi kwenye taarifa za habari mbalimbali hua tunaona hua wana target raia walio mbele yao, sasa blaza gari la abiria liko mbele yake kaliacha, ni gaidi gani huyo
Nimeangalia,nimefuatilia sana tukio.Nimesoma mawazo ya watu nikagundua watu wengi wanaumia na wanalaumu Hamza kuuawa.Hamza had a CONCERN alitakiwa akamatwe akiwa hai.DHULUMA,UONEVU ni mkubwa sana unaofanywa na wanausalama Tanzania.Wana warned na kuwadhulumu watu sana.
Nimeumia Hamza kupigwa risasi na kufa.Pole kwa familia za askari lakini vipi kuhusu familia ya Hamza?
Note
Hamza amedhulumiwa mali na nafsi yake.Mungu amsaidie.
Nilikuwa kwenye tukio mkuu pale Stanbic Bank mkuu hivyo tukio nimeliona live siyo wewe wa kuambiwa na video clip ambazo hazionyeshi sehemu zote!Yule mlinzi sio wa ubalozi..Kuna gari la GSA hao mgambo walikuja eneo la tukio wakitaka kusaidia police ndo yakawapata yaliyowapata. Lakin jamaa hakuwa na haja ya kuingia ubalozi hata ukiangalia hizo video. Usijekuta hata hizo video hujaziona punda wewe!
Wewe ni Gaidi nawaomba Polisi wakutafute wakupige ya kichwa na ya matako umfuate Gaidi mwenzako Jehanamu.Walaaniwe wote waliohusika na kudhulumu Hamza maisha na mali zake.
Kwa hakika dhulumati hao hawafai kuwa polisi hata kwenye himaya ya shweitani.