Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Mambo ya dhuluma kama ni kweli yanatia hasira,unapamana kujikomboa na umaskini mwingine anaona hustahili ila yeye!
 
Acha kumuhusisha huyo bwana wako (mungu wako) na unafiki wako. Kama ulisikia vizur maneno ya mshambuliaji, basi utapata jibu ni nani aliekuwa nyuma ya lile shambulizi. Inasikitisha kuona kijana kakubali kuuza utu wake, na uhai wake sababu ya laki 6 tu zilizozungumzwa mahakamani. RIP Chacha Wangwe.
garbage
 
Mitaa ya upanga imeanza kusikika kwamba anayeitwa Gaidi, ni muathirika wa dhuluma za polisi wetu. Polisi wajichunguze pia, badala ya kutisha watu mitaani na kukuza neno 'Ughaidi.'
Ndugu watateswa ili wasiseme hili, lakini linasikika mitaani kwetu!

polisi wamelipwa kwa kadri ya matendo yao Mungu amrehemu shujaa wetu Hamza njia aliyochagua kufikisha ujumbe wengi tunaipenda ila tatizo vifaa
 
Mitaa ya upanga imeanza kusikika kwamba anayeitwa Gaidi, ni muathirika wa dhuluma za polisi wetu. Polisi wajichunguze pia, badala ya kutisha watu mitaani na kukuza neno 'Ughaidi.'
Ndugu watateswa ili wasiseme hili, lakini linasikika mitaani kwetu!
Its all coming out to the naked air.,..!
 
me binafsi nswe mnafiki hata cjaumia na hilo swala la kuuwawa polisi .

polis! ya sasa imezidi

kuna mtu jirani yangu alibambikiwa kesi ya kumiliki silaha kinyume na sheria walimpandikizia risasi alafu akalipa 5million ili yaishe
kuna mtu jirani yangu alibambikiwa kesi ya kumiliki silaha kinyume na sheria walimpandikizia risasi alafu akalipa 5million ili yaishe[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Gaidi hilo limejificha kwenye mgodi
Kinachofanyika sasa ni kutwist ajenda ili jamii iwe na huruma na familia ya gaidi aliyeuwawa
Labda Gaidi kuna sheria inayomkataza kufanya biashara ya madini ila kiuhalisia hakuna kitu ambacho Gaidi hawezi kufanya ili kizugishe watu kuwa si mtu hatari kwa amani.
 
Kwa nini hakuingia mtaani kuwasaka ili badala ya wawili wawe 200
Ndio maana sio gaidi. Hakuingia mtaani kwa vile yeye ni raia mwema ila polisi walivyombadilikia ndio akatumia bastola yake kuwashambulia na kuchukua silaha zao. Angekuwa na ugaidi kichwani angeua askari wengi vituoni au kwenye gari
 
Mmh!

Hili suala awali nilikuwa naliona kwa sura nyingine ila kwa sasa nahisi kuna kitu ambacho si cha kawaida baina ya Hamza na Polisi.
Nyama ziko chini mkuu.... Wacha tuendelee vuta subiraa...
 
Rest EASY Hamza nmewahi kuibiwa na polis milion 1.8 na mmoja n ocd hadi leo nilipanga kulipa kisas walikuwa maaskar 4 ...THANKS God ocd kawa rafk yangu alirudi na kukiri kosa...mambo ya kutembea usku wazee natoka zangu kula kilaji
 
Mitaa ya upanga imeanza kusikika kwamba anayeitwa Gaidi, ni muathirika wa dhuluma za polisi wetu. Polisi wajichunguze pia, badala ya kutisha watu mitaani na kukuza neno 'Ughaidi.'
Ndugu watateswa ili wasiseme hili, lakini linasikika mitaani kwetu!
Ni mapema mno kuanza kuwanyooshea vidole mapolisi!
 
Back
Top Bottom