Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Imagine huyu ndiye alikuwa anasaka teuzi sijui ubunge 🤣🤣🤣 useless brainSuppose ingetumia 100 billions na kuonyesha tuu the potrait photo ya Samia, kama ilivyo picha ya Mona Lisa iliyochorwa na Leonardo Da Vinci, na hizo billions sio zetu ni za mfadhili wa kujitolea, kuna tatizo gani?.
Watanzania tujifunze kuwa na shukrani hata kwa madogo tuu ili tujaaliwe makubwa!. Kitendo tuu cha a documentary ambayo sterling wake ni citizen number one wa Tanzania, ina impact kubwa kuliko a 100 millions dollars documentary ya National Geographical!.
Don't compare Mbingu na Ardhi!
P
NanakaziaHayo ni mawazo na imani yako kama Pascal Mayalla.Na kama kwako wewe ni kushukuru zaidi ya kuhoji uhalali wa kuyaficha majina ya hao wafadhili.
Wewe endelea kushukuru na kusubiri shukurani za kushukuru.
Mimi kama ni kushukuru nitamshukuru huyu mzungu aliyejitolea kutoka huko kwao na kuja kutumia muda na pesa zake kuitangaza Tanzania huku,akiwa hajaficha jina lake !
Watanzania ndio taufa pekee ambako tunamshukuru Rais badala ya kumkumbusha wajibu wake kwa walipa kodi.
Nyie ndie aina ya wasomi/wanahabari wa kitanzania wanaojua kucopy na ku paste tu bila kuwa na uwezo wa kuhoji na kuchunguza, tumbo mbeleSuppose ingetumia 100 billions na kuonyesha tuu the potrait photo ya Samia, kama ilivyo picha ya Mona Lisa iliyochorwa na Leonardo Da Vinci, na hizo billions sio zetu ni za mfadhili wa kujitolea, kuna tatizo gani?.
Watanzania tujifunze kuwa na shukrani hata kwa madogo tuu ili tujaaliwe makubwa!. Kitendo tuu cha a documentary ambayo sterling wake ni citizen number one wa Tanzania, ina impact kubwa kuliko a 100 millions dollars documentary ya National Geographical!.
Don't compare Mbingu na Ardhi!
P
Mimi sio mfanyakazi wa Samia naeleza facts tu. Maana Kulikua na mahojiano kibao na Samia alikua ndio kama tour guide so sio hasa ni utalii Bali ni PR ya Rais Samia maana Kwa maneno yake anadai Tz ilikua imechafuliwa na JPM huko nje so walihitaji kurebrand.Daaah yaani we umekuwa unaongea ujinga ujinga hapa mpaka aibu!!
Kumbe lengo lilikuwa kumtambulisha Rais wa nchi hii kwa Dunia ?...kwahiyo we kwa upande wako unaona imekaa sawa hii? Inferiority complex ya kiwango cha juu kabisa .....ebu tuambie vizuri walitaka kumtambulisha kwa Dunia ili iweje?
Makubaliano ya Nini Ile si biashara.... Video imeuzwa kwenye digital platform so kama makubaliano labda ni faida za hiyo movie wagawane.Huwezi kuwa mwajiriwa wa umma halafu ufanye mambo ya siri then uje kutetea uamuzi huo kisa sio pesa ya umma haina shida, wakati hata makubaliano yao huyajui, usitetee hili jambo.
Na bado hatukua na hati miliki pamoja na Rais wetu kuitw amajina matamu na yule Jamaa
Kwamba Tanzania Royal Tour ilikuwa ni siasa,Royal Tour ilikuzwa kuliko uhalisia wake.
Na pia Royal Tour Documentary haikuwa na maudhui yoyote makubwa yenye ushawishi kwa watalii kuweza kuijua Tanzania pamoja na vivutio vyake.
Bali Royal Tour ilitumika na kundi la wajanja ndani na nje ya nchi hii,ili kumuweka Rais Samia karibu yao zaidi.
Na hatimae kutimiza malengo yao kisiasa na kiuchumi.
Nimeweka video links hapa,za Documentary mbili tofauti,moja ni hiyo Royal Tour,na ingine ni ya mzungu binafsi aliyetumia pesa zake kiduchu,na hatimae kuitangaza Tanzania kuliko hiyo Royal Tour.
Na hapo muelewe kwamba Royal Tour ilitumia zaidi ya Bilioni 12,huku majina ya wachangiaji yakiwekwa kapuni mpaka leo hii
Sasa kipi Cha uongo? Kwani shigongo hakupring T shirt ila hakulipwa?Pitia comment uliyoandika, unaamini UBONGO na akili vilishirikiana kuandika uliandika?
Yaani mtu mwenye AKILI timamu uongee kama conman halafu tukuheshimu?
Yaani billion 10 ndio makubaliano ya rasilimali? Are we serious? More over amesema taasisi zaidi ya 5 so probably 2 billion each Sasa makubaliano yapi kwa pesa ya madafu hiyo?Jamaa kuna kitu huelewi, hapa tuna wasiwasi huenda hayo makubaliano yao ya siri yakasababisha mali za umma kuwekwa rehani mbele ya safari, ndio maana tunataka kujua huyo mfadhili ni nani?
Wewe unaonekana umewekeza akili yako yote kwenye pesa aliyopewa, lakini hujiulizi vipi kama kuna return itahitajika na itatoka wapi?
Au unaamini pia kama ikitokea ikahitajika hiyo return, Rais atatoa pesa mfukoni mwake amrudishie huyo mfadhili?
Come on!.
Uko narrow minded sana fungua akili zaidi. Toa takwimu halisi ya hiyo National Geographic Channel, Je hao watazamaji ni muda wote au inatazamwa na watu bilion 2 kwa mara moja?Mzee hapa umetoa boko.
Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa National Geographic Channel zote 2.
Wana watu zaidi ya 2 billion viewers na subscribers, wana data base ya wataalum (exploreres, wild animal doctors,Ecologist ,etc)
Wana fund projects zaidi ya 15,000 kwa mwaka.
Usirudie tena kuongea hiyo kitu.
Kama nchi hii ingekuwa inatumia akili, wangetengeneza extended documentary ambayo ingekuw inarushwa kwa mwezi au miezi kibao, sasa mnatengeneza kapicha na kukazindua marekani mnarudi hapa bongo mmekaa tu.
Viewers zaidi ya 2 BILLION, embu
IHESHIMU NATIONAL GEOGRAPHIC CHANNEL
NA USIRUDIE HII KAULI TENA SAWA?
Kwani funding ilitoka wapi zaidi ya serikalini?Makubaliano ya Nini Ile si biashara.... Video imeuzwa kwenye digital platform so kama makubaliano labda ni faida za hiyo movie wagawane.
Hakuna anayetetea hili jambo maana nawaza ingekua ni pesa ya umma si ndio mngelalamika kuwa shule hazina vyoo ila mama anaigiza movie!!
Au kwa mfano ulitaka funding itoke wapi?
Hapa sikuungi mkono.Suppose ingetumia 100 billions na kuonyesha tuu the potrait photo ya Samia, kama ilivyo picha ya Mona Lisa iliyochorwa na Leonardo Da Vinci, na hizo billions sio zetu ni za mfadhili wa kujitolea, kuna tatizo gani?.
Watanzania tujifunze kuwa na shukrani hata kwa madogo tuu ili tujaaliwe makubwa!. Kitendo tuu cha a documentary ambayo sterling wake ni citizen number one wa Tanzania, ina impact kubwa kuliko a 100 millions dollars documentary ya National Geographical!.
Don't compare Mbingu na Ardhi!
P
Utalii wenyewe huujui zaidi ya kulamba visigino vya watawala...Roho Tour haina wala haitakuwa na impact yoyote kwa namna utalii ulivyo...nimefanya kwenye utalii kwa angalau miaka mi5...tena idara muhimu ya Reservation Office.Sukuma Gang mkazikwe tu pembeni ya kaburi la shujaa wenu. Wanaojua umuhimu wa Royal Tour ni wanaofanya shughuli za utalii. Nyie Sukuma Gang leteni mada zinazohusu ushirikina na roho mbaya maana ndo fani yenu.
Suppose ingetumia 100 billions na kuonyesha tuu the potrait photo ya Samia, kama ilivyo picha ya Mona Lisa iliyochorwa na Leonardo Da Vinci, na hizo billions sio zetu ni za mfadhili wa kujitolea, kuna tatizo gani?.
Watanzania tujifunze kuwa na shukrani hata kwa madogo tuu ili tujaaliwe makubwa!. Kitendo tuu cha a documentary ambayo sterling wake ni citizen number one wa Tanzania, ina impact kubwa kuliko a 100 millions dollars documentary ya National Geographical!.
Don't compare Mbingu na Ardhi!
P
Serikali ina vyanzo vingi vya mapato, kama palikuwepo na ulazima sana wa Royal Tour wangeamua kuiweka bajeti yake kwenye mwaka ujao wa fedha wizara ya maliasili na utalii, lakini sio kujichuuza na kuichuuza nchi kwa wafadhili kama tumekuwa timu ya mpira wa miguu.Makubaliano ya Nini Ile si biashara.... Video imeuzwa kwenye digital platform so kama makubaliano labda ni faida za hiyo movie wagawane.
Hakuna anayetetea hili jambo maana nawaza ingekua ni pesa ya umma si ndio mngelalamika kuwa shule hazina vyoo ila mama anaigiza movie!!
Au kwa mfano ulitaka funding itoke wapi?
Wewe fala miaka mitano michache sana. Mimi nimezaliwa na kukulia kwenye utalii hakuna kitu utaniambia.Utalii wenyewe huujui zaidi ya kulamba visigino vya watawala...Roho Tour haina wala haitakuwa na impact yoyote kwa namna utalii ulivyo...nimefanya kwenye utalii kwa angalau miaka mi5...tena idara muhimu ya Reservation Office.
Huyo uliyemtaja habari yake imeisha hata mi sikumuunga mkono baadhi ya mambo yake...ila nilimkubali kwa namna alivyodili na masnich kama hao mabwana zako unaowatetea hapa!.