Tukisema Royal Tour Tulipigwa tunamaanisha ukweli

Tukisema Royal Tour Tulipigwa tunamaanisha ukweli

Ni mwendawazimu pekee anayeweza kuamini upotevu wa muda na rasilimali kufanya video ya dakika 60 inaweza kuinua utalii wa nchi! Nani aliyeodhinisha fedha kwa ajili ya huo mpango hovyo? Nani aliyepitishq njia hiyo ya kutangaza utalii kwamba ndiyo njia bora? Gharama zake nani kapitisha hata kama no fedha za mkopo/msaada, je zisingeweza kupata matumizi bora zaidi?
Nadhani wahusika wote wafikishwe mahakamani wahojiwe.
 
Suppose ingetumia 100 billions na kuonyesha tuu the potrait photo ya Samia, kama ilivyo picha ya Mona Lisa iliyochorwa na Leonardo Da Vinci, na hizo billions sio zetu ni za mfadhili wa kujitolea, kuna tatizo gani?.

Watanzania tujifunze kuwa na shukrani hata kwa madogo tuu ili tujaaliwe makubwa!. Kitendo tuu cha a documentary ambayo sterling wake ni citizen number one wa Tanzania, ina impact kubwa kuliko a 100 millions dollars documentary ya National Geographical!.

Don't compare Mbingu na Ardhi!
P
Imagine huyu ndiye alikuwa anasaka teuzi sijui ubunge 🤣🤣🤣 useless brain
 
Hayo ni mawazo na imani yako kama Pascal Mayalla.Na kama kwako wewe ni kushukuru zaidi ya kuhoji uhalali wa kuyaficha majina ya hao wafadhili.

Wewe endelea kushukuru na kusubiri shukurani za kushukuru.

Mimi kama ni kushukuru nitamshukuru huyu mzungu aliyejitolea kutoka huko kwao na kuja kutumia muda na pesa zake kuitangaza Tanzania huku,akiwa hajaficha jina lake !

Watanzania ndio taufa pekee ambako tunamshukuru Rais badala ya kumkumbusha wajibu wake kwa walipa kodi.
Nanakazia

"Tanzania ndo nchi peke inayomshukuru rais sanaaaaaaaaaa balada ya kumkumbusha wajibu wake Kwa watanzania"

Na hi ni ishara kubwaa Sana ya Umasikini wa vitu na fikra za viongozi wetu na inapunguza uwajibikaji Kwa wakuu wa nchi ni tatizo kubwaaaaa
 
Suppose ingetumia 100 billions na kuonyesha tuu the potrait photo ya Samia, kama ilivyo picha ya Mona Lisa iliyochorwa na Leonardo Da Vinci, na hizo billions sio zetu ni za mfadhili wa kujitolea, kuna tatizo gani?.

Watanzania tujifunze kuwa na shukrani hata kwa madogo tuu ili tujaaliwe makubwa!. Kitendo tuu cha a documentary ambayo sterling wake ni citizen number one wa Tanzania, ina impact kubwa kuliko a 100 millions dollars documentary ya National Geographical!.

Don't compare Mbingu na Ardhi!
P
Nyie ndie aina ya wasomi/wanahabari wa kitanzania wanaojua kucopy na ku paste tu bila kuwa na uwezo wa kuhoji na kuchunguza, tumbo mbele
 
Alisema Samia mwenyewe uwe unafatilia mambo kabla ya kuja huku kicha kichwa bila taarifa!
Samia mwenyewe alisema nini?
Je! aliwaja hao wafadhili wa Royal Tour?
Je! Samia anaamika kiasi gani kwa watanzania wa sasa?
 
Daaah yaani we umekuwa unaongea ujinga ujinga hapa mpaka aibu!!

Kumbe lengo lilikuwa kumtambulisha Rais wa nchi hii kwa Dunia ?...kwahiyo we kwa upande wako unaona imekaa sawa hii? Inferiority complex ya kiwango cha juu kabisa .....ebu tuambie vizuri walitaka kumtambulisha kwa Dunia ili iweje?
Mimi sio mfanyakazi wa Samia naeleza facts tu. Maana Kulikua na mahojiano kibao na Samia alikua ndio kama tour guide so sio hasa ni utalii Bali ni PR ya Rais Samia maana Kwa maneno yake anadai Tz ilikua imechafuliwa na JPM huko nje so walihitaji kurebrand.

Hiyo ni Public Relation strategy kwamba huko nje waseme nchi Iko chini ya mwanamke, Kuna demokrasia, usawa wa jinsia, utalii, rasilimali n.k. na huyo aliyemuhoji ni lobbyist ambaye ana access na Marais kibao so sio normal journalist alitumika kimkakati.

Sasa nashangaa humu watu wajuaji mara national geographic mara Kuna YouTube channels Zina viewers wengi n.k.? PR haiangalii viewers Bali POSITIONING na wale decision makers unaowalenga wale mahoe hae sio walengwa wa hiyo documentary
 
Huwezi kuwa mwajiriwa wa umma halafu ufanye mambo ya siri then uje kutetea uamuzi huo kisa sio pesa ya umma haina shida, wakati hata makubaliano yao huyajui, usitetee hili jambo.
Makubaliano ya Nini Ile si biashara.... Video imeuzwa kwenye digital platform so kama makubaliano labda ni faida za hiyo movie wagawane.

Hakuna anayetetea hili jambo maana nawaza ingekua ni pesa ya umma si ndio mngelalamika kuwa shule hazina vyoo ila mama anaigiza movie!!

Au kwa mfano ulitaka funding itoke wapi?
 



Kwamba Tanzania Royal Tour ilikuwa ni siasa,Royal Tour ilikuzwa kuliko uhalisia wake.

Na pia Royal Tour Documentary haikuwa na maudhui yoyote makubwa yenye ushawishi kwa watalii kuweza kuijua Tanzania pamoja na vivutio vyake.

Bali Royal Tour ilitumika na kundi la wajanja ndani na nje ya nchi hii,ili kumuweka Rais Samia karibu yao zaidi.
Na hatimae kutimiza malengo yao kisiasa na kiuchumi.

Nimeweka video links hapa,za Documentary mbili tofauti,moja ni hiyo Royal Tour,na ingine ni ya mzungu binafsi aliyetumia pesa zake kiduchu,na hatimae kuitangaza Tanzania kuliko hiyo Royal Tour.

Na hapo muelewe kwamba Royal Tour ilitumia zaidi ya Bilioni 12,huku majina ya wachangiaji yakiwekwa kapuni mpaka leo hii

Na bado hatukua na hati miliki pamoja na Rais wetu kuitw amajina matamu na yule Jamaa
 
Pitia comment uliyoandika, unaamini UBONGO na akili vilishirikiana kuandika uliandika?

Yaani mtu mwenye AKILI timamu uongee kama conman halafu tukuheshimu?
Sasa kipi Cha uongo? Kwani shigongo hakupring T shirt ila hakulipwa?

Kwamba CRDB haikuepeleka benki Chato kwani walilipwa Nini? Au VETA kupeleka chuo Chato walilipwa Nini?

Pia nimekueleza hapa TPSF Ili endorse Rais na ikamchangia Hela za kampeni kwani walilipwa Nini in return? Wao ndio walimpa tuzo kabisa.

Hoja ni kwamba kwa nchi zetu hizi Rais ni zaidi ya mungu hata akiwa na initiative kama Royal tour wanaojikomba ni wengi kupeleka michango Sasa unapodai sijui Kuna favors it's as if Rais ndio alijipeleka kuomba pesa ya documentary!!

Hivi kweli billion 10 ndio yakuuza nchi au kufanya makubaliano ya kupewa rasilimali? Embu tupunguze ujuaji.
 
Jamaa kuna kitu huelewi, hapa tuna wasiwasi huenda hayo makubaliano yao ya siri yakasababisha mali za umma kuwekwa rehani mbele ya safari, ndio maana tunataka kujua huyo mfadhili ni nani?

Wewe unaonekana umewekeza akili yako yote kwenye pesa aliyopewa, lakini hujiulizi vipi kama kuna return itahitajika na itatoka wapi?

Au unaamini pia kama ikitokea ikahitajika hiyo return, Rais atatoa pesa mfukoni mwake amrudishie huyo mfadhili?

Come on!.
Yaani billion 10 ndio makubaliano ya rasilimali? Are we serious? More over amesema taasisi zaidi ya 5 so probably 2 billion each Sasa makubaliano yapi kwa pesa ya madafu hiyo?

Kingine Ile ni biashara, movie imeuzwa kwenye stations kama Amazon prime, sky, etc so chances are hiyo movie imeleta pesa kiasi kadhaa so kama Kuna malipo yatatokana na mauzo ya movie maana ni mradi kama mradi mwingine wowote.

Hoja labda iwe hizo faida zinazopatikana kupitia movie hiyo anachukua nani? Huko ndio Kuna ufisadi Ila kusema sijui tutauza rasilimali kisa billion 10 nadhani ni mawazo hasi sana.
 
Mzee hapa umetoa boko.

Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa National Geographic Channel zote 2.

Wana watu zaidi ya 2 billion viewers na subscribers, wana data base ya wataalum (exploreres, wild animal doctors,Ecologist ,etc)
Wana fund projects zaidi ya 15,000 kwa mwaka.

Usirudie tena kuongea hiyo kitu.

Kama nchi hii ingekuwa inatumia akili, wangetengeneza extended documentary ambayo ingekuw inarushwa kwa mwezi au miezi kibao, sasa mnatengeneza kapicha na kukazindua marekani mnarudi hapa bongo mmekaa tu.

Viewers zaidi ya 2 BILLION, embu

IHESHIMU NATIONAL GEOGRAPHIC CHANNEL
NA USIRUDIE HII KAULI TENA SAWA?
Uko narrow minded sana fungua akili zaidi. Toa takwimu halisi ya hiyo National Geographic Channel, Je hao watazamaji ni muda wote au inatazamwa na watu bilion 2 kwa mara moja?

Hata kama ni kwa mara moja, Je gharama za kurusha vipindi vyako huko ni faida kwako ?

Hata kama gharama ni rafiki kwako, je unafikiri watazamaji wa hiyo Chanel ni watalii? Mimi naonaga hiyo Chanel inapendwa sana na watoto ambao wanaona ni kama chanel ya cartoon tu.
 
Sukuma Gang mkazikwe tu pembeni ya kaburi la shujaa wenu. Wanaojua umuhimu wa Royal Tour ni wanaofanya shughuli za utalii. Nyie Sukuma Gang leteni mada zinazohusu ushirikina na roho mbaya maana ndo fani yenu.
 
Makubaliano ya Nini Ile si biashara.... Video imeuzwa kwenye digital platform so kama makubaliano labda ni faida za hiyo movie wagawane.

Hakuna anayetetea hili jambo maana nawaza ingekua ni pesa ya umma si ndio mngelalamika kuwa shule hazina vyoo ila mama anaigiza movie!!

Au kwa mfano ulitaka funding itoke wapi?
Kwani funding ilitoka wapi zaidi ya serikalini?

Kama unao ushahidi kukanusha hilo,ebu tutajie hao fund raisers ambao wamefichwa na Ikulu!
 
Suppose ingetumia 100 billions na kuonyesha tuu the potrait photo ya Samia, kama ilivyo picha ya Mona Lisa iliyochorwa na Leonardo Da Vinci, na hizo billions sio zetu ni za mfadhili wa kujitolea, kuna tatizo gani?.

Watanzania tujifunze kuwa na shukrani hata kwa madogo tuu ili tujaaliwe makubwa!. Kitendo tuu cha a documentary ambayo sterling wake ni citizen number one wa Tanzania, ina impact kubwa kuliko a 100 millions dollars documentary ya National Geographical!.

Don't compare Mbingu na Ardhi!
P
Hapa sikuungi mkono.
1. Hakuna mwenye upendo huo wa kutumia bilions kwa fadhila, hiyo ni chambo. TUTALIWA.

2. Kama haina impact basi ni uwekezaji usio tija. Just a white elephant. Hizo hela zingefanya ya maana.

3. Rais ni state figure, kufanya vitu chini ya kiwango ni kutudhalilisha sisi watu wake, ilitakiwa iwe supa kuliko bongo movie.

N.B Rais ni innocent ila washauri wake kitaalam. WAMETUANGUSHA
 
Sukuma Gang mkazikwe tu pembeni ya kaburi la shujaa wenu. Wanaojua umuhimu wa Royal Tour ni wanaofanya shughuli za utalii. Nyie Sukuma Gang leteni mada zinazohusu ushirikina na roho mbaya maana ndo fani yenu.
Utalii wenyewe huujui zaidi ya kulamba visigino vya watawala...Roho Tour haina wala haitakuwa na impact yoyote kwa namna utalii ulivyo...nimefanya kwenye utalii kwa angalau miaka mi5...tena idara muhimu ya Reservation Office.
Huyo uliyemtaja habari yake imeisha hata mi sikumuunga mkono baadhi ya mambo yake...ila nilimkubali kwa namna alivyodili na masnich kama hao mabwana zako unaowatetea hapa!.
 
Suppose ingetumia 100 billions na kuonyesha tuu the potrait photo ya Samia, kama ilivyo picha ya Mona Lisa iliyochorwa na Leonardo Da Vinci, na hizo billions sio zetu ni za mfadhili wa kujitolea, kuna tatizo gani?.

Watanzania tujifunze kuwa na shukrani hata kwa madogo tuu ili tujaaliwe makubwa!. Kitendo tuu cha a documentary ambayo sterling wake ni citizen number one wa Tanzania, ina impact kubwa kuliko a 100 millions dollars documentary ya National Geographical!.

Don't compare Mbingu na Ardhi!
P

Nimeenda: Brazil, USA, GERMANY, Poland, Spain, kwenye trade fair ndogo ambazo unalipa $1500 kupata booth....

99% of over 100 people wenye booth Hawaijui Tanzania, and most wana idea ya Kenya.

Hawa ambao hawaijui Tanzania ni tour operators, leave alone wateja wa kawaida.

Tanapa hawakuwepo, hizo billions bora zingewekezwa kwenye hizo trade fair.

Tanapa wanaenda kwenye trade fair kubwa tu, laiti wangalijua the low hanging fruits wangetembea zaidi.

Hakuna watu wanaotangaza hii nchi kama tour operators, tena kwa gharama zao kubwa, but serikali ni kuongeza tu charges.

Tanzania is one of the very expensive destination, na hii bei inaongezwa na goverment fee.

Wange concentrate on admin, Marketing strategies, and related areas ingekuwa na impact zaidi.
 
Makubaliano ya Nini Ile si biashara.... Video imeuzwa kwenye digital platform so kama makubaliano labda ni faida za hiyo movie wagawane.

Hakuna anayetetea hili jambo maana nawaza ingekua ni pesa ya umma si ndio mngelalamika kuwa shule hazina vyoo ila mama anaigiza movie!!

Au kwa mfano ulitaka funding itoke wapi?
Serikali ina vyanzo vingi vya mapato, kama palikuwepo na ulazima sana wa Royal Tour wangeamua kuiweka bajeti yake kwenye mwaka ujao wa fedha wizara ya maliasili na utalii, lakini sio kujichuuza na kuichuuza nchi kwa wafadhili kama tumekuwa timu ya mpira wa miguu.

Narudia tena usitetee huu udhaifu aliouonesha Rais wa nchi wa kutuweka rehani kwa wafadhili
 
Utalii wenyewe huujui zaidi ya kulamba visigino vya watawala...Roho Tour haina wala haitakuwa na impact yoyote kwa namna utalii ulivyo...nimefanya kwenye utalii kwa angalau miaka mi5...tena idara muhimu ya Reservation Office.
Huyo uliyemtaja habari yake imeisha hata mi sikumuunga mkono baadhi ya mambo yake...ila nilimkubali kwa namna alivyodili na masnich kama hao mabwana zako unaowatetea hapa!.
Wewe fala miaka mitano michache sana. Mimi nimezaliwa na kukulia kwenye utalii hakuna kitu utaniambia.
 
Back
Top Bottom