Ukimwi unaona cha mtoto sababu umefanyiwa ukarabati kisukari kikifanyiwa ukarabati hamtokiogopa nyinyi rudi 1990 kisha ongea kuhusu ukimwi utanielewa nazungumzia nin
Nina ndugu anaumwa figo na kisukari, haya magonjwa tuyaskie tu ndugu zanguUkimwi sio ugonjwa hatari ki vile
Magonjwa hatari ni figo, kisukari na Moyo
Wakija kuuguza mgonjwa mwenye haya magonjwa watakuja kuamini maneno yako, ila Saiz hawawezi kukuelewaMkuu me nimewashudia wote
Ila Figo na kisukari ni hatari sana
Yaani haya maradhi yakikupata huponi kirahisi na ni suala la muda haizidi miaka 5 utakufa tu
Mungu atuepushe na maradhi ya Figo na kisukari
Wewe shida yako rafiki yangu ni kua kondomu hazikutoshi, huwa unajinasibu una kinukta sasa utavaaje ndom ndgu??Hivi nyie wezangu mnapataje raha kugegeda na kondomu?
Hili nalo nenoWewe shida yako rafiki yangu ni kua kondomu hazikutoshi, huwa unajinasibu una kinukta sasa utavaaje ndom ndgu??
U got that right detectiveKwamba miaka 18 unadunda na mkono wa nyani bila kutumia tembe za minjingu
Nomo sii nomo jamani yaani kwamba i can eat burger drink coke, kula chips zege. Hivyo vitu mtu mwenye kisukari pressure hawezi fanya. So thats wat i mean by nomo lifeHongera ila pia usiwaaminishe watu kuwa unaishi nomo kama mtu asiye na maambukizi never!
Hata hivyo mkuu wewe ngoma hupati kamwe maana unapiga sekunde mbili waaaah hujitesi.Hili nalo neno
Ah mie tayari ninao mzeya.Hata hivyo mkuu wewe ngoma hupati kamwe maana unapiga sekunde mbili waaaah hujitesi.
Ngoma wanapata kina Poor Brain brain wapenda mishangazi, huyu kijana lazima kaukwaa.
Na hii ndo hufanya watu wengi wauogope ugonjwa wa figo na ini kuliko UKIMWI,..lakini wasijue kuwa mzizi mkubwa ni UKIMWI wenyeweJambo hatari sana kwa UKIMWI ni kupata magonjwa kama Ini na Figo na moyo kwa kuwa matumizi ya dawa kila siku hudhoofisha sana figo na ini
na ndo maana wagonjwa wengi wa UKIMWI ni wahanga sana wa ugonjwa wa Figo,ini.
Kwamba mishangazi inahitaji fc libolo ya kwenda😄Ah mie tayari ninao mzeya.
Mishangazi naitamani ila sasa tatizo kibamia kazi itanishinda wacha niwaachie waliobarikiwa mi de liboloz
Kabisa mwanawane ze kibamia and mshangazi do not mixKwamba mishangazi inahitaji fc libolo ya kwenda😄
Hapo basi tumwombe Mayele atuletee vumbiKabisa mwanawane ze kibamia and mshangazi do not mix
Vumbi halisaidi kitu kwa mshangazi bila kitendea kaziHapo basi tumwombe Mayele atuletee vumbi