Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

WAOAJI wengi mnalia lia sanaaaa siku hizi,,, na nikisema Acheni KUOA,,, mnaniona Kenge.

Inaonekana wanaume sasa wameanza tabia za kudeka deka,, mnataka mambo ya kike,, mtu yuko msibani bado unataka akupetipeti,,, ili iweje.!?? Badala wewe ndio uwe nae karibu vile yeye ndio kafiwa. Dume zima unataka mfiwa akuhudumie...

Be a man,,, fanya kilicho kupeleka,,achana na yasiyokuhusu ya wife na binamu zake....

BUT ukiona mara nyingi una hisia kuwa mabinamu wanakula wife,, basi 90% huwa ni kweli...Zika Ondoka nae
 
Unaonekana wewe n jobless,mtu kafiwa na babu yake wewe unaenda kuanzia siku ya kwanza ili nn?nenda siku ya kuzika then sepa,,akifiwa na mzazi ndo kidogo utawah mbn unajipa umuhimu kaka

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Sepa leo kabla ya mazishi ukifika mjini, jiendee kwa mchepuko wako. waifu wako usimwambie chochote kuhusu kuondoka, wewe hukumuua babu sepa haraka
 

HaHaHa Blaza Povu La Nini

Nani kasema sihudumii familia yangu na wazazi wangu ?? Mimi nitahudumia wazazi, wakwe na watoto sio unakaa kifa.la fa.la tu......wadau wameuliza hapa msiba wa babu mkwe mdau anawahi msibani kufanya nn ?? Jibu ni moja mkali hana shughuli / mishe / hela.....

HaHaHa Kazana Kijana, Usipokua Na Hela Utadharauliwa Hadi Na Watoto Wa Ndugu Zako.
 
mbona unachelewa ondoka haraka kwani unataka mpaka uwafume na hao mabinamu zake ndiyo ujue?
 
Ushamba mzigo mnama endelea kujikomba Kwa wakwe labda kama unatafuta kiamba au unafaidika kupitia wakwe
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nyie tunacheka kama mazuri.
Na uzi ameutelekeza, au ndio yupo kwenye lori anarudi mjini. 🀣
Kasema hadi wakizika, au kasusia mazishi kasepa jana ile ile usiku🀣🀣🀣
Wacha tusubiri mrejesho kama atakuja
 
Kasema hadi wakizika, au kasusia mazishi kasepa jana ile ile usiku🀣🀣🀣
Wacha tusubiri mrejesho kama atakuja
Saa 10 hivi jioni ndio wanazika
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…