[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kafiwa na babu we ulienda kufanya nn...siku 3 bila kuoga msiba wa babu yake wife? Akifiwa na baba ake si ndo utakaa mpaka waanue matanga? Kweli mwanaume usipokuwa mwanaume unaliwa na wanaume.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama huna hela bas chukua hata jembe ukwangue vinyas nyas hapo ukwen
Na mda wa kutumwa uwe unakuwa jiran ili utumwe dukan au hata kuchota maji
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anaweza kumwaga chozi watu wakadhani mkwe anamlilia babu kumbe analizwa na comments
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaah wee lolMkuu ulitaka ukoshe masufuria au ?
Ukabebe majamvi?
Msibani ukiona hutumwi tumwi maana yake wamekuheshimu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]arobaini ingemkuta hapo hapo...
bora adandie tu hilo lori mkwe aondoke, na wamemstiri ilitakiwa atumwe tumwe kupasua kuni, kuchota maji....
Ukizika tu sepa zako urudi kwako ukaoge na kula vizuri mkuu.Saa 10 hivi jioni ndio wanazika
Baada ya hapo ndio utadandia lori?Saa 10 hivi jioni ndio wanazika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie tunacheka kama mazuri.
Na uzi ameutelekeza, au ndio yupo kwenye lori anarudi mjini. [emoji1787]
Ushamba mzigo mnama endelea kujikomba Kwa wakwe labda kama unatafuta kiamba au unafaidika kupitia wakwe
Vipi Leo umeoga?Ndio mkuu,kuna tatizo kwani?
Nimeoga mtoni leo mkuu, sijala mpaka sasa hivi.usafiri upo ila sina nauli mkuu,jamaa niliyemkopesha hajanilipa.Vipi Leo umeoga?
Kuhusu msosi umekula?
Jamaa uliemkopesha hela kwenda kwenye interview kakulipa?
Hamna usafiri huko zaidi ya Lori?
Wapi nimesema kuna tatizo?Ndio mkuu,kuna tatizo kwani?
[emoji23][emoji23][emoji23] si ameomba ushauri ndo umsemeKafiwa na babu we ulienda kufanya nn...siku 3 bila kuoga msiba wa babu yake wife? Akifiwa na baba ake si ndo utakaa mpaka waanue matanga? Kweli mwanaume usipokuwa mwanaume unaliwa na wanaume.
Sor[emoji23][emoji23][emoji23] si ameomba ushauri ndo umseme