Tuko msibani kwao na mke wangu halafu mke wangu hata hanijali

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nacheka kama mazuri wewe liwahi hilo lori la mnadani
 
Sema kazingua sana, msibani kwa babu wa mkewe anakaa mda wote huo. Kama nimesoma vzuri hapo anahesabu siku tatu mbele ndo mazishi, si atakaa mpaka arobaini [emoji1]
Afu hajaoga,ukurutu unamuhusu safari hii
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ila ushauri wa humu unatia kichwa moto

Huwa unamtia vizuri?

Yupo na Ma-Ex wake wanaomkojoza

Unasepa binamu anaitumia mpaka arobaini iishe

Zamu ya mabinamu kuhudumiwa

[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mwamba kauliza una uhakika Ni mkeo huyo[emoji23][emoji23]
 
Halafu na bado wachaga mnagongewa kinona.
 
Nikisikia habari sijui kisokolokwinyo kinguchiro Kinaitwa wife nawashangaa mnaoaje hawa nguchiro visodokwembe hawa unabutua basi, unaanzaje kuoa Ubaharia mtausikia tu.
Visodokwembe,vinguchiro,visokolokwinyo!Khaaaaa hatari 🤣
 
Kaka acha wivu.wifi ana uchungu na mumewe mkubwa acha amlilie kwanza
 
Jmn ila wanawake wamekutwa na nn jmn,mbona siwaelewi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ila ushauri wa humu unatia kichwa moto

Huwa unamtia vizuri?

Yupo na Ma-Ex wake wanaomkojoza

Unasepa binamu anaitumia mpaka arobaini iishe

Zamu ya mabinamu kuhudumiwa

[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan Kuna mtu atazuiwa kwenda misibani
 
Nimepanga kesho wakishazika tu,nadandia roli la mnadani nasepa zangu hata wife simuagi,atanikuta Town.


Tatizo limeanzia hapo kwenye ukitaka kuondoka "utadandia roli la mnadani".


Nunua hata ki-passo cha kuzugia mkuu[emoji3][emoji3]
Hata Cha mkopo tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…