Tukubali Yanga imewekeza zaidi kwenye mdomo(porojo mitandaoni) kuliko kwenye mbinu uwanjani

Tukubali Yanga imewekeza zaidi kwenye mdomo(porojo mitandaoni) kuliko kwenye mbinu uwanjani

Ladder 49

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2017
Posts
7,918
Reaction score
20,037
Wakuu habari zenu?

Baada ya tambo nyingi sana na kejeli mitandaoni na mitaani.

Hatimaye yanga imetolewa CAF CHAMPIONS LEAGUE. Msimu ya 2022/23 baada ya kupokea kipigo kikali kutoka kwa wasudani Al hilal cha bao moja kwa bila.

Yanga Walikuwa wanaongea sana mpira wa mdomoni bila kuongelea mpira wa uwanjani,na ubora wa timu yao

Watu walikuwa mpaka wanapanga timu Mwalimu msogeze fei Toto pale mbele ,wengine kibwana kule asinze walikuwa wanasema kujipa moyo na wakati kihualisia ukiangalia wachezaji wengi wanyanga wanauwezo mdogo kucheza hayo mashindano lakini huku kwenye mitandao wanavyoisifia yanga mpaka unashangaa.maana kwenye mitandao ukipita barabarani kote wanakwambia wanapindua meza.

Kwenye mpira sio maneno ni mipango ya kucheza uwanjani ndio unashinda.na wala sio majina ya wachezaji pekee ndio yatakubeba kama walivyokuwa wanajifariji kwa wachezaji wao kumbe hakuna kitu,
Sasa sijui mtamrahumu nani safari hii?

Me kuna muda mpaka nikaogopa nikapata wasiwasi nikasema yanga kweli anaweza kushinda.kumbe yale yalikuwa maneno matupu bila vitendo wameenda kule sudani wanacheza taratibu hawana haraka halafu hawana mipango yoyote kama wenzao yaani ukipata mpira mpe “MWAFAG “ awakimbize kule pembeni mara mbili mara tatu tutapata ushindi,wao yanga wanapeleka mpira mbele mayele atafunga tu huku muda uzadi kwenda.

Wengine walikuwa wanasema kule yanga ataenda kushambua tu na wale jamaa watakuwa wanafunguka kwa hiyo atawafunga tu.na mashabiki wa yanga kwenye mitandao walikuwa wanajisifia mpaka unashangaa kama pale kwa mkapa umeshindwa kumfunga kule sudan ndio utamfunga? Na ukizingatia mechi ya kwa mkapa mlizidiwa sana maana jamaa walikosa wagoli ya wazi.

Yanga wawekeze kwenye mbinu za uchezaji sio kwenye mdomo na kununua mechi timu unaona kabisa haina huwezo lakini wanakuambia hii timu itaenda kupindua meza sasa meza imekuwa nzito(meza imekuwa ya mti wa Mninga)

Yanga mkajifunze mpira na muache kuomba mechi za kirafiki na sijui mbuni fc, friends rangers na timu zingine hizo za kigamboni hapo.

Simba kama atapangiwa kundi moja na huyo Al Hilal hapo jumanne akija hapo sudani atakuwa tayari ameshacheza kwenye huo uwanja amezoea na hana wasiwasi wowote maana aliomba mechi ya kirafiki na hao jamaa mwezi uliopita.

Yanga maneno matupu ya kwenye jamii forum na kwenye mitandao mingine na mitaani hayaja wasaidia.

Maana porojo za mitandaoni peke hazikufanyi ushinde mechi.

Full time: Al halal 1 Yanga 0

Niite MWAFAG.
 
Ndio ulichobakiza hicho, kimataifa wewe ukuwezi.

Endeleeni kununua mechi hapa bongo na kuonga marefa ndio uwekezaji huo mliobakiza.

Mna timu mbovu sana.
Nawewe nunua Ili uchukue vikombe, kama vinauzwa. Simba anatandikwa na Yanga tangu miaka ya 60' mpaka Leo bado una amini Yanga ana nunua!!![emoji1][emoji1]
 
Ndio ulichobakiza hicho, kimataifa wewe ukuwezi.

Endeleeni kununua mechi hapa bongo na kuonga marefa ndio uwekezaji huo mliobakiza.

Mna timu mbovu sana.
kimataifa umechukua kombe lipi,vitim ambavyo mikia mmecheza navyo ni vya kawaida sana,kama huamini,droo ipangwe mzee baba arafu uone mlango wa kutokea.utabisha ila huo ndio ukweli.
 
TukubaRi??? Sijakuelewa mkuu

Mkuu wale Al hilal ni wa kawaida sana ingekuwa simba ,wale walikuwa wanatoka .mimi sijaona mpira wowote wakutisha pale.

Lakini yanga maneno yamekuwa mengi sana kujisifia lakini uwanjani me sijaona utofauti wa uchezaji kwenye ile mechi ya kwanza na ya pili lakini kwenye mitandao huku na mitaani utofauti huko mkubwa sana maana kila mtu anakwambia lazima washinde

Na watu walikuwa wanasifia sana wataenda kupata matokeo Sudan.

Lakini uwanjani hakuna mabadiliko yoyote zaidi ya back pass kuwa nyingi fei toto anarudisha mipira mingi sana nyuma bila mipango yoyote.

Ndio maana nikasema tukubari maana jamaa walifakiwa kutuaminisha wao watashinda kwa maneno ma tupu, lakini uwanjani hawaja badilika chochote.

Yaani porojo zimekuwa nyinyi sana za kushinda kuliko uwanjani kiuchezaji.
 
Hifadhini hii kauli, utopolo ataenda kucheza makundi kwenye confederation na atafanya vizuri.

Mkuu utopolo ni bingwa wa nchi sasa bingwa wa nchi anaenda kucheza na walioshindwa kule kwa mabigwa na timu ambayo haikuwa bingwa wa nchi ndio anaenda kushiriki ligi ya mabingwa Africa yaani miamba 16 bora Africa.badala ya yeye ndio aende huko maana yeye ndio kwa mabingwa wenzake sio simba huyo.

Huko karibia wote ni mabingwa wa nchi.ni aibu aisee kwa yeye kukosekana .

Kama malengo yenu ni kucheza huko ni sawa tu.
 
Hifadhini hii kauli, utopolo ataenda kucheza makundi kwenye confederation na atafanya vizuri.

Mkuu mnatuaminisha tuamini lakini uwanjani hamna mabadiliko yoyote,ndio maana nikasema tukubari maneno yamekuwa mengi lakini uwanjani hakuna mabadiliko yoyote kiuchezaji.
 
Nawewe nunua Ili uchukue vikombe, kama vinauzwa. Simba anatandikwa na Yanga tangu miaka ya 60' mpaka Leo bado una amini Yanga ana nunua!!![emoji1][emoji1]
Utopolo mmewekeza kwenye fitna,kununua mechi ndiyo maana kimataifa huwa hamuendi popote.Mna point 0.5 CAF na hii ni ishara tosha kuwa ubingwa wenu ni wa figisu na kubebwa bebwa na waamuzi
 
Wakuu habari zenu?

Baada ya tambo nyingi sana na kejeli mitandaoni na mitaani.

Hatimaye yanga imetolewa CAF CHAMPIONS LEAGUE. Msimu ya 2022/23 baada ya kupokea kipigo kikali kutoka kwa wasudani Al hilal cha bao moja kwa bila.

Yanga Walikuwa wanaongea sana mpira wa mdomoni bila kuongelea mpira wa uwanjani,na ubora wa timu yao

Watu walikuwa mpaka wanapanga timu Mwalimu msogeze fei Toto pale mbele ,wengine kibwana kule asinze walikuwa wanasema kujipa moyo na wakati kihualisia ukiangalia wachezaji wengi wanyanga wanauwezo mdogo kucheza hayo mashindano lakini huku kwenye mitandao wanavyoisifia yanga mpaka unashangaa.maana kwenye mitandao ukipita barabarani kote wanakwambia wanapindua meza.

Kwenye mpira sio maneno ni mipango ya kucheza uwanjani ndio unashinda.na wala sio majina ya wachezaji pekee ndio yatakubeba kama walivyokuwa wanajifariji kwa wachezaji wao kumbe hakuna kitu,
Sasa sijui mtamrahumu nani safari hii?

Me kuna muda mpaka nikaogopa nikapata wasiwasi nikasema yanga kweli anaweza kushinda.kumbe yale yalikuwa maneno matupu bila vitendo wameenda kule sudani wanacheza taratibu hawana haraka halafu hawana mipango yoyote kama wenzao yaani ukipata mpira mpe “MWAFAG “ awakimbize kule pembeni mara mbili mara tatu tutapata ushindi,wao yanga wanapeleka mpira mbele mayele atafunga tu huku muda uzadi kwenda.

Wengine walikuwa wanasema kule yanga ataenda kushambua tu na wale jamaa watakuwa wanafunguka kwa hiyo atawafunga tu.na mashabiki wa yanga kwenye mitandao walikuwa wanajisifia mpaka unashangaa kama pale kwa mkapa umeshindwa kumfunga kule sudan ndio utamfunga? Na ukizingatia mechi ya kwa mkapa mlizidiwa sana maana jamaa walikosa wagoli ya wazi.

Yanga wawekeze kwenye mbinu za uchezaji sio kwenye mdomo na kununua mechi timu unaona kabisa haina huwezo lakini wanakuambia hii timu itaenda kupindua meza sasa meza imekuwa nzito(meza imekuwa ya mti wa Mninga)

Yanga mkajifunze mpira na muache kuomba mechi za kirafiki na sijui mbuni fc, friends rangers na timu zingine hizo za kigamboni hapo.

Simba kama atapangiwa kundi moja na huyo al hilal hapo jumanne akija hapo sudani atakuwa tayari ameshacheza kwenye huo uwanja amezoea na hana wasiwasi wowote maana aliomba mechi ya kirafiki na hao jamaa mwezi uliopita.

Yanga maneno matupu ya kwenye jamii forum na kwenye mitandao mingine na mitaani hayaja wasaidia.

Maana porojo za mitandaoni peke hazikufanyi ushinde mechi.

Full time: Al halal 1 Yanga 0

Niite MWAFAG.
Hii mijitu ya hovyo sana
 
Back
Top Bottom