Tukubali Yanga imewekeza zaidi kwenye mdomo(porojo mitandaoni) kuliko kwenye mbinu uwanjani

Tukubali Yanga imewekeza zaidi kwenye mdomo(porojo mitandaoni) kuliko kwenye mbinu uwanjani

Kama Yanga imewekeza kwenye porojo isingekua inakufunga kilasiku, na nyie tieni porojo tarehe 23 mu mfunge Yanga[emoji1][emoji1]
Kwa mawazo yako Yanga anamfunga Simba kwa njia sahihi za kimchezo? Mbinu anazitumia hapa kwa vile huko nje haziwezekani ndio maana ana ambuliq aibu tupu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu habari zenu?

Baada ya tambo nyingi sana na kejeli mitandaoni na mitaani.

Hatimaye yanga imetolewa CAF CHAMPIONS LEAGUE. Msimu ya 2022/23 baada ya kupokea kipigo kikali kutoka kwa wasudani Al hilal cha bao moja kwa bila.

Yanga Walikuwa wanaongea sana mpira wa mdomoni bila kuongelea mpira wa uwanjani,na ubora wa timu yao

Watu walikuwa mpaka wanapanga timu Mwalimu msogeze fei Toto pale mbele ,wengine kibwana kule asinze walikuwa wanasema kujipa moyo na wakati kihualisia ukiangalia wachezaji wengi wanyanga wanauwezo mdogo kucheza hayo mashindano lakini huku kwenye mitandao wanavyoisifia yanga mpaka unashangaa.maana kwenye mitandao ukipita barabarani kote wanakwambia wanapindua meza.

Kwenye mpira sio maneno ni mipango ya kucheza uwanjani ndio unashinda.na wala sio majina ya wachezaji pekee ndio yatakubeba kama walivyokuwa wanajifariji kwa wachezaji wao kumbe hakuna kitu,
Sasa sijui mtamrahumu nani safari hii?

Me kuna muda mpaka nikaogopa nikapata wasiwasi nikasema yanga kweli anaweza kushinda.kumbe yale yalikuwa maneno matupu bila vitendo wameenda kule sudani wanacheza taratibu hawana haraka halafu hawana mipango yoyote kama wenzao yaani ukipata mpira mpe “MWAFAG “ awakimbize kule pembeni mara mbili mara tatu tutapata ushindi,wao yanga wanapeleka mpira mbele mayele atafunga tu huku muda uzadi kwenda.

Wengine walikuwa wanasema kule yanga ataenda kushambua tu na wale jamaa watakuwa wanafunguka kwa hiyo atawafunga tu.na mashabiki wa yanga kwenye mitandao walikuwa wanajisifia mpaka unashangaa kama pale kwa mkapa umeshindwa kumfunga kule sudan ndio utamfunga? Na ukizingatia mechi ya kwa mkapa mlizidiwa sana maana jamaa walikosa wagoli ya wazi.

Yanga wawekeze kwenye mbinu za uchezaji sio kwenye mdomo na kununua mechi timu unaona kabisa haina huwezo lakini wanakuambia hii timu itaenda kupindua meza sasa meza imekuwa nzito(meza imekuwa ya mti wa Mninga)

Yanga mkajifunze mpira na muache kuomba mechi za kirafiki na sijui mbuni fc, friends rangers na timu zingine hizo za kigamboni hapo.

Simba kama atapangiwa kundi moja na huyo al hilal hapo jumanne akija hapo sudani atakuwa tayari ameshacheza kwenye huo uwanja amezoea na hana wasiwasi wowote maana aliomba mechi ya kirafiki na hao jamaa mwezi uliopita.

Yanga maneno matupu ya kwenye jamii forum na kwenye mitandao mingine na mitaani hayaja wasaidia.

Maana porojo za mitandaoni peke hazikufanyi ushinde mechi.

Full time: Al halal 1 Yanga 0

Niite MWAFAG.
JamiiForums614628660.jpg
 
Na muombe sana tusiwafunge tarehe 23 maana mtapoteana na huyo profesoli wa kizaramo mtamtimua hawezi akawa profesori kwa ihefu ila akienda nje ya nchi anashindwa ...watani mmekwama sana ... Kwa nabi ..nabi na sijui aziza kii hatoki mtu .....wapiiiii sasa tambo zenu mavyura nyie.
 
Simba wanatamba kwa yanga kuwa , yanga kimataifa hamna kitu lakin simba kimataifa wamewekeza, yanga huwa wanajibu kwamba na wao huwa wanawabomoa mara nyingi wakikutana. Hapo wanasimba watajibu "mlichobakiza ni kuwekeza kuifunga simba tu lakini kimataifa hamna kitu" hapa huwa najiuliza INA maana simba wamekata tamaa kabisa za kuifunga yanga mpaka wanaishia kujibu ivyo.
 
Na muombe sana tusiwafunge tarehe 23 maana mtapoteana na huyo profesoli wa kizaramo mtamtimua hawezi akawa profesori kwa ihefu ila akienda nje ya nchi anashindwa ...watani mmekwama sana ... Kwa nabi ..nabi na sijui aziza kii hatoki mtu .....wapiiiii sasa tambo zenu mavyura nyie.
Unawaonea Ihefu, maana hao wamefungwa mara chache kuliko makolo
 
Simba wanatamba kwa yanga kuwa , yanga kimataifa hamna kitu lakin simba kimataifa wamewekeza, yanga huwa wanajibu kwamba na wao huwa wanawabomoa mara nyingi wakikutana. Hapo wanasimba watajibu "mlichobakiza ni kuwekeza kuifunga simba tu lakini kimataifa hamna kitu" hapa huwa najiuliza INA maana simba wamekata tamaa kabisa za kuifunga yanga mpaka wanaishia kujibu ivyo.
Simba haikuanzishwa ili kuifunga yanga
 
Wakuu habari zenu?

Baada ya tambo nyingi sana na kejeli mitandaoni na mitaani.

Hatimaye yanga imetolewa CAF CHAMPIONS LEAGUE. Msimu ya 2022/23 baada ya kupokea kipigo kikali kutoka kwa wasudani Al hilal cha bao moja kwa bila.

Yanga Walikuwa wanaongea sana mpira wa mdomoni bila kuongelea mpira wa uwanjani,na ubora wa timu yao

Watu walikuwa mpaka wanapanga timu Mwalimu msogeze fei Toto pale mbele ,wengine kibwana kule asinze walikuwa wanasema kujipa moyo na wakati kihualisia ukiangalia wachezaji wengi wanyanga wanauwezo mdogo kucheza hayo mashindano lakini huku kwenye mitandao wanavyoisifia yanga mpaka unashangaa.maana kwenye mitandao ukipita barabarani kote wanakwambia wanapindua meza.

Kwenye mpira sio maneno ni mipango ya kucheza uwanjani ndio unashinda.na wala sio majina ya wachezaji pekee ndio yatakubeba kama walivyokuwa wanajifariji kwa wachezaji wao kumbe hakuna kitu,
Sasa sijui mtamrahumu nani safari hii?

Me kuna muda mpaka nikaogopa nikapata wasiwasi nikasema yanga kweli anaweza kushinda.kumbe yale yalikuwa maneno matupu bila vitendo wameenda kule sudani wanacheza taratibu hawana haraka halafu hawana mipango yoyote kama wenzao yaani ukipata mpira mpe “MWAFAG “ awakimbize kule pembeni mara mbili mara tatu tutapata ushindi,wao yanga wanapeleka mpira mbele mayele atafunga tu huku muda uzadi kwenda.

Wengine walikuwa wanasema kule yanga ataenda kushambua tu na wale jamaa watakuwa wanafunguka kwa hiyo atawafunga tu.na mashabiki wa yanga kwenye mitandao walikuwa wanajisifia mpaka unashangaa kama pale kwa mkapa umeshindwa kumfunga kule sudan ndio utamfunga? Na ukizingatia mechi ya kwa mkapa mlizidiwa sana maana jamaa walikosa wagoli ya wazi.

Yanga wawekeze kwenye mbinu za uchezaji sio kwenye mdomo na kununua mechi timu unaona kabisa haina huwezo lakini wanakuambia hii timu itaenda kupindua meza sasa meza imekuwa nzito(meza imekuwa ya mti wa Mninga)

Yanga mkajifunze mpira na muache kuomba mechi za kirafiki na sijui mbuni fc, friends rangers na timu zingine hizo za kigamboni hapo.

Simba kama atapangiwa kundi moja na huyo al hilal hapo jumanne akija hapo sudani atakuwa tayari ameshacheza kwenye huo uwanja amezoea na hana wasiwasi wowote maana aliomba mechi ya kirafiki na hao jamaa mwezi uliopita.

Yanga maneno matupu ya kwenye jamii forum na kwenye mitandao mingine na mitaani hayaja wasaidia.

Maana porojo za mitandaoni peke hazikufanyi ushinde mechi.

Full time: Al halal 1 Yanga 0

Niite MWAFAG.
Nimezingatia hapo kwenye full time.😂😂😂😂😂
 
Hata tufike fainali ya cuf tukafungwa siumii kama tukifungwa na simba,
Raha yangu nione tunamchapa simba mengine ziada.
Nimfunge al ahaly afu nije nimzomee simba? Haina ladha hiyo.
 
Berkane na mazembe na pyramids wanakuwa wapi muda huo...afu kuna plateau pia[emoji23][emoji23]

Ndio kawaida yao hiyo wanakuwa na maneno mengi kama wanacheza uwanjani peke yao vile.

Halafu inaonekana wengi hawajui vizuri hayo mashindano

Unakuta hapo hata hao berkane atakuambia tunawafunga tu.na wakati hao berkane ndio mabingwa wa supercup wanajua hatari sana hao watu.
 
Back
Top Bottom