Tukubali Yanga imewekeza zaidi kwenye mdomo(porojo mitandaoni) kuliko kwenye mbinu uwanjani

Tukubali Yanga imewekeza zaidi kwenye mdomo(porojo mitandaoni) kuliko kwenye mbinu uwanjani

Simba wanatamba kwa yanga kuwa , yanga kimataifa hamna kitu lakin simba kimataifa wamewekeza, yanga huwa wanajibu kwamba na wao huwa wanawabomoa mara nyingi wakikutana. Hapo wanasimba watajibu "mlichobakiza ni kuwekeza kuifunga simba tu lakini kimataifa hamna kitu" hapa huwa najiuliza INA maana simba wamekata tamaa kabisa za kuifunga yanga mpaka wanaishia kujibu ivyo.
Malengo yako yanabadilisha vipaumbele vyako na kuna uwezekano vikawa tofauti na wengine kwa sababu unapotaka kufika ni tofauti na wao.
 
Ni kama vile Mayele hakuwepo, Saluti kwako Moses usiyependa kucheza na "Majukwaa"
Achana na yule mtingisha Manyonyo.....
Kutingisha Manyonyo ni dalili ya kutojitambua
 
Na hizo level za majibishano na waliofeli soka la kimataifa huwa hatuna. Haijafika mara 10 utopolo kuifunga Simba so it is not a big deal
Hata makolo wanapokutana na yanga huwa wanafeli , ni kukanyagwa tu. Huwezi kusema mi nawekeza nje tu ndani sipawezi nao ni ujinga unashindwaje kuwekeza kote
 
Nawewe nunua Ili uchukue vikombe, kama vinauzwa. Simba anatandikwa na Yanga tangu miaka ya 60' mpaka Leo bado una amini Yanga ana nunua!!![emoji1][emoji1]
Kwahiyo Simba hachukui vikombe ,Ila yanga ndie pekee anachukua vikombe.

Ujue nyie watu wa yanga aliyewaroga sijui amezikwa wapi ,juz tu hapa Simba kachukua mfululizo Mara 4 nyie mlikua wapi?
Mchezo wa mpira kufungana ni kawaida ,yaan unavyoongea kana kwamba Simba hajawah mfunga yanga .
Juz nilikua bar nachek game yenu na nilikua upande wenu Ila Kuna mwamba aliniambia Hawa watu sio wa kuwapa campan coz Wana kimdomo sana ,Sasa naendelea kuamin maneno yake.
Kipind yanga anapigwa pale kigoma ilikua ni miaka ya 60?
Mshaoga magoli ya kutosha toka kwa Simba lakin hayo huwez sema.
Hata ulaya timu kubwa inafungwa na kibonde huo ndio mpira,yaan unataka kuaminisha watu kuwa yanga anamfunga Simba kila wakikutana as if Simba hamfungi yanga.
Punguzen hasira ndio maana ni Zaid ya miaka 24 hamjagusa makundi sabab ya kimdomo chenu.
Mafanikio ya yanga ni kumfunga Simba tu ,mkienda kimataifa mnagongeka tu.

Sasa mnaenda shirikisho na huko hamtoboi kenge nyie
 
kimataifa umechukua kombe lipi,vitim ambavyo mikia mmecheza navyo ni vya kawaida sana,kama huamini,droo ipangwe mzee baba arafu uone mlango wa kutokea.utabisha ila huo ndio ukweli.
Kitimu kilichokutoa Jana Simba alikipiga 4-1 pale kwa mkapa ,sijui una jipya gani wewe kilaza
 
Hata makolo wanapokutana na yanga huwa wanafeli , ni kukanyagwa tu. Huwezi kusema mi nawekeza nje tu ndani sipawezi nao ni ujinga unashindwaje kuwekeza kote
Mpira ni biashara watu wanaweka malengo makubwa penye mpunga wa maana .
Yaan unaleta ujinga kwenye biashara .
Wewe mkamie Simba upate Cha kuwazugia mashabik vilaza wa utopolo Simba anakomaa kwenye pesa ndefu .
Akil kichwan .
 
Asikwambie mtu , mrembo Yanga ni mtamu
IMG-20221009-WA0057.jpg


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kama wamewekeza kwenye midomo mbona huwa hamtufungi?

Wanasema watawafunga tarehe 23 wao hawaongei sana maana hawajawekeza kwenye midomo mitupu,

Baada ya kufungwa na huyo nabi ndio baba jane bye bye.
 
Back
Top Bottom