Tukubali Yanga imewekeza zaidi kwenye mdomo(porojo mitandaoni) kuliko kwenye mbinu uwanjani

Tukubali Yanga imewekeza zaidi kwenye mdomo(porojo mitandaoni) kuliko kwenye mbinu uwanjani

kimataifa umechukua kombe lipi,vitim ambavyo mikia mmecheza navyo ni vya kawaida sana,kama huamini,droo ipangwe mzee baba arafu uone mlango wa kutokea.utabisha ila huo ndio ukweli.
Arafu mbona Simba turishapangwa na Al Ahly na tukaongoza kundi retu Muraa.Hayo mengine ni porojo zenu Uto kujipa matumaini,ishukuruni sana CAF iliwasaidia kuwapangieni Zalan walau mkapita kuja round ya kwanza.Vinginevyo mlikuwa mnaumaliza mwendo kwenye preliminary stage.Simba apewe heshima yake linapokuja swala la mechi za kimataifa.
 
Kama Yanga imewekeza kwenye porojo isingekua inakufunga kilasiku, na nyie tieni porojo tarehe 23 mu mfunge Yanga[emoji1][emoji1]
Kwani kila siku mnacheza na Simba? Haya Jana mlitufunga ngapi?
 
Ndio ulichobakiza hicho, kimataifa wewe ukuwezi.

Endeleeni kununua mechi hapa bongo na kuonga marefa ndio uwekezaji huo mliobakiza.

Mna timu mbovu sana.
Timu mbovu
1.imesomba makombe yote Tena ulikuwa unayatetea
-ligi kuu
-fa
-ngao jamii
2. Haijawahi kufungwa msimu wa pili huu na takataka yoyote ile
3. Haijawahi kufungwa na makolo hata kwa offside mwaka wa 5 huu
4.ipo kimataifa
 
Kama Yanga imewekeza kwenye porojo isingekua inakufunga kilasiku, na nyie tieni porojo tarehe 23 mu mfunge Yanga[emoji1][emoji1]
Mbona hata prison wanamfunga Simba Kila siku
 
Timu mbovu
1.imesomba makombe yote Tena ulikuwa unayatetea
-ligi kuu
-fa
-ngao jamii
2. Haijawahi kufungwa msimu wa pili huu na takataka yoyote ile
3. Haijawahi kufungwa na makolo hata kwa offside mwaka wa 5 huu
4.ipo kimataifa
Ha ha eti mwaka wa Tano huu Utopolo waombewe
 
Hifadhini hii kauli, utopolo ataenda kucheza makundi kwenye confederation na atafanya vizuri.
This is pure joke

Huko confederation unaielewa sheria yao?

Timu kubwa inacheza na timu ndogo na timu ndogo inaanzia nyumbani.

Chukulia Pyramid apangwe na Yanga, Yanga hata ashinde home bao 2 bila ila akienda Egypt anapasuka si chini ya goli 4
 
Kama Yanga imewekeza kwenye porojo isingekua inakufunga kilasiku, na nyie tieni porojo tarehe 23 mu mfunge Yanga[emoji1][emoji1]
Huwezi kufanya uwekezaji kwa ajili ya kumfunga Yanga. Simba kufungwa na Yanga hakuondoi ubora wa Simba ndani na nje ya mipaka ya Tanzania, na Yanga kumfunga Simba hakufanyi Yanga kuwa bora ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Yanga mlifail sana kwa kuchukulia game ya Simba ndio kipimo chenu cha ubora kimataifa. Endeleeni kufanya uwekezaji mzuri mtafikia alipofika Simba kimataifa ila mkiendelea kuleta porojo mtaishia nbc premier league tu.
 
Timu mbovu
1.imesomba makombe yote Tena ulikuwa unayatetea
-ligi kuu
-fa
-ngao jamii
2. Haijawahi kufungwa msimu wa pili huu na takataka yoyote ile
3. Haijawahi kufungwa na makolo hata kwa offside mwaka wa 5 huu
4.ipo kimataifa

Eti ipo kimataifa kama vile tayari mmeshapita mmeingia tayari kwenye makundi.hivi mpo kimataifa kwa kushinda mechi gani? Na hao zalan?

Simba ndio tayari yupo kimataifa.

Simba kuingia kwenye makundi tu kaingiza 1.4bilions na wewe makombe yote hayo uliotaja jumla hayazidi hiyo hela. Inaonesha huko ni kwa mabingwa.

Umechukua ubingwa wote huo lakini hakuna mpira wowote unaoonesha ndio maana tunawaambia mnanunua mechi.

Kama kweli ulichukua makombe hayo kihalali huwezi kushindwa kuingia makundi kwenye champions league.
 
This is pure joke

Huko confederation unaielewa sheria yao?

Timu kubwa inacheza na timu ndogo na timu ndogo inaanzia nyumbani.

Chukulia Pyramid apangwe na Yanga, Yanga hata ashinde home bao 2 bila ila akienda Egypt anapasuka si chini ya goli 4

Mkuu hao kukuelewa kazi sana yaani wanafikiria huko ni kucheza na ihefu.

Hao wakikutana na berkane wataomba poo.

Ila watakuambia berkane ndio nani tutapiga wote yaani niwakuwaacha tu wajionee wenyewe,wanafirikia maneno yatawasaidia,halafu inaonekana vitu vingi hawajui kuhusu haya mashindano
 
Wacha
This is pure joke

Huko confederation unaielewa sheria yao?

Timu kubwa inacheza na timu ndogo na timu ndogo inaanzia nyumbani.

Chukulia Pyramid apangwe na Yanga, Yanga hata ashinde home bao 2 bila ila akienda Egypt anapasuka si chini ya goli 4
Muda utatuambia
 
Mkuu hao kukuelewa kazi sana yaani wanafikiria huko ni kucheza na ihefu.

Hao wakikutana na berkane wataomba poo.

Ila watakuambia berkane ndio nani tutapiga wote yaani niwakuwaacha tu wajionee wenyewe,wanafirikia maneno yatawasaidia,halafu inaonekana vitu vingi hawajui kuhusu haya mashindano
Sikiliza Sports HQ muda huu yupo Mwinyi Zahera live anakiri kuwa Yanga imecheza hovyo zaidi ilikosa intensity na optional tactics

Mwinyi Zahera anasema Azam walicheza vizuri mara 10 kuliko Yanga

Haya maneno yangesemwa na Jemedari watu wangesema huyo critic tunamjua anachuki na Yanga, haya na Mwinyi Zahera mtasemaje?
 
Nawewe nunua Ili uchukue vikombe, kama vinauzwa. Simba anatandikwa na Yanga tangu miaka ya 60' mpaka Leo bado una amini Yanga ana nunua!!![emoji1][emoji1]

Kama hanunui mechi mbona mmeshindwa kuingia kwenye ligi ya mabingwa badala yake simba imeenda kuwawakilisha,

Simba hainunui mechi ndio maana inafungwa,

Sasa dunia ya Leo ukinunua mechi unajidanganya mwenyewe tu, kama yanga
 
Sikiliza Sports HQ muda huu yupo Mwinyi Zahera live anakiri kuwa Yanga imecheza hovyo zaidi ilikosa intensity na optional tactics

Mwinyi Zahera anasema Azam walicheza vizuri mara 10 kuliko Yanga

Haya maneno yangesemwa na Jemedari watu wangesema huyo critic tunamjua anachuki na Yanga, haya na Mwinyi Zahera mtasemaje?

Asante mkuu,
 
Timu mbovu
1.imesomba makombe yote Tena ulikuwa unayatetea
-ligi kuu
-fa
-ngao jamii
2. Haijawahi kufungwa msimu wa pili huu na takataka yoyote ile
3. Haijawahi kufungwa na makolo hata kwa offside mwaka wa 5 huu
4.ipo kimataifa
Ushapagawa wewe kwamba Simba haijawahi kuifunga Yanga mwaka wa tano mfululizo.Nusu fainali ya FA ulipokula 4-1,Fainali ya FA Kigoma ulivyobagazwa 1-0.Huko kimataifa mmeshuka kombe la losers ambako nako mnatolewa kwenye playof.
 
Mpira ni biashara watu wanaweka malengo makubwa penye mpunga wa maana .
Yaan unaleta ujinga kwenye biashara .
Wewe mkamie Simba upate Cha kuwazugia mashabik vilaza wa utopolo Simba anakomaa kwenye pesa ndefu .
Akil kichwan .
Unataka kusema ni kweli kabisa simba hamna mpango wa kuifunga yanga ila target yenu ni kimataifa huo ni uongo. Tuwe wakweli mimi pia nakubali simba kimataifa inafanya vzuri kuliko yanga , naww km shabiki uliyekomaa ungekubali tu simba haiwezi yanga kiuwezo pale wanapokutana , kuendelea kubisha hilo ni kuonesha bado ni shabiki maandazi
 
Unataka kusema ni kweli kabisa simba hamna mpango wa kuifunga yanga ila target yenu ni kimataifa huo ni uongo. Tuwe wakweli mimi pia nakubali simba kimataifa inafanya vzuri kuliko yanga , naww km shabiki uliyekomaa ungekubali tu simba haiwezi yanga kiuwezo pale wanapokutana , kuendelea kubisha hilo ni kuonesha bado ni shabiki maandazi

Mkuu subiria hiyo tarehe 23 yanga akifungwa utabadilisha huo usemi wako?
 
Huwezi kufanya uwekezaji kwa ajili ya kumfunga Yanga. Simba kufungwa na Yanga hakuondoi ubora wa Simba ndani na nje ya mipaka ya Tanzania, na Yanga kumfunga Simba hakufanyi Yanga kuwa bora ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Yanga mlifail sana kwa kuchukulia game ya Simba ndio kipimo chenu cha ubora kimataifa. Endeleeni kufanya uwekezaji mzuri mtafikia alipofika Simba kimataifa ila mkiendelea kuleta porojo mtaishia nbc premier league tu.
Kumfunga mrembo wetu simba inanoga ndo ubavu wetu wa kushoto
Manyelo domo lefu lazima tuwatie mimba trh 23
 
Kama hanunui mechi mbona mmeshindwa kuingia kwenye ligi ya mabingwa badala yake simba imeenda kuwawakilisha,

Simba hainunui mechi ndio maana inafungwa,

Sasa dunia ya Leo ukinunua mechi unajidanganya mwenyewe tu, kama yanga
Kwaiyo mazembe alivotoka huwa ananunua mechi hilo Kongo
Au nyie Simba mlivochukua ubingwa miaka 4 huwa mlinunua marefa
Hivi nyie mashabiki mandazi mna akili gani kubali Yanga tulikuwa bora msimu uliopita kuwazidi ndo maana tukawa mabingwa
 
Back
Top Bottom