residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Ila chuo kulikuwa na mambo mengi ya kujifunza nje ya masomo. Mfano kulikuwa na kaka mmoja anauza 'chupi' , akipita nje ya vyumba anaita pichu pichu. Kuna siku nikamuuliza hii kazi inakunufaisha? Akasema anasomesha wadogo zake kadhaa kwa biashara ya chupi na mambo madogo madogo hayampigi chenga! Alikuwa anavaa smart na begi lake la chupi km kabeba laptop kumbe anapiga business na inamuingizia. Heko kwake, anaambia wadada "nunueni chupi jamani , sio unavaa chupi imeisha, imechokaa, ukisimama mbele ya feni mjupi unapepea ", hahahaaaaa
Me ilikuwa daily ...nipo hapa ilikuwa bumu likitoka lazima nimpeleke manzi wangu wa kichagga kula Hill Park, bumu likikata naenda kwa Bwashee pale Coet cafteria elfu 25 nakula bure semester nzima [emoji23][emoji23][emoji23]
Tumekula sana hizo nyapu za udbsBasi ulikuwa unatafuna sana pisi kali za UDBS ,mm nasikitika mpk namaliza sikuwahi tafuna pisi ya UDBS 😂😂😂
Bila kumsahau mama NdumbiWale wa kwa makifusi.....
Wali wa mpemba bibo unawekwa hamira
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Hahaha..ayaaaa....kuna kipind nilikua na madem wa3 wote udbs...mmoja alikua anakaa kule hall7[emoji3]
Ila yale maisha dah...nikapataga lidem la conas nadhan alikua anasoma koz za botany kule au chemistry..ana mzigo balaa.
3rd yr na 4th yr nilikaa mtaan...huko ndo ilikua pika pakua...maana nilikaaga ubungo mawasiliano pale badae survey.
Ila uzur nilikua sifeli saana na nikamaliza vzur tu....september nilikua sikosi
Mi nilikuwa na bahati sana na walimu na sociology,Law hawa ndio walikuwa wanakuja sana kule college kwetuTumekula sana hizo nyapu za udbs
Labda alikuwa na carry over😂😂😂Udbs wanasoma miaka minne siku hizi?
😂😂😂Natamani siku zirudi nyuma, maisha ya mabibo hostel boom likitoka foleni ATM hapatoshi, bila kusahau wanaouza nguo nje ya geti, wali kwa mpemba hatar sana
Sio ndio mm boyfriend wako niliyekuwa nakupeleka Hill Park sikuwa kibopa nilikuwa naigiza tu nawe ukaamini😂😂Me ilikuwa daily ...
Boom, boy friend kibopa na mzazi alikuwa ananipatia za kutosha. Hata salary haijawah kufikia ile amount
Ha ha ha ha haNiliwahi kwenda cafeteria ya hapa karibu na Rev square kulikuwa na bonge la foleni na ni kipindi boom limekata kwa wengi mimi sikuwa napata boom kwa hiyo nilikuwa napata kwa mzazi nilivyoona ile foleni nikasema leo nitachelewa kupiga menu nimekaa kidogo ghafla mhudumu kaja akafuta RB ha ha ha ebana eeh mstari wote ulipotea nikapata menu kwa urahisi
Ilikuwa 350-400Wakati huo bila shaka wali mbogamboga ulikuwa 250/=
Mimi sitasahau jinsi tuliibiwa laptop nne room hall 4 nikiwa 1st year na ndio nilikua nmeachwa room peke yangu jioni, mida ya sa amoja nikasema ngoja niende chaap cafeteria kununua wali samaki, narudi room tu nikakuta mlango umevunjwa[emoji2364], hapo nilikua na laptop yangu mpyaaa hp haijamaliza ata mwezi mwizi kaiiiba na nyingine tatu za wengine[emoji2306]
Mkuu mimi nilikaa hall 4 na 6 kwa miaka mitatu, yaani hall 4 ni hadhi ya masaki na obey, hall 6 ni hadhi ya upanga au mbezi beach, hall 5, 2 ni hadhi ya tandika, yombo na buza na hall one at least kama manzese na migo migo hiviDaah Kweli Time flies I remember those good old times!! Viva hall 5, 6 & hall 2! Damn it was a time to remember 2009!!
Duuh ulimpeleka uhamishoni wiki,we kweli nyoko😂UDSM mambo ya exile, hall six nimetoka zangu kusoma kumbe mate wangu ana demu ndani, nilivyofika ninagonga mlango akafungua akatoka nje akaniomba nitafute pa kulala nikammaindi sana kwasababu hakunieleza kabla ili nijiandae kisaikolojia...nikawagongea washkaji wakaelewa.Mimi nilimpiga exile ya wiki moja kwani nilitoa demu mkoa kabisa. Uzuri alikuwa mtoto wa mama kwao Dar hivyo akawa anaenda na kurudi. 2003/4-2006