KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
KmmkUDSM sasa hivi hamna kitu aisee. Rev Square pamepandwa maua na yamestawi vizuri kabisa.
Hata watoto walioko UDSM sasa hivi hawajui kama pale panaitwa Rev Square.
Eh Mhenga shikamooUkishanitajia COeT, mabibo hostel au Mlimani city,najua siyo vya enzi hizo... Hadi namaliza vilikuwa bado havipo...
I had an A too na sielewi kwanini watu walikuwa wanafeli CL labda kwa kuwa napenda somo la EnglishHuyu pimbi nilimpigia A' ya maana. Nilipata story kwamba Test zake ukipata A' basi ndio alama za UE. Nikakomaa na test.
Ulikuwa unapenda kukaa nje kule upepo mwingi au inhouse😃Tuliokuwa tunakula Hill Park tujuane
Wazee wa shuttlepori😃Miaka yangu yote nikisoma Udsm nimeishi mabibo hostel sema sikupenda kabisa kukaa main campus
Utakuwa CoET weweTumekula sana hizo nyapu za udbs
Mabibo right?😃Kule uwanjani usiku saa moja vitochi kila sehemu watu wawili wawili haahhaha
Watu kwa umalaya chaa😃🙌🏽[emoji3516]
KUNA AUXILIARY WANOKO SANA!!!
YAANI IKIFIKA SAA SITA KASORO USIKU, WANATEGA PALE BLOCK "G",
ILI WAKAMATE WANA WANAODUFUANA DENDA PALE PARKING!!!
MABAIBO CAMP.
Ndipo walipojua hawajui.Prof. Kadeghe na somo lake la CL106 communication skills, mpaka wazungu lugha ya kwao lakini walikuwa wanashikwa
Bar ya DARUSO tena? Ama UDASA?Siyo FOE mzee mwenzangu?
Ehh wahengaYeah FOE, mie nilikuwa FCM.
Kipindi gani ulisoma kule?cha Profesa Mushi au Bernadetha Kilian?Tuliosoma MUCE tunaweza kushikiri huu uzi ?
Huyo fala kidogo anikerishe Cl 108,sema nikatumia mbinu flani za kijasusi sikukeri.jamaa alikua ana misifa eti anajisifu semester hii lazima nikerishe shato 5 za mabibo na 5 za campus.Prof. Kadeghe na somo lake la CL106 communication skills, mpaka wazungu lugha ya kwao lakini walikuwa wanashikwa
Wale nao walikuaga wasenge kuhangaika na mademu wa chuo akati mtaani kulikua na mali safi tu pale.Mikasa ya masela kuuawa Mabibo kwa kuitwa wezi na mademu zao baada ya kufumaniwa, mademu wa Block A na B.
Duh..umesoma zamani sana mkuu?sie kipindi chetu maji hayakua shida walaMambo ambayo sitayasahau pale Mabibo hostel2006-09:
1.Kipigo alichokipata Kibaka Mbele ya Block E.
2.Kifo cha mwanafunzi Bertha,aliyechomwa kisu na mpenzi wake.
3.Bata (ulevi) cafeteria,nasikia kwa sasa hakuna pombe.
4.Sisi wapenda soka tulikua hatukosi common room kuangalia mechi za ligi kuu Uingereza Jmos na Jpili.
5.Shida ya majikpindi fulani tukawa tunanunua nje ya geti kwa 1000 kwa dumu 1 la lita20.
Kiukweli maisha yalikua bomba sana!
Kuna lecturer aliwahi kutuambia enzi zao RB ilikua 300/= then wali nyama 500/=Wakati huo bila shaka wali mbogamboga ulikuwa 250/=
Bertha mwarabu...sura ya upole, mwanakwaya mzuri wa TYCS, nilikuwa course moja naye,...ila Musiba akaleta msiba.Mambo ambayo sitayasahau pale Mabibo hostel2006-09:
1.Kipigo alichokipata Kibaka Mbele ya Block E.
2.Kifo cha mwanafunzi Bertha,aliyechomwa kisu na mpenzi wake.
3.Bata (ulevi) cafeteria,nasikia kwa sasa hakuna pombe.
4.Sisi wapenda soka tulikua hatukosi common room kuangalia mechi za ligi kuu Uingereza Jmos na Jpili.
5.Shida ya majikpindi fulani tukawa tunanunua nje ya geti kwa 1000 kwa dumu 1 la lita20.
Kiukweli maisha yalikua bomba sana!