Break dance Pemba brothers wa Upanga waluvuma sana,Aise nakumbuka sana mengi, kwangu ugonjwa ulikuwa (mziki na mpira) breakdance wakati huo ilichukuwa hatamu sana, kuvaa kama boogaloo na mapanki na masuruali yana mazip mamifuko na raba hasa (converse), vi sing lend na nini, ila tatizo langu kubwa hapa ilikuwa kupenda football sana, nasikitika mpira ulinifanya nisiwe na uhusiano na wasichana kabisa! Uwanja wa taifa kwangu kwenda tazama mechi ilikuwa kama kawa..Hahahahaha..hatari kabisa
Breakdance, the spirit of the 80s 3via YouTube
Kulikuwa na chacha chacha za plastic rangi ya brown kutoka Kenya ndiyo.
Yaani hizi ndiyo enzi Freeman anaweka curlkit tunakwenda disco Mbowe Hotels, disco jingine kulikuwa Mawingu lakina KusagaAise nakumbuka sana mengi, kwangu ugonjwa ulikuwa (mziki na mpira) breakdance wakati huo ilichukuwa hatamu sana, kuvaa kama boogaloo na mapanki na masuruali yana mazip mamifuko na raba hasa (converse), vi sing lend na nini, ila tatizo langu kubwa hapa ilikuwa kupenda football sana, nasikitika mpira ulinifanya nisiwe na uhusiano na wasichana kabisa! Uwanja wa taifa kwangu kwenda tazama mechi ilikuwa kama kawa..Hahahahaha..hatari kabisa
Breakdance, the spirit of the 80s 3via YouTube
Kabisa kabisa, kaka yake Charles anawamaliza viumbe wazuri, Chris Phabby, Joe Johnson (holela), n.k. n.k. ilikuwa hatari..Yaani hizi ndiyo enzi Freeman anaweka curlkit tunakwenda disco Mbowe Hotels, disco jingine kulikuwa Mawingu lakina Kusaga
Mno mno, ila kuna mtoto wa Sheikh Yahya alikuwa tishio sana, nasikia karithi kazi ya baba yake..Ila alikuwa kama Boogaloo kabisa..Break dance Pemba brothers wa Upanga waluvuma sana,
VingiMwaka 1985 wakati wa transition of power kutoka kwa Rais Nyerere kwenda kwa Rais Mwinyi, wengi hasa wazee wakiwaza Tanzania bila Nyerere inawezekana?
Tulianza kuona plastic shoes madukani, enzi zile ziliitwa Yondo Sister, saa za battery ziliingia, khanga za Mombasa zikauzwa madukani si tena kwa mchoro mchoro.
Ninakumbuka yellow fashion, ualikwe kwenye party umepiga yellow shoes kichwani una yellow hair band kama Madonna kila mvulana anataka kucheza na wewe.
Unakumbuka nini?
We rudi unaenda wapi?[emoji102]Naona hapo wameitwa wazamaniii[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Dom hotelKirefu cha DH eti walikuwa wanasema dingi hana uwezo [emoji38] [emoji38]
Duj,nimeita Ashanti.[emoji144][emoji144][emoji144]Tulianza kuona deodorant za Fa madukani na mafuta ya Vaseline. Kabla ya hapo tulitumia mafuta ya Asher's yalitengenezwa Tanga
Dah Mbowe hotels hivi jamaa amegoma kufufua Bills sehemu nyingine ? Nshafanya maasi kule kwenye masofa Mungu anisamehe tu.Yaani hizi ndiyo enzi Freeman anaweka curlkit tunakwenda disco Mbowe Hotels, disco jingine kulikuwa Mawingu lakina Kusaga
Kuna viatu vyeus vya plastic tulikuwa tunaita saa 7 utanikoma saa 8 utanivua.Afadhali DH mkuu msure alinipeleka sukari la BORA kununua raba flani tuliziita ngalawa. Kwakweli niligoma vibaya sana
Dada wewe wakitambo sana, sijui hata kimoja hapo juuAfadhali DH mkuu msure alinipeleka sukari la BORA kununua raba flani tuliziita ngalawa. Kwakweli niligoma vibaya sana
Afadhali DH mkuu msure alinipeleka sukari la BORA kununua raba flani tuliziita ngalawa. Kwakweli niligoma vibaya sana