Tukumbushane: Ulishawahi kuanzisha vagi au kuanzishiwa vagi Mtaani?

NN, kumbe na wewe mtata
 
[emoji3][emoji3][emoji3] mzee itabidi na mimi nikutafute nikuonee
Ha ha ha ha mzee haka kamwil kafaida kananipa sana point maeneo fulan naonekana mtoto mwenzao...
Nyie mnionee tu ila maeneo yangu na mie nakula Pweza gizan
 
Mmmh, hivi niliwahi kupigwa kweli mm sidhani, lbd mambo ya fumanizi fumanizi ndiyo nimebobea sana [emoji12] [emoji12]
(Joking)
Ulishawahi fumaniwa?
 
Pole asee
 
[emoji23][emoji23] eti disco likafungwaaa
 
Ha ha ha ha mzee haka kamwil kafaida kananipa sana point maeneo fulan naonekana mtoto mwenzao...
Nyie mnionee tu ila maeneo yangu na mie nakula Pweza gizan
Haa nyie ndiyo mnsotumaliizia watoto wetu wa la saba
 
Miaka hiyo nipo mkoani tulikuwa tunasifika sana Kwa vagi...tulijiita Red Star Camp...

Tuliuvaa mkenge siku moja Kwa Jamaa wabebs vyuma.
Mwanzo tuliwatembezea waya sana.walivyoona tumewashinda wakaongeza nguvu kwakiwaita Jamaa zao wengine.

Ebwanaee tulipigika mpaka tukapoteana kila mtu na kona yake.

Banat mbaya me nikaingia chakike ebanaee cjawahi chezea kichapo takatifu ndani ya muda mfupi kama kile....mungu you mwema,nilipata kaupenyo kadogo nilichomoka kama mshale wa Masai amwindae simba Kwa shaft la kupewa mke!!

Nilikoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…