Tukutane hapa tuliowahi kutoa na kupewa talaka, tujadili maisha baada ya talaka

Mie bwana naspport kabisa mwanamke mwanamke mzuri kumbwaga mwanaume ambaye kafulia. Yaani kama we ni mwanamke mzuri kweli kweli, tako skonsi utakuwa mjinga kuacha kuolewa na mwanaume mwenye mihela.
Nasema hivyo kwa sababu moja kuu. Ukweli ni kwamba wanaume wengi tukishapata hela tunaanza kugegeda pisi kali na kusahau jinsi wife alivyotuvumilia wakati hatuna kitu.
 
Sasa pisi kali unashindwa nini kutafuta zako na soko unalo? Tumia upisi kali wako na wewe uwe na mkwanja.
Sasa kwani kuolewa na vidume wenye hela sii tayari utafutaji. Mbona sio kila mwanamke anaujasiri huo. Wacha wanawake wazuri waolewenna wanaume wenye ndalama.
 
Sasa kwani kuolewa na vidume wenye hela sii tayari utafutaji. Mbona sio kila mwanamke anaujasiri huo. Wacha wanawake wazuri waolewenna wanaume wenye ndalama.
Ndio maana nasema, inakuwaje pisi kali unaolewa na kapuku? Olewa na wenye hela bwana.
 
Ila wenye hela wengi wameoa pisi za kawaida. Huu mtaa ninaoishi ni wa kishua lakini ni mmoja tu kaoa pisi kali. Juzi juzi wamezinguana sababu ya michepuko. Risasi zilirindima wee acha tu. Akili za kuambiwa changanya na zako.
Huyo mwanaume ni bwege na ana wivu wakijinga. Wanawake wamewekwa duniani kuhegegdwa sasa yeye wivu wa nini wakati mkewe anatimiza wajibu wake hapa duniani. Stress zingine ni za kujitakia tuu.

Mara moja moja unamuachia mke anatombanage huko nje apate kujua style mpya na kurefresh mind
 
Yaani ni wanaume wanatunishiana misuli. Jamaa alichepuka na mke wa mtu, huyo mwenye mke naye akawa akamla mkewe ili kulipiza kisasi . Baada ya hilo tukio jamaa akamfukuza huyo mkewe ambaye ni pisi kali. Sasa hivi karudi maana ana mtoto mdogo. Ila kawa na adabu sasa hivi.
 
Hana msimamo huyo mwanaume. Unamfukuza mke alafu unamrudisha tena....akija kukuua je
 

Yaan ni upuuzi wa hali ya juu mali zako andika watoto wenu au wako
 
Mkuu mimi nime move on japo sijutiii kuwa nae, aliniacha bada ya yy kupangiwa kazi serikalini Mwanza wakat mm npo Dar, so nikamkosa hivyo
Pole mkuu, ila mapenzi ya mbali yana changamoto sana, huwezi jua umeepushiwa nini. Sema Alhamdulillah maisha yasonge.
 
Mkuu unadhani kuna hali inafika ni lazima kutoa talaka?Nauliza hvyo kwa sbb kuna badhi ya dini na mila talaka ni mwiko, naniuliza inapofika kipindi ambacho hakuna anaemtaka mwenzak nini kifanyike?Au talaka ni sehem ya solution
kuliko waishie kuuana ni kheri kila mmoja akasepa kivyake.
 
Mara nyingi hiki kipindi hupita, ila jitahidi kusali sana, kufunga mara moja moja , kutoa sadaka, na kuendelea kufanya majukumu yako kama mke. Unaweza tafuta new hobby, au kutafuta short course usome ili uwe busy usimuwaze. Atarudi kwa neema za Mungu.
 
Never say never
 
kujifanya boya
Either ujifanye boya au kupotezea disminder, live your own life kuishi Maisha yako binafsi ndani mwili mmoja.Mwanadamu ni kiumbe asiye na tabia moja ubadilika kulingana na umri pia.Anaweza akawa mshenzi ujanani akawa malaika utu uzima, wengi ujutia maamuzi yao ya talaka baada ya mda fulani kupita.
 
Kweli kabisa, kutokuwa na expectations husaidia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…