wao ni wao
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 1,179
- 2,807
Hahahahaha umenifurahisha sana mkuu, wale mademu wa dhamani wengi walikuwa royal sana.Rika langu wote ni vicheche tu ila kipindi cha ujana mademu walionizidi umri wakikuwa ni wife materials sana ila sasa nani wa kuoa wazee .
Dah Aneth , Eliza , Diana i always remember you ila nitafanyaje sasa wacha muolewe tu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Pole sana mzee baba. Kama nakuona sahizi unateseka kulinda penzi kwa hongo 🤣🤣🤣Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
nakubali mzee wa AVN awards 😁😁Binafsi nmekutana na vicheche tupu,
Wife material niliempata Ni wife nilienae tu
Huyu ni yolanda lyimo??Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
Niliwahi pata mwanaume bikra alikuwa ananichosha Kwa kweli🙄Mimi niko single toka nimezaliwa, hivyo nitajifunza kupitia nyinyi.
My wangu uko tayari kua mke wa pili? Au unaogopa ya dkt mwaka.. hakika wee ni katika wadada wenye haiba nzuri sana humu! Na ukiamuaga kufunguka kuhusu 6×6 huachagi nukta 🤗...Sawa mkuu,najitahidi sana japo kuanguka sometimes kupo
Yaani huwa nafikiria itakuwaje, baada ya kuupoteza uspecial wangu.Niliwahi pata mwanaume bikra alikuwa ananichosha Kwa kweli🙄
Huna lolote🙄Yaani huwa nafikiria itakuwaje, baada ya kuupoteza uspecial wangu.
It's damn serious, starehe zangu ni msosi, music, reading books, joking,movie & gamesHuna lolote🙄
Endelea kujitunza usije kutana na siye wakulungwa tukaharibu uvulana wakoIt's damn serious, starehe zangu ni msosi, music, reading books, joking,movie
Ngoja nivumilie nione Kama ntafika 2035Endelea kujitunza usije kutana na siye wakulungwa tukaharibu uvulana wako
😂😂 siku hizi mashangingi hawaogopi wala kuheshimu mahusiano.. ndo unakuta mmeo anaambiwa "nakupenda wewe na huyo mke wako"Mke wa pili no🤣🤣🤣 nataka tamu ya pekeyangu
Utafika tuNgoja nivumilie nione Kama ntafika 2035
🤣🤣🤣🤗😂😂 siku hizi mashangingi hawaogopi wala kuheshimu mahusiano.. ndo unakuta mmeo anaambiwa "nakupenda wewe na huyo mke wako"
Daaaaah JF waongeze emoji ya kucheka saaaanaYule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]