Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Yolanda hii pisi kali kwao yakisua sana . In bmw x 1 kwa sasaYule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
Mkuu vp yule mmbulu wako aka mwiraq wakoHuna tofauti na mimi aisee , nilitoka uchagani nikaangukia singida Matokeo yake sasa!
Wanawake wa kichaga wazuri jamani acheni tu.
Nacheza kwa step mkuu, changamsha gengeJichanganye uliwe kichwa
Kongole mkuuDuuuuh! mimi almanusura nimpoteze ingekuwa sio juhudi zake binadfsi na upendo wake wa dhati kwangu kwa kweli nisingukuwa naye maana sikuwa na time naye kabisa tena yeye aliwahi kupata kazi miaka mitatu kabla yangu lakini aliendelea kuniganda japo tulikuwa mbali.
Ndugu wakanionya kuhusu kumpotezea huyu dada wa watu tena akiwa nahisia kali kwangu lakini mimi akili ya ujana wala sikujali na hata simu yake nilikuwa napokea nkijisikia. Kuna siku dada yangu aliniita akanipa sifa za wanawake akaniambia mdogo wangu nakuonya acha kumtesa mtoto wa watu siku ukimpoteza huyu dada utajuta maishani mwako.
Niliitafakari hii kauli nikajiuliza mbona kweli huyu mtoto wa watu hajawahi nikosea na wakati mwingine ananisaidia sana nikiwa na matatizo yangu tena hapendi kabisa kusikia nikiwa na shida hata akiwa hana anaonesha kuumia mno tofauti na hawa wadada wengine waliokuwa wananipotezea muda.
Kwa kweli niliamua kuwa mtu mzima na kuanza kujali hisia za huyu wife material wangu hata kwenye simu nikamsave wife kabisa na nikaoa. Namshukuru Mungu sana ningefuata akili za ujuna kwa kweli ningepoteza mke mwema.
Yaani badala ya kukuonea huruma, nimecheka sana ulivoandika mnara wa Voda😂Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah, we fala umenichekesha balaaYule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
😂😂😂 umepata anayejua kukata mauno sasa?Unakumbusha madonda yaliopona,nilipataga wanawake wawili yani walinipenda sana,basi mimi kwa ungexe wangu nikawa nawapelekesha vibaya sana,bado wakanipenda nilikuja kuachana nao kwa sababu za kijinga sana eti hawajui kukata mauno yani wale ndo walikuwa wake zangu wa kweli popote ulipo Christina na evaline daima nitaendelea kuwapenda
Basi usimalizie kusoma....moyo wangu unauchomaWazungu wanasema " you will never miss your water untill your well gets/become dry, yaani umuhimu wa maji huja baada ya kisima kukauka.
Nakumbuka nikiwa mwaka wa wakwanza wa masomo yangu katika moja ya chuo kikuu hapa nchini niliwahi bahatika kupata " a well raised woman '' unfortunately, sikutambua thamani yake mpaka nilipopata vibaka wakunipuna na kunivunja moyo wangu.
Siwezi kusahau, upole, utu, upendo, heshima na tabia ya kujali kwa yule dada. Vijana wenzengu wife material huja mara moja kumpata tena nimajaliwa.
Kama uliwahi pata wife material kisha ukaleta usela leo unalia kwa uchungu kupoteza bahati dondosha coment yako hapo chini.
[emoji23][emoji28]Huyu ni yolanda lyimo??
Ee bhana weDah Acha tu Kaka unapata bonge la demu ana upendo wa dhati kabisa na umemkuta bado anakupenda anakujali anakufanyia mengi mazuri lakini mnajikuta dini tofauti yani dah unakosa ata la kufanya
Binadamu kuwaridhisha ni kazi ngumu, eti anataka ndoa kisa mauno kweli??.😂😂😂 umepata anayejua kukata mauno sasa?
Ubinadamu ni kazi sana, ila baadaye ndiyo unaanza kukumbuka wakati hao watu wamesha move onBinadamu kuwaridhisha ni kazi ngumu, eti anataka ndoa kisa mauno kweli??.
Au mwanamke anataka ndoa kisa jamaa ana six pack mwee
Nikiwa mkubwa, nitajifunza na kuzingatia kupitia Hawa waliokosea.Ubinadamu ni kazi sana, ila baadaye ndiyo unaanza kukumbuka wakati hao watu wamesha move on
Hahahahaha 😂😂😂😂, you have made my day brotherNdio kwanza nimeingia kwenye penzi jipya na lishangazi,
Nitaleta mrejesho.
Mhhh....Wazungu wanasema " you will never miss your water untill your well gets/become dry, yaani umuhimu wa maji huja baada ya kisima kukauka.
Nakumbuka nikiwa mwaka wa wakwanza wa masomo yangu katika moja ya chuo kikuu hapa nchini niliwahi bahatika kupata " a well raised woman '' unfortunately, sikutambua thamani yake mpaka nilipopata vibaka wakunipuna na kunivunja moyo wangu.
Siwezi kusahau, upole, utu, upendo, heshima na tabia ya kujali kwa yule dada. Vijana wenzengu wife material huja mara moja kumpata tena nimajaliwa.
Kama uliwahi pata wife material kisha ukaleta usela leo unalia kwa uchungu kupoteza bahati dondosha coment yako hapo chini.
Mara nyingi naonaga unaandika pumba ila huu ni mchele ule mmoja mmoja kabisa.Hapa kuna kitu kimoja nimeona hao mnaowasifu ni kwa sababu hamkuanza nao maisha halisi ya ndoa mume na mke na watoto na hekaheka za maisha ya kila siku na changamoto nyingine za ndoa
Kipindi cha urafiki na uchumba huwa kinapumbaza sana wakati mahaba yanakuwa yamenoga na kaunafiki fulani kanakuwepo
Sasa hivi mnakabili changamoto za maisha halisi ya ndoa mnakumbuka kipindi cha urafiki na uchumba na hao wa zamani mnaanza kuona the good old days
Ishi na mwenza wako ndani miaka 5 au 10 ndo utajua kama yaliyomo yamo au la
Hatukatai kuwa wapo waliowapoteza watu muhimu