Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule zimejaaHayo makanisa yao yangekuwa shule wangeisha fika mwezini!
Mkuu baridi si la kitoto, unagegeda huku umevaa swetaDaah ilo baridi la hapo inaonekana si la kitoto
Huko mkuu nasikia maisha cheap ila mzunguko wa pesa bado?Mkuu baridi si la kitoto, unagegeda huku umevaa sweta
Sehemu ninayotamani kuishi siku 1. Ni oazuri bro, kwa sisi wakulima kila kitu kinaenda sawa na safi kabisa. Lushoto napo nasikia pazuri sana sawa na kule Dabaga Kilolo Iringa au kule Machame.Mada safi shukraani mtoa mada ila Tia nyama zaidi, maana Nami nilibahatika kufika Lushoto last December yooooo it knick my socks out, Tukuyu nilifika huko miaka mingi iliyopita,kwenye michezo ya vyuo vya ualimu kanda ya nyanda za juu,kwa sasa utanifanya mkuu nifanye detour kule, ahsante sana
Mbeya is the best then Morogoro inafuata mkuu.Weka Njombe
NJombe, Iringa, morogoro, Kagera na Kilimanjaro
Hahaaaaaa, nilinunua parachichi pale KK. Hatari hiyo bro. Kuna rafiki yangu Dingi la mishe David Newton yupo huko anapambana.Huu mji sikuamini nilinunua ndizi za buku nikapewa fuko zima.! Nikamwambia muuzaji nataka ndizi za buku sio za elfu saba ! Abiria wakanicheka sana wakasema hizo mbona kakupunja amaekuona mtu WA dar
When Mwinyi sat his gaze on the magnificence of Rungwe boulevards, the old chap got hysterical and thought he was traversing the hallowed valleys of paradise.Kusauziii
Umeshafika Ukanda wa Dabaga kule Kilolo. Ile nayo ni Paradise nyingine.Tukuyu, Lushoto, baadhi ya maeneo ya Muheza specifically Amani, hizo sehemu ukifika nafsi inatulia.. kijani almost throughout a year.
Ukitaka Stress nenda Kanda ya ziwa, Kati kati ya mwaka hivi.., unaweza urudi asubuhi.., ukikuta mmea uliohai badi Ni miba.
U speak English I speak Nyakyusa...,,ikyindii.,isopoo...,,TukuyuuuuWhen Mwinyi set his gaze on the magnificence of Rungwe boulevards, the old chap got hysterical and thought he was traversing the hallowed valleys of paradise.
We told him Relax old son! You still alive, so don't blaspheme yet! This is Tukuyu, the bread basket of the South.
Hahahahahaha, Tukuyuuuuuu!
Wanakimbia uchawi kwao na wengi wanakwenda mikoa mingine ili watahiriweNilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.
Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................
Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Big up, Mungu mwemaNitakaribia mwaka huu Mungu akinijalia uzima
Uliinjoy Sana Mkuu, Mpuguso au msasani bill Shaka. Tanzania nzuri jamaniUmeua ule mji ni wa kipekee kuna miti fulani imeteshwa mle karibu na chuo cha ualimu na maeneo mengine pia ipo madhari yake ni ya kuvutia sana, ukija mashamba ya chai pia yana madhari nzuri mno, wapiga picha, wacheza muvi na watafuta location wengine kuna kitu Tukuyu, watu wakule ni wakarimu sana, mvua zinanyesha kila mda, radi za nguvu Ndo usiseme, kipimo cha mche ni bakuli fulani(ndonya[emoji847]), nyumba za ibada kila kona watu wanasali sana Mungu awabariki Tukuyu Nitarudi tena[emoji1544]
Wivu tu mkuuWanakimbia uchawi kwao na wengi wanakwenda mikoa mingine ili watahiriwe
Kumbe! Faiza fox tupe uzoefu wako uliexperience wapi na wapi? Kumbe upo legend FaizaHakuna wilaya isiyokuwa ya kipekee Tanzania.
Sijakuelewa, yaani wanakimbia wivu au?Wivu tu mkuu