Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

Mada safi shukraani mtoa mada ila Tia nyama zaidi, maana Nami nilibahatika kufika Lushoto last December yooooo it knick my socks out, Tukuyu nilifika huko miaka mingi iliyopita,kwenye michezo ya vyuo vya ualimu kanda ya nyanda za juu,kwa sasa utanifanya mkuu nifanye detour kule, ahsante sana
Sehemu ninayotamani kuishi siku 1. Ni oazuri bro, kwa sisi wakulima kila kitu kinaenda sawa na safi kabisa. Lushoto napo nasikia pazuri sana sawa na kule Dabaga Kilolo Iringa au kule Machame.
 
Huu mji sikuamini nilinunua ndizi za buku nikapewa fuko zima.! Nikamwambia muuzaji nataka ndizi za buku sio za elfu saba ! Abiria wakanicheka sana wakasema hizo mbona kakupunja amaekuona mtu WA dar
Hahaaaaaa, nilinunua parachichi pale KK. Hatari hiyo bro. Kuna rafiki yangu Dingi la mishe David Newton yupo huko anapambana.
 
Tukuyu, Lushoto, baadhi ya maeneo ya Muheza specifically Amani, hizo sehemu ukifika nafsi inatulia.. kijani almost throughout a year.

Ukitaka Stress nenda Kanda ya ziwa hasa simiyu, Kati kati ya mwaka hivi.., unaweza urudi asubuhi.., ukikuta mmea uliohai basi ni miba.
 
Tukuyu, Lushoto, baadhi ya maeneo ya Muheza specifically Amani, hizo sehemu ukifika nafsi inatulia.. kijani almost throughout a year.

Ukitaka Stress nenda Kanda ya ziwa, Kati kati ya mwaka hivi.., unaweza urudi asubuhi.., ukikuta mmea uliohai badi Ni miba.
Umeshafika Ukanda wa Dabaga kule Kilolo. Ile nayo ni Paradise nyingine.
 
When Mwinyi set his gaze on the magnificence of Rungwe boulevards, the old chap got hysterical and thought he was traversing the hallowed valleys of paradise.

We told him Relax old son! You still alive, so don't blaspheme yet! This is Tukuyu, the bread basket of the South.

Hahahahahaha, Tukuyuuuuuu!
U speak English I speak Nyakyusa...,,ikyindii.,isopoo...,,Tukuyuuuu
 
Nilibahatika kufika Tukuyu Mbeya ule mji Ni moja ya wilaya zilizobarikiwa kwa kuwa na mandhari ya kipekee Sana, Hali ya hewa ya kule uko cool mda wote. Vyakula Sasa ushindwe wewe na tumbo lako.

Zaidi maji Safi ya mito na bomba yasiyo na Mita. Lita ya maziwa 600, wapenzi wa kitimoto, kilo 6000, mkungu wa ndizi 5000. Sijui wanyakyusa wanaokimbia kwao wanashida gani???????? Wanyakyusa majibu tafadhali.........................

Wewe kwenu kukoje? Usiogope nyumbani ni nyumbani.
Wanakimbia uchawi kwao na wengi wanakwenda mikoa mingine ili watahiriwe
 
Umeua ule mji ni wa kipekee kuna miti fulani imeteshwa mle karibu na chuo cha ualimu na maeneo mengine pia ipo madhari yake ni ya kuvutia sana, ukija mashamba ya chai pia yana madhari nzuri mno, wapiga picha, wacheza muvi na watafuta location wengine kuna kitu Tukuyu, watu wakule ni wakarimu sana, mvua zinanyesha kila mda, radi za nguvu Ndo usiseme, kipimo cha mche ni bakuli fulani(ndonya[emoji847]), nyumba za ibada kila kona watu wanasali sana Mungu awabariki Tukuyu Nitarudi tena[emoji1544]
Uliinjoy Sana Mkuu, Mpuguso au msasani bill Shaka. Tanzania nzuri jamani
 
Back
Top Bottom