Tulia Ackson: Wanaoamini nguvu ya dola ilitumika uchaguzi 2020 ni imani tu, hamna mtu ameona mahali. Auliza mbona hawakwenda mahakamani!

Tulia Ackson: Wanaoamini nguvu ya dola ilitumika uchaguzi 2020 ni imani tu, hamna mtu ameona mahali. Auliza mbona hawakwenda mahakamani!

chadema ni wafa maji
Bora Chadema wafa maji kuliko CCM maiti.
Nakumbuka kulikuwa na maneno makuu matatu tu kutoka kwa jemedari;
1. Nipeni huyu mtu sitawaangusha akiwazingua ninammudu.
2. Nipeni koneksheni.
3. Msichanganye betri na gunzi tochi haitawaka.

Mchezo uliishia hapo.
Mchezo uliisha alipokufa. Wamletee amekuwa Nani?. Aende huko.
 
Kuna siku JIWE alikasirika na akawaambia wabunge live kwamba aliyeshinda Ubunge kwa uwezo wake ASIMAME HAPA - wote kimyaaa dadeq.

Tulia watanzaia wanajua kila kitu, kunyamaza ni busara pia.
 
Waende mahakama zipi, hizi hizi zinazoendesha kesi ya Covid 19 mwaka wa pili huu? Kenya hapo kulikuwa na kesi ya uchaguzi nafasi ya urais imeisha ndani ya muda mfupi, iweje hii ya Covid 19 ichukue zaidi ya mwaka?!
Kwani kesi ya akina Halima Mdee na wenzake vs Chadema ni ya Uchaguzi?
 
Spika Tulia amesema wanaoamini nguvu ya dola ilitumika 2020 kuwaingiza wabunge wa CCM bungeni ni imani tu na hakuna mtu ameona mahali. Amesema nchi hii ina utaratibu wa kwenda mahakamani kuonesha imani yako inaposimamia na maeneo mengi watu wanafunguliwa kesi za ubunge na wapo walioondolewa huko nyuma.

Amesema kuhusu yeye na jimbo la Mbeya, amewataka waandishi waende Mbeya waone mpango wa wananchi wa Mbeya mjini.

Aache kuhangaika kuomba jimbo ligawanywe sasa
 
Nakumbuka kulikuwa na maneno makuu matatu tu kutoka kwa jemedari;
1. Nipeni huyu mtu sitawaangusha akiwazingua ninammudu.
2. Nipeni koneksheni.
3. Msichanganye betri na gunzi tochi haitawaka.

Mchezo uliishia hapo.
Usisahau na huu wendawazimu wa yule marehemu wenu
 

Attachments

  • IMG-20230406-WA0001.jpg
    IMG-20230406-WA0001.jpg
    23.4 KB · Views: 3
Waende mahakama zipi, hizi hizi zinazoendesha kesi ya Covid 19 mwaka wa pili huu? Kenya hapo kulikuwa na kesi ya uchaguzi nafasi ya urais imeisha ndani ya muda mfupi, iweje hii ya Covid 19 ichukue zaidi ya mwaka?!
Kenya kesi zimeisha ndani ya muda mfupi na matokeo yake sasa hivi hadi Rais Mstaafu anashiriki vurugu mtaani kupinga hukumu ya kuhalalisha ushindi wa Ruto
 
Spika Tulia amesema wanaoamini nguvu ya dola ilitumika 2020 kuwaingiza wabunge wa CCM bungeni ni imani tu na hakuna mtu ameona mahali. Amesema nchi hii ina utaratibu wa kwenda mahakamani kuonesha imani yako inaposimamia na maeneo mengi watu wanafunguliwa kesi za ubunge na wapo walioondolewa huko nyuma.

Amesema kuhusu yeye na jimbo la Mbeya, amewataka waandishi waende Mbeya waone mpango wa wananchi wa Mbeya mjini.

Waandishi wa Habari wa Tanzania buana! Utadhani uandishi wao wa Habari wamesomea Urusi kwa Putin. Kwenye Clip hii Spika Tulia kawaita nyumbani kwake waulize Maswali ya Kipropaganda tu.
 
Hata yeye mwenyewe Tulia Ackson anajuwa kuwa alitoa Tsh 100,000 kwa wajumbe wote 800 wa Mkutano wa Jimbo la Mbeya Mjini ambao ndiyo waliompitisha kugombea kwa Tiketi ya CCM.

Pamoja na kuwekewa kinda na hawara yake Magufuli bado alitumia kama Tsh 100 Milioni kupita kura za maoni za CCM


Kuhusu kwenda Mahakamani jibu ni kwamba kipindi cha Magufuli ilikuwa ni vigumu kwa vile Majaji na Mahakimu kwa kesi kama hiyo ingekuwa ni vigumu kushinda. Mahakama zilikuwa zinatishiwa na kufuata maelekezo ya mwendazake
Kumbe alikuwa hawara wa mwendazake loh.usione Kobe mtini kumbe kapandishwa
 
Back
Top Bottom