Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Je umuhimu wa Degree zetu upo wapi huku mtaani, tunasota na tunahangaika na mabahasha kutafuta ajira huku serikali ikiweka ahadi kede kede ambazo hazitekelezeki
Haya hata hizi kazi mbalimbali za muda ambazo zingekuwa hata kifuta machozi kwetu Kwa kupunguza machungu ya kukaa mtaani bila ajira nazo sasa hivi wanapewa watumishi wa serikali je sisi tukale wapi yani tumesoma na bado tunaishi Kwa stress hii sio fair kabisa ni muda sasa wa serikali kuona ni namna gani hawa wasomi ambao hawana ajira wanaweza kupewa fursa mbalimbali huenda zikaenda kuwa sehemu ya kupata mtaji kwao na kufanya shughuli zao nyingine bila kuitegemea serikali tena
Haya hata hizi kazi mbalimbali za muda ambazo zingekuwa hata kifuta machozi kwetu Kwa kupunguza machungu ya kukaa mtaani bila ajira nazo sasa hivi wanapewa watumishi wa serikali je sisi tukale wapi yani tumesoma na bado tunaishi Kwa stress hii sio fair kabisa ni muda sasa wa serikali kuona ni namna gani hawa wasomi ambao hawana ajira wanaweza kupewa fursa mbalimbali huenda zikaenda kuwa sehemu ya kupata mtaji kwao na kufanya shughuli zao nyingine bila kuitegemea serikali tena